Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

wapi walidiss mzee, unaushahidi? Jide alianza kulialia mtandaoni baada ya aliyekuwa 'mke wake' Gadna kutoka Cloudz na kupungua kwa promo aliyoizoea kila siku kwenye kipindi cha Jahazi

Mke wake=Mume wake!
 
Hivi nyimbo za lady jaydee nazo sio za mtanzania eehh?,nyimbo za akina wizkid, TI, flava, psquare ni za watanzania?
Huu uzalendo clouds wanaouhubiri ni UPI? Jide ni mtanzania wamemsusa miaka tena na bifu la kumshusha juu ila Leo kisa diamond ndio uzalendo wanauibua??
Kama uzalendo anzeni na jide kwanza ndo twende MTVmama.

Nawe unayako juu ya Chibu.

Jide amefungiwa kutotambulika nje ya nchi?

Redio ni moja nchini? Au wanazuia mtu kujipa promo nje ya nchi?

Watanzania halisi tunasapoti watanzania wote na wanaopiga kazi na sio kusubiri maneno kuwafufua kama wamefulia.

Haya waache wanaotupeperushia bendera yetu Africa kwa sasa na duniani macho yote yatakuwa kule
 
Inatosha kwa leo

10403284_456188301217450_9108097579831562989_n.jpg
 
Nazan imefika mahali watanzania wote kwa Ujumla Tubadilike kuanzia Alik na Diamond wao wenyew kwa wenyew ili kutuwek Mashabik saw wafanye kitu kitakachofanya Mashabik waungane na Kuona hakuna Tofauti yeyote kati yao.....

Nyie mashabiki ndio mjitambue,kwani ilo linatakiwa mpaka Kiba akuambie kuthamini vya nyumbani
 
Nazan imefika mahali watanzania wote kwa Ujumla Tubadilike kuanzia Alik na Diamond wao wenyew kwa wenyew ili kutuwek Mashabik saw wafanye kitu kitakachofanya Mashabik waungane na Kuona hakuna Tofauti yeyote kati yao.....

Wakiweka wazi kuwa hawana bifu ndo utakuwa mwisho wa Kiba, acha timu zichuane. Ngoja niende kwa misukule kule kwa ma ex wa Dai nikaone uharo wao.
 
Leo nimesikiliza interview za Alikiba na Diamond walizofanya na watu tofauti. Moja Alikiba alifanya na GlobalPublishers na nyingine alifanya na Spoorah, kwa upande wa Diamond alifanya na Spoorah. Ukiangalia hizo interview, kiukweli Alikiba ana roho fulani ya wivu wa kijinga. Na haya mabifu yote yeye ndiye kayaanzisha. Naomba yule aliye na muda apitie hizi interview, hakika kuna kitu atajifunza.


Niliwahi kuandika baada ya kumuona Kiba kwenye mkasi....jamaa ana kikorosho na usoni mwake anaonyesha kabisa...na hata kama ni kushauriwa itakuwa rahisi kwa Diamond kuliko Kiba.

Na sasa amewaefluence Wema na Jokate kwa makusudi...na unajua demu ukimpa "peremende" atafanya unavyotaka.

Na aliwahi kutuhumiwa na TID, kutaka kumdanjisha.....then akatajwa ishu ya Lulu na Marehemu Kanumba....jamaa sio kabisa, anatakiwa kujirekebisha.
 
Wakiweka wazi kuwa hawana bifu ndo utakuwa mwisho wa Kiba, acha timu zichuane. Ngoja niende kwa misukule kule kwa ma ex wa Dai nikaone uharo wao.

yes kiba hawezi kukubali kupatana kirahisi, anajua bila hili bifu asingekuwapo hapa alipo angekuwa ashasahaulika. hili bifu ni faida kwake, na ni hasara kwa diamond
 
yes kiba hawezi kukubali kupatana kirahisi, anajua bila hili bifu asingekuwapo hapa alipo angekuwa ashasahaulika. hili bifu ni faida kwake, na ni hasara kwa diamond

Alikuambia au unabashiri?
 
Yes oo ila dada wa Platnumz na wema ukaribu umekufa sijui alifuma nini dada wa watu... Na wivu pia juu kwa dada kwa kuwa karibu na Zari wifi yake.

Hizi kazi za waume kufanya masaa 24 na mwanamke asie na bwana ni kazi....maana kila kona hao hata kupeleka mbwa vet hao, kunywa hao, kula nje hao, safari hao pamoja mke anabaki ka vike hakuolewa.

Sijui sasa nadhani petit amejirekebisha kiaina maana buti lilimuanza kumkwea kabla mamaa hajajifungua.

Aaagh ni mengi tunasoma wengine mitandaoni burudani tunacheka hatuzeeki, napita.
Nilisoma eti esma alimfuma petit anagegeda sebleni kwa mheshimiwa mbunge
 
Nawe unayako juu ya Chibu.

Jide amefungiwa kutotambulika nje ya nchi?

Redio ni moja nchini? Au wanazuia mtu kujipa promo nje ya nchi?

Watanzania halisi tunasapoti watanzania wote na wanaopiga kazi na sio kusubiri maneno kuwafufua kama wamefulia.

Haya waache wanaotupeperushia bendera yetu Africa kwa sasa na duniani macho yote yatakuwa kule

kwa bahati mbaya leo nimekuquote
 
wapi walidiss mzee, unaushahidi? Jide alianza kulialia mtandaoni baada ya aliyekuwa 'mke wake' Gadna kutoka Cloudz na kupungua kwa promo aliyoizoea kila siku kwenye kipindi cha Jahazi

anyhow, all in all point ni wao kutenda kile wanachohubiri. kama ni kukosa uzalendo wameanza wao
 
Leo nimesikiliza interview za Alikiba na Diamond walizofanya na watu tofauti. Moja Alikiba alifanya na GlobalPublishers na nyingine alifanya na Spoorah, kwa upande wa Diamond alifanya na Spoorah. Ukiangalia hizo interview, kiukweli Alikiba ana roho fulani ya wivu wa kijinga. Na haya mabifu yote yeye ndiye kayaanzisha. Naomba yule aliye na muda apitie hizi interview, hakika kuna kitu atajifunza.


nimeshawahi ielezea hii nashukuru umeweka video hamna atakayekuja kujibu kwa hoja na kama kuna atakayekuja kutetea niite nione utetezi wake kiba roho inauma
 
Niliwahi kuandika baada ya kumuona Kiba kwenye mkasi....jamaa ana kikorosho na usoni mwake anaonyesha kabisa...na hata kama ni kushauriwa itakuwa rahisi kwa Diamond kuliko Kiba.

Na sasa amewaefluence Wema na Jokate kwa makusudi...na unajua demu ukimpa "peremende" atafanya unavyotaka.

Na aliwahi kutuhumiwa na TID, kutaka kumdanjisha.....then akatajwa ishu ya Lulu na Marehemu Kanumba....jamaa sio kabisa, anatakiwa kujirekebisha.

Mwisho wa Ubaya ni Aibu Mkuu!
 
yes kiba hawezi kukubali kupatana kirahisi, anajua bila hili bifu asingekuwapo hapa alipo angekuwa ashasahaulika. hili bifu ni faida kwake, na ni hasara kwa diamond

kumbe na ww ndo walewale sasa kiba na diamond nani alianza kutoka mpaka yy kiba anufaike na hilo #Kebekebe
 
Back
Top Bottom