Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

Adam Mchomvu na Fetty, safi sana!

hahaha nikunote umekuwa celeb kama wema a.k.a mbunge ajaye (najua hupendi kusikia ubunge wa madame ila itabidi uvumilie tu)... kujijua najijua sana tu manake binadam yeyote bila kujijua basi hajakamilika. bye for this year..

Lmao

ID ya pili
 
Wewe embu acha kudanganya watu kabla ya izo interview unazosema,Mondi wenu ndo alianza chokochoko ka mwanamke tena kwa mtu ambaye alitulia kwenye game na hakumfanya chochote,check hapo chini iyo screenshot ya uyo Mondi wenu akileta dharau zake na iyo ndio sababu iliyopelekea apigwe na MAYAI VIZA ile siku aliyopiga show pale MAISHA CLUB na vijana wa k.koo(kambi ya kiba) tena iyo ilikuwa kabla haja hit nje ya TZ,check mwenyewe hapo chini...na mjue kabisa kiba anapambana na mtu ambaye alirequest battle naye na sio kama mnavyosema nyie eti "Ooh!.. KIBA anashindana na mtu ambaye hajamfanya chochote kwa kumuangalia Mondi huwa hamuongeleagi kiba saivi so mnamuona ni completely innocent kumbe alishatemaga shit huko mwanzoni,eti anasema "kiba haniwezi kipesa wala kimuziki pia ameisha mziki wake hauna soko tena"...Nasema hapa tena kwa herufi kubwa "HII NDIO SABABU ILIYOMFANYA KIBA ARUDI KWENYE GAME KUMPROVE WRONG MONDI".. alilianzisha menyewe alamfu mnasema KIBA ndo chanzo kivip?.. weka proof apo,maana mbali na anachokisema kiba kuhusu hiyo kufutwa kwa mistari yake lakini MONDI ameleta dharau nyingi tu,sasa kulikua na haja gani ya yeye kuropoka hayo yote hata kama kiba hakutaka kufanya collabo nae?...kwani lazima?...na kiba alikuwa na haki yakukataa kuimba naye maana MONDI angeibua KAULI kama "MIMI NDO NIMEMWINUA KIBA" maana kijana wenu anapenda sana sifa kama kipindi Kile alivyosemaga kaalikwa na P-SQUARE Kwenye harusi yao alafu baadae P-SQUARE wakakana kumualika wala kumjua mtu inaitwa diamond,na hata kama ni kweli kiba alikopa pesa ili ajenge nyumba yake(inamaana kumbe kiba anayo nyumba sio kama team Mondi mlivyozusha kuwa hana nyumba amepanga hili mkubali kwanza?) Yeye ilimuhusu nini kama sio umbea tena kwa mwanaume kama yeye?,KWA HIYO MTAMBUE YEYE NDO AMELIANZISHA HILO BIFU NA SIO KAMA MNAVYODHANI ETI KIBA HAWEZI TOKA BILA MONDI NA ANATAFUTA KIKI TUU KUPITIA MONDI...Hahaahaaa!!!!!

Screenshot yenyewe umeichukua udakuspecially atleast ungeichukua kwenye official account yake.
Blogs hazina tofauti na magazeti ya shigongo story nyingi ni za kutunga
 
Wewe embu acha kudanganya watu kabla ya izo interview unazosema,Mondi wenu ndo alianza chokochoko ka mwanamke tena kwa mtu ambaye alitulia kwenye game na hakumfanya chochote,check hapo chini iyo screenshot ya uyo Mondi wenu akileta dharau zake na iyo ndio sababu iliyopelekea apigwe na MAYAI VIZA ile siku aliyopiga show pale MAISHA CLUB na vijana wa k.koo(kambi ya kiba) tena iyo ilikuwa kabla haja hit nje ya TZ,check mwenyewe hapo chini...na mjue kabisa kiba anapambana na mtu ambaye alirequest battle naye na sio kama mnavyosema nyie eti "Ooh!.. KIBA anashindana na mtu ambaye hajamfanya chochote kwa kumuangalia Mondi huwa hamuongeleagi kiba saivi so mnamuona ni completely innocent kumbe alishatemaga shit huko mwanzoni,eti anasema "kiba haniwezi kipesa wala kimuziki pia ameisha mziki wake hauna soko tena"...Nasema hapa tena kwa herufi kubwa "HII NDIO SABABU ILIYOMFANYA KIBA ARUDI KWENYE GAME KUMPROVE WRONG MONDI".. alilianzisha menyewe alamfu mnasema KIBA ndo chanzo kivip?.. weka proof apo,maana mbali na anachokisema kiba kuhusu hiyo kufutwa kwa mistari yake lakini MONDI ameleta dharau nyingi tu,sasa kulikua na haja gani ya yeye kuropoka hayo yote hata kama kiba hakutaka kufanya collabo nae?...kwani lazima?...na kiba alikuwa na haki yakukataa kuimba naye maana MONDI angeibua KAULI kama "MIMI NDO NIMEMWINUA KIBA" maana kijana wenu anapenda sana sifa kama kipindi Kile alivyosemaga kaalikwa na P-SQUARE Kwenye harusi yao alafu baadae P-SQUARE wakakana kumualika wala kumjua mtu inaitwa diamond,na hata kama ni kweli kiba alikopa pesa ili ajenge nyumba yake(inamaana kumbe kiba anayo nyumba sio kama team Mondi mlivyozusha kuwa hana nyumba amepanga hili mkubali kwanza?) Yeye ilimuhusu nini kama sio umbea tena kwa mwanaume kama yeye?,KWA HIYO MTAMBUE YEYE NDO AMELIANZISHA HILO BIFU NA SIO KAMA MNAVYODHANI ETI KIBA HAWEZI TOKA BILA MONDI NA ANATAFUTA KIKI TUU KUPITIA MONDI...Hahaahaaa!!!!!

Aliekodi wavuta unga na kuwalipa efu Tano Tano wamzomee Mond ni Kiba..Ila malipo ni apa apa duniani.Dai hata haongei Ila Huyo mswahili kiba anashusha maneno ya kejeli Yaani cjui kiburi cha kulijinganisha na Dai katoa wapi uyu dogo
 
Screenshot yenyewe umeichukua udakuspecially atleast ungeichukua kwenye official account yake.
Blogs hazina tofauti na magazeti ya shigongo story nyingi ni za kutunga

Haya haya mkuu,naona umerequest screenshot ya account ya mondi na sio iyo...basi usipate tabu me nakuletea soon maana device yangu ina screenshots nyingi tu.
 
Screenshot yenyewe umeichukua udakuspecially atleast ungeichukua kwenye official account yake.
Blogs hazina tofauti na magazeti ya shigongo story nyingi ni za kutunga

Haya sasa mkuu mzigo huo,hiyo account yake ya Twitter.
 
Wewe embu acha kudanganya watu kabla ya izo interview unazosema,Mondi wenu ndo alianza chokochoko ka mwanamke tena kwa mtu ambaye alitulia kwenye game na hakumfanya chochote,check hapo chini iyo screenshot ya uyo Mondi wenu akileta dharau zake na iyo ndio sababu iliyopelekea apigwe na MAYAI VIZA ile siku aliyopiga show pale MAISHA CLUB na vijana wa k.koo(kambi ya kiba) tena iyo ilikuwa kabla haja hit nje ya TZ,check mwenyewe hapo chini...na mjue kabisa kiba anapambana na mtu ambaye alirequest battle naye na sio kama mnavyosema nyie eti "Ooh!.. KIBA anashindana na mtu ambaye hajamfanya chochote kwa kumuangalia Mondi huwa hamuongeleagi kiba saivi so mnamuona ni completely innocent kumbe alishatemaga shit huko mwanzoni,eti anasema "kiba haniwezi kipesa wala kimuziki pia ameisha mziki wake hauna soko tena"...Nasema hapa tena kwa herufi kubwa "HII NDIO SABABU ILIYOMFANYA KIBA ARUDI KWENYE GAME KUMPROVE WRONG MONDI".. alilianzisha menyewe alamfu mnasema KIBA ndo chanzo kivip?.. weka proof apo,maana mbali na anachokisema kiba kuhusu hiyo kufutwa kwa mistari yake lakini MONDI ameleta dharau nyingi tu,sasa kulikua na haja gani ya yeye kuropoka hayo yote hata kama kiba hakutaka kufanya collabo nae?...kwani lazima?...na kiba alikuwa na haki yakukataa kuimba naye maana MONDI angeibua KAULI kama "MIMI NDO NIMEMWINUA KIBA" maana kijana wenu anapenda sana sifa kama kipindi Kile alivyosemaga kaalikwa na P-SQUARE Kwenye harusi yao alafu baadae P-SQUARE wakakana kumualika wala kumjua mtu inaitwa diamond,na hata kama ni kweli kiba alikopa pesa ili ajenge nyumba yake(inamaana kumbe kiba anayo nyumba sio kama team Mondi mlivyozusha kuwa hana nyumba amepanga hili mkubali kwanza?) Yeye ilimuhusu nini kama sio umbea tena kwa mwanaume kama yeye?,KWA HIYO MTAMBUE YEYE NDO AMELIANZISHA HILO BIFU NA SIO KAMA MNAVYODHANI ETI KIBA HAWEZI TOKA BILA MONDI NA ANATAFUTA KIKI TUU KUPITIA MONDI...Hahaahaaa!!!!!


Twitter huwezi kuandika tweet ndefu ivo ...ni characters 140 tu . na pia account ya diamond twitter iko verified .... Hii haiko verified
 
Twitter huwezi kuandika tweet ndefu ivo ...ni characters 140 tu . na pia account ya diamond twitter iko verified .... Hii haiko verified

Dah!..nyinyi watu wa ajabu sana mkiletewa ishu ya Mondi kaaribu mnataka proof msipoletewa mnakataa hajafanya ivyo na mnaishia kusema uyo ni shigongo tu hamna ukweli apo sawa mimi sikatai lakini nyinyi juzi mmefungua Uzi fasta kuhusu kiba kusema ishu ya kichefuchefu kwa mondi mkiwa mmeshupalia kabisa wakati iyo habari ni ya GPL pia ambayo mmekataa kuwaamini kwa Mondi lakini kwa kiba mnawaamini bila tatizo,bora Mimi nimeletea screenshot na bado hamkubali wakati nyinyi iyo juzi mlileta habari tupu bila proof yoyote na mkawa mmeshupalia live bila chenga,nimeleta na iyo ya screenshot ya account ya Mondi bado mnakataa..eti "Ooh! mbona haipo verified?...sasa kama mnajielewa angalieni iyo date ya iyo post alafu ndo mjibu maana kipindi anapost iyo account yake ilikuwa bado haijawa verified na ndo ilikuwa na profile photo iyo hapo mnayoona na siyo ile aliyoweka saivi,tatizo lenu team Mondi ni hapo hamtaki kusikia baya la Mondi kana kwamba yeye ni saint one...lakini mkipata baya la kiba tu tena source:GPL mnashupalia sana wakati nyinyi hamuwaamini kwa habari za mtu wenu,lastly najua hilo hamuwezi kukubali lakini lilitokea na mpaka BobJunior alimwambia aombe msamaha kwa kauli yake iyo maana kiba hakumfanya lolote...but as long as it's ur nature to abuse the truth...then u won't believe that!!!
 
Haya sasa mkuu mzigo huo,hiyo account yake ya Twitter.

Hapo kwenye picha chini huo weupe weupe unapita imekuwaje?

Huu ulikuwa uongo, hao vicobo walitumia jina lake kujipaisha...
 
Haya sasa mkuu mzigo huo,hiyo account yake ya Twitter.

Jibu hoja, umewahi kuona wapi twitter ina character zaidi ya 140 unadhani insta ile? Sikunyingine mnapofikiria kuedit muwe mnatumia akili
 
Back
Top Bottom