Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Mchomvu anatambulishwa zaidi na kipaji cha utangazaji na sio usanii, kuhusu utangazaji, hawezi kuhandle kipindi kama main host, anashine anapokuwa supporting host. Ni mtazamo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii kweli mkuu nakumbuka kipindi chake cha bongo fleva kilikuwa hakina mvuto sana cjui swaga zinazidi sana kwel too. much of everything is harmfulMchomvu anatambulishwa zaidi na kipaji cha utangazaji na sio usanii, kuhusu utangazaji, hawezi kuhandle kipindi kama main host, anashine anapokuwa supporting host. Ni mtazamo tu
Unaonekana una wivu sana wewe haya wewe mwenyewe hauvuti bangi umemzidi nini?Adam bangi Ndo zinamrudisha nyuma we sikiliza akija yeye tu kwenye kipindi anaanza kupiga makele Kama amewehuka kumpa hizo 15mins pia wamempendelea alitakiwa asiwepo kabisa xxl jamaa chenga sana Yule
hajui kuimba ila ni msanii![]()
Triple A