Kwa hiyo kuna watu walioubwa na Mungu kaa kina Kaini na abao hawakuubwa na Mungu??wengine wanasema alifukuzwa kaenda mji mwingi huko akaanzisha familia yake
swali je alikuwa mwenye?
Ndio ujue kulikuwa na watu pia huko
Unajua na unaelewa maana ya hilo neno -ekundu?wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu!
Je UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI! TAFADHALI FUNGUKA!
Una uhakika mkuu so kaini aliogopa kuuawa na dada zake hadi awekewe alamaAdam alizaa watoto wakike wengi tu kama ni mdomaji wa bible watoto wakike walikuwa hawana urithi hivyo huwezi ona wametajwa katika maandiko,wanatsjwa uzao wa kiume tu.
Kuhusu kuoa haikuwa kosa kwa wakati huo kuoa au kazaa na ndugu ambaye ni dada yako tunaona katazo hilo miaka mingi baadaye kupitia sheria ya torati kuwa alaaniwe yule alalaye na dada yake.
Hao Adam & Eve ndo mafuvu yao yapo Olduvai George au??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unaweza kukuta ni ndugu zetu kabisaHahaha [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unaweza kukuta ni ndugu zetu kabisa
Watu wa kale ila maendeleo hakuna [emoji34] [emoji34]Watanzania watakuwa watu wa kale Sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa itabidi tujue walikuwa kabila gani. [emoji16]
Watu wa kale ila maendeleo hakuna [emoji34] [emoji34]
Kabila nahisi ni warangi [emoji12] [emoji12] [emoji12] maana ndio wenyeji wa huko
adam na eve ndio waligunduliwa na dr louis leakey[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanzania watakuwa watu wa kale Sana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa itabidi tujue walikuwa kabila gani. [emoji16]
adam na eve ndio waligunduliwa na dr louis leakey[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inabidi wajitambue sasa..... Kuelekea kwenye mafanikio ya kweli. Vinginevyo tutabakia na historia tuHahaha. Ndio.
Dr Leakey na Merry Leakey walipata mifupa katika tabaka la 4 la udongo ambalo ndio tabaka la chini kabisa katika miamba ya Olduvai. Kupitia Potassium dating tabaka hilo linakadiriwa kuwa na miaka zaidi ya milioni 1.8.
Na mifupa ilikutwa na mawe yaliyochongwa na mifupa ya wanyama kama swala na wanyama waliowindwa. Mifupa ya wanyama ilikuwa na alama za kukatwa kwa mawe na meno.
Sasa sijui ndio kina kaini, adamu au hawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitu vingine bhana. Vinachanganya sana. Kama Watanzania walikwepo tangu kale sasa mbona mpaka leo hawajaendelea? Wanajua uchawi na visingeli tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inabidi wajitambue sasa..... Kuelekea kwenye mafanikio ya kweli. Vinginevyo tutabakia na historia tu
hahahaah ila pale kuna fuvu moja tu sa sijui ni la yupi kati ya adam au hawa?Hahaha. Ndio.
Dr Leakey na Merry Leakey walipata mifupa katika tabaka la 4 la udongo ambalo ndio tabaka la chini kabisa katika miamba ya Olduvai. Kupitia Potassium dating tabaka hilo linakadiriwa kuwa na miaka zaidi ya milioni 1.8.
Na mifupa ilikutwa na mawe yaliyochongwa na mifupa ya wanyama kama swala na wanyama waliowindwa. Mifupa ya wanyama ilikuwa na alama za kukatwa kwa mawe na meno.
Sasa sijui ndio kina kaini, adamu au hawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitu vingine bhana. Vinachanganya sana. Kama Watanzania walikwepo tangu kale sasa mbona mpaka leo hawajaendelea? Wanajua uchawi na visingeli tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaah ila pale kuna fuvu moja tu sa sijui ni la yupi kati ya adam au hawa?
Yeye ndiye alikuwa wa kwanza angewezaje kunyonya "Umejuaje kwamba hakunyonya.Au ww ndio wa pili!
Na walikula tunda la kweli wala sio fumbo, maana Biblia huaga haimung'unyi maneno.hata kama walikuwa zaidi ya wawili au hawakuwa wa kwanza haina shida sana, ila jambo la wao kula tunda duuh hapo ndio waliharibu kila kitu
Hayo mawazo umeyatoa kwenye chanzo kipi ya Mungu kutumia udongo kuumba wananchi weeeengi, maana maelezo ya Mungu yote yapo kwenye vitabu vyake vitakatifu.nadhani hujaelewa point yangu
mimi sikubaliani na kauli inayosemwa na vyanzo kuwa binaadamu wa kwanza alikuwa adam ila katika hii dunia kipindi hicho mungu aliumba watu wengi sana na tena wote walitokana na udongo ila si kweli kuwa dunia ilikuwa na watu wa wili tu yaani adamu na hawa....
Nadhani
umenielewe ndugu nilichokimaanisha