Mwanzo 2:5-7
"hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi.
Kwa hiyo, mche, mboga, mvua ardhi na maji vinavyotajwa hapa navyo vilikua vya kiroho?
inasemekana Mungu alipomuumba Adamu pale anaposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, Mungu akamuumba Adam, Mwanamume na Mwanamke akwaumba, halafu baadaye tunasoma Mungu akimletea usingizi Adam kuumba mwanamke mwinigne, Eva. inasemekana yule mwanamke wa kwanza alitoroka kulingana na watafiti wa Biblia. unajua biblia haikumaliza kujaza gaps nyinig kwenye biblia ambapo unakuta baadhi ya gaps katika kitabu cha mwanzo zinakamilishwa kwenye kitabu cha ufunuo au kingine chochote au zinaachwa blank kabisa kwani hazina impact ya moja kwa moja kwani kutokujulikana kwazo hakupunguzi mpango wa ukombozi ambao Mungu tayari ameuweka .Hiviyo huyo mwanamke wa kwanza akawa anamdhalau Adam, akagoma kulala nae, kulingana na huo utafiti na mwisho wa siku akatoroka kwa kuliita jina la Mungu (ELOHIM) lilokuwa limefichwa kwa wanadamu by that time sijui nani alimwambia, hata YESU alilitaja wakati anakata Roho. alipolitaja tu akapata nguvu ya kutoroka duniani kwenda mbinguni malaika wakaingilia kumzuia na akapelekwa kifungoni ila walau jina lake limetajwa kwenye kitabu cha nabii Isaya anaitwa Lilith nodo Mungu akaona kuondoa hizi dhalau inabidi nimuumbie Adam mwanamke kutoka kwake moja kwa moja.
Adam alizaa watoto wakike wengi tu kama ni mdomaji wa bible watoto wakike walikuwa hawana urithi hivyo huwezi ona wametajwa katika maandiko,wanatsjwa uzao wa kiume tu.
Kuhusu kuoa haikuwa kosa kwa wakati huo kuoa au kazaa na ndugu ambaye ni dada yako tunaona katazo hilo miaka mingi baadaye kupitia sheria ya torati kuwa alaaniwe yule alalaye na dada yake.
Kama ni mdini binadamu wakwanza adam
Kamna ni msayansi tumetoka kwa manyani
Kama ni m elien tumetengenezwa kwenye maabara tukawekwa hapa
mkuu funguka tena sijakupata falsafa yako
bdo
well done kwa kuweza kutambua kulinga bible mwanzo- kuwa 'mtu' anayezungumziwa hapo kiroho ya kumjua mungu ni nani yes atakua adam lakini kama ni mwelewa utakuta mungu alishaumba viumbe hai siku nyingi lakini hawakuwa wakimjua mungu
soma uelewe kuwa adam sio binaadam wakwanza kuwepo duniani na USIPENDE KUKARIRI
Duh,In short inadaiwa Mungu alimuumba mwanamke twice, wa kwanza alitoroka lakini wakati napitia maandiko kitabu cha mwanzo sura ya pili na ya tatu bado naona ni ngumu kuprove hii falsafa ila wana historia wengi wnadai mwanamke wa kwanza alipoumbwa alikua equal na Adam kwani naye aliumbwa straight kutoka mavumbini,then mambo ya gender yakawa strong hapo alikataa kulaliwa na Adam, malingo na nyodo mwishowe akatoroka, Adam akamlalamikia Mungu, wakatumwa malaika wamtafute wamrudishe still akagoma, Mungu ndo akamuumba wa pili EVA kutoka kwa Adam mwenyewe. Baada ya huyu wa pili kuletwa kwa Adam unaona jinsi Adam anavyofunguka pale na kusema huyu sasa ni nyama katika nyama yangu.... na mwishowe Adam mwenyewe anatoa agizo la ndoa palepale
In short inadaiwa Mungu alimuumba mwanamke twice, wa kwanza alitoroka lakini wakati napitia maandiko kitabu cha mwanzo sura ya pili na ya tatu bado naona ni ngumu kuprove hii falsafa ila wana historia wengi wnadai mwanamke wa kwanza alipoumbwa alikua equal na Adam kwani naye aliumbwa straight kutoka mavumbini,then mambo ya gender yakawa strong hapo alikataa kulaliwa na Adam, malingo na nyodo mwishowe akatoroka, Adam akamlalamikia Mungu, wakatumwa malaika wamtafute wamrudishe still akagoma, Mungu ndo akamuumba wa pili EVA kutoka kwa Adam mwenyewe. Baada ya huyu wa pili kuletwa kwa Adam unaona jinsi Adam anavyofunguka pale na kusema huyu sasa ni nyama katika nyama yangu.... na mwishowe Adam mwenyewe anatoa agizo la ndoa palepale
hapo pekundu, mkuu ulitaka kusema nini? Uamini kama baba wa ulimwengu huu ni Adam? Kazi ipo.
Koh koh
natumia bible na quruan nimekupa mistar au hujaelewa?
Duh,
Mkuu kuna chembe ya Ukweli kwenye hii story??
Wajua bana story za dini tunazisikia sana kwenye vitabu vya dini tu, sio vingine sijui vya historia. Ila kidogo nimeongeza siku za kuishi kwa kucheka aisee hii story.
Dah,Mambo ya Mungu ni Magumu sana, wewe unadhani Mungu alikua hajui agano la kwanza lita-fail, lakini alilileta hivyohivyo lakini baadaye akaleta agano la pili. sasa kati ya agano na kuumba mtu ni kipi sensitive zaidi hap😵bvious agano liko superior lakini Mungu alileta agano lingine badala ya kuchukua maamuzi sawasawa na principle of contract zinavokuwa kwamba agano likiwa breached ni kuvunja na kwenda kwenye remedial actions ambapo kwa kesi hii huu upande wa wanadamu ndo ungesafa lakini akaamua kuleta agano lingine na hatushangai
Umejuaje kwamba hakunyonya.Au ww ndio wa pili!