inasemekana Mungu alipomuumba Adamu pale anaposema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, Mungu akamuumba Adam, Mwanamume na Mwanamke akwaumba, halafu baadaye tunasoma Mungu akimletea usingizi Adam kuumba mwanamke mwinigne, Eva. inasemekana yule mwanamke wa kwanza alitoroka kulingana na watafiti wa Biblia. unajua biblia haikumaliza kujaza gaps nyinig kwenye biblia ambapo unakuta baadhi ya gaps katika kitabu cha mwanzo zinakamilishwa kwenye kitabu cha ufunuo au kingine chochote au zinaachwa blank kabisa kwani hazina impact ya moja kwa moja kwani kutokujulikana kwazo hakupunguzi mpango wa ukombozi ambao Mungu tayari ameuweka .Hiviyo huyo mwanamke wa kwanza akawa anamdhalau Adam, akagoma kulala nae, kulingana na huo utafiti na mwisho wa siku akatoroka kwa kuliita jina la Mungu (ELOHIM) lilokuwa limefichwa kwa wanadamu by that time sijui nani alimwambia, hata YESU alilitaja wakati anakata Roho. alipolitaja tu akapata nguvu ya kutoroka duniani kwenda mbinguni malaika wakaingilia kumzuia na akapelekwa kifungoni ila walau jina lake limetajwa kwenye kitabu cha nabii Isaya anaitwa Lilith nodo Mungu akaona kuondoa hizi dhalau inabidi nimuumbie Adam mwanamke kutoka kwake moja kwa moja.