Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimetambua leo kumbe mshana jr ni cdm aisee. Yaani sasa unasema kile kyama ni cha ubwabwa?? Haya miye simo wakikujia hao wasiojulikana. Ila, usiseme ati ni Nabii Adam tu hakuwa ni silika za kike. Utakuwa umekosea sana kwani Hawa hakuumbwa bali alitwaliwa ndani ya nabii Adam. Hivyo, ili azae alipoamka tu vile vinasaba vya kike vikaanza kuwaka ndani yake. Kitabu cha Mwanzo suat 3 Mnyazi Mungu SA alimwambia Hawa kuwa tamaa zake zitakuwa kwa huyu mwanamume. Hivyo, vinasaba vya kike ni Tamaa kwa mwanamume. Ndo maana ajiremberembe. Hata hiyo picha yako ya kwanza ni kuwa, hilo bwabwa linatamani wanaume ndo maana likajiweka kihivyo.
Ndugu yangu niko chumba cha wafu nawahudumia usiku kucha...
hahahahahaha!!