Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike

Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike

[emoji44][emoji3064][emoji44][emoji3064]
IMG-20210522-WA0016.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetambua leo kumbe mshana jr ni cdm aisee. Yaani sasa unasema kile kyama ni cha ubwabwa?? Haya miye simo wakikujia hao wasiojulikana. Ila, usiseme ati ni Nabii Adam tu hakuwa ni silika za kike. Utakuwa umekosea sana kwani Hawa hakuumbwa bali alitwaliwa ndani ya nabii Adam. Hivyo, ili azae alipoamka tu vile vinasaba vya kike vikaanza kuwaka ndani yake. Kitabu cha Mwanzo suat 3 Mnyazi Mungu SA alimwambia Hawa kuwa tamaa zake zitakuwa kwa huyu mwanamume. Hivyo, vinasaba vya kike ni Tamaa kwa mwanamume. Ndo maana ajiremberembe. Hata hiyo picha yako ya kwanza ni kuwa, hilo bwabwa linatamani wanaume ndo maana likajiweka kihivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima watu wajifunze kuishi, na kuwaacha wengine waishi. Upevu wa akili na ustaarabu ni pamoja na kukubali tofauti miongoni mwa watu.

Kuna vilema na walio wazima, kuna wakristo na waisilamu, kuna wapagani na wenye dini, kuna waabudu mizimu na wachawi, kuna warefu na wafupi, Kuna waarabu na wachina, kuna wazungu na waafrika.

Uvumilivu na upendo juu ya tofauti hizo ndio umeifanya dunia iwe hivi leo!!! Utu, heshima, haki, na wajibu ni nyenzo za msingi kuifanya dunia iwe sehemu salama ya kuishi.

Ubaguzi wa aina yoyote, chuki, hasira, husuda, unyanyapaa, na kunyooshea vidole wengine haviwezi kuijenga dunia yenye usalama.

Vizazi huja, vizazi huondoka, miongoni mwao mashoga wakiwemo. Watoto, wadogo zako, ndugu zako na wajukuu zako hawako salama sana kuuepuka ushoga. Mtu yeyeto anaweza kutokea kuwa shoga.

Mimi sifikirii kabisa kwamba ushoga ni jambo la kukera. Halikeri kwasababu halimuhusu wala halimdhuru asiyelifanya.

Watu wawili wenye utashi na maamuzi huru, wakikubaliana kupendana na kuitumia miili yao kwa namna wanayoitaka, kwanini imuumize mwingine!!!
Hakika kabisa umenena.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ngoja tupanue mjadala kwa kuangalia background ya Lilith View attachment 692652[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wazungu bana eti Lilith alikuwa mweusi halafu Adam alikuwa blazamen... Wote wamevaa nguo halafu Adam ana saa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu mara nyingi wale wanaopiga marufuku bi either ni mashoga,wanapenda mashoga au wana denial.Hawa mashoga wanaliwa sana na watu wanaitwa wanaume kamilo na sio mashoga wenzie.
Ndo ukweli wenyewe.
 
Sijasoma nikaimaliza lkn kichwa cha habari tu

Kama Adam hakuwa na vinasaba vya kike ilikuwaje akazaa watoto wa kike elezea toka chromosomes (X Y genes)

Kama adam angekuwa na vinasaba vya kiume Tu angekuwa (YY genome) ambapo angezaa watoto wakiume tu.

Wanawake watoto walitokea wapi?
 
Wazazi tunakazi sana zama hizi ngumu sana kulea mtoto wakiume,kuna ndugu yangu mmoja aliwahi nambia unapopata mtoto wakiume lazima uyumbe kwanza kiuchumi au katika mambo mengine nilidhani imani yake lakini kadri sikuzilivyokwenda nikaamini kweli uzao wa mtoto wakiume ndani ya nyumba ni mtihani mzito sana inahitaji muongozo wa roho wa bwana
Nikweli, malezi yakikosewa ndani ya familia.....ni rahisi kumpoteza kwa kizazi hiki
 
Sijasoma nikaimaliza lkn kichwa cha habari tu

Kama Adam hakuwa na vinasaba vya kike ilikuwaje akazaa watoto wa kike elezea toka chromosomes (X Y genes)

Kama adam angekuwa na vinasaba vya kiume Tu angekuwa (YY genome) ambapo angezaa watoto wakiume tu.

Wanawake watoto walitokea wapi?
Sijasoma nikaimaliza lkn kichwa cha habari tu[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Maswali yako ni irrelevant kwakuwa hujasoma content.. Ungesoma usingeuliza haya maswali
 
Upumbavu wa mwanadamu sio wa aina moja tu, basi utawaua wote ukiwamo wewe mwenyewe kama hutaki aina yoyote ya upumbavu.

Sibadilishi uamuzi kama utakubali kuletewa mkwe na mtoto wako wa kiume kuwa ndo Mchumba wake na wewe ukafurahi basi Hiyo ni kwako mkuu.
 
Back
Top Bottom