Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike

mwanaume kujisifia anajua kukata mauno kitandani hii iko kike kike,mwanamke kuwa gogo hii iko kiume kiume zaidii...
[emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115]
 
Mkuu Mshana jr kama Adam hakua na vinasaba vya kike, ikawaje mwanamke atoke katika ubavu wake.
 
Mkuu Mshana jr kama Adam hakua na vinasaba vya kike, ikawaje mwanamke atoke katika ubavu wake.
Ulitolewa ubavu kisha ukaongezewa mengine pamoja na pumzi ni sawa na kufanya cloning au budding kwa wale waliosoma Agriculture watanielewa
 
Ulitolewa ubavu kisha ukaongezewa mengine pamoja na pumzi ni sawa na kufanya cloning au budding kwa wale waliosoma Agriculture watanielewa
Ingekua cloning angetoka mwanaume mkuu. ni kwa sababu kulikua na vinasaba vya kike ndio maana akaweza kutoka mwanamke.
 
Mkuu Adam Aliumbwa moja kwa moja toka udongoni, Hakutoka Katika Tumbo la Mwanamke, Kwahiyo ni Ngumu sana Kuwa na Vinasaba vya Kike ila sisi na hata wewe ambao tumetoka kwenye Tumbo za Wanawake tuna vinasaba vya Kike Hata kama Havijionyeshi!
Hivyo vya kiume alivitoa wapi wakati pia hakupitia kwa mwanaume
 
Mkuu Mshana jr kama Adam hakua na vinasaba vya kike, ikawaje mwanamke atoke katika ubavu wake.
Na hivyo vya kiume kavipata wapi wakati hakupitia kwa baba.
Nadhani hawa ndio alitakiwa awe na vinasaba vya kiume tu
 
Basi tufanye ni budding
Mkuu Mshana najua we unapenda kufuatilia vitu.ukifuatilia kwa undani utaona kwamba Adam aliumbwa akiwa sio tu na vinasaba vya kike bali akiwa both sex kabisa(hymophodrate) not sure with spelling.
 
sasa unatakiwa uulize swali, mwanzo pale ulifanya kunisingizia kesi isiyonihusu
Nadhani mhusika wa uzi atakua na jibu sahihi .Mimi na wewe wote ni followers wa hii thread
 
Mkuu Mshana najua we unapenda kufuatilia vitu.ukifuatilia kwa undani utaona kwamba Adam aliumbwa akiwa sio tu na vinasaba vya kike bali akiwa both sex kabisa(hymophodrate) not sure with spelling.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ngoja tupanue mjadala kwa kuangalia background ya Lilith [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wazungu bana eti Lilith alikuwa mweusi halafu Adam alikuwa blazamen... Wote wamevaa nguo halafu Adam ana saa
 
Halafu mara nyingi wale wanaopiga marufuku bi either ni mashoga,wanapenda mashoga au wana denial.Hawa mashoga wanaliwa sana na watu wanaitwa wanaume kamilo na sio mashoga wenzie.
 
Halafu mara nyingi wale wanaopiga marufuku bi either ni mashoga,wanapenda mashoga au wana denial.Hawa mashoga wanaliwa sana na watu wanaitwa wanaume kamilo na sio mashoga wenzie.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…