little hulk
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 1,610
- 557
- Thread starter
- #21
Wake up ww acha uoga!Wewe kweli kichwa ngumu,maswali gani ya kuhoji uumbaji?Take care!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wake up ww acha uoga!Wewe kweli kichwa ngumu,maswali gani ya kuhoji uumbaji?Take care!
Hiyo ni mifano inaweza tu so don't bother about this issue cause there is no theory clarify if Adam exist in this world scientific tried but they failedHivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.
Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
![]()
mkuu mungu anakuwa anapewa sifa za kiume jaribu kuangalia sehemu mbali mbali utaona MFAno "praise God he made her"najua nitakuwa nimetoka nnje ya mada ila unapotumia neno "himself" kwenye utambulisho wa mungu ina maaana kuwa mungu ni wakiume amaaaa na kama ni wakiume hebu nipe uthibitisho hapa.
Tufanye mtu kwa sura yetu na mfano wetu akatawale dunia. Akamuumba Adamu ambaye kijinsia alikuwa mwanamme.najua nitakuwa nimetoka nnje ya mada ila unapotumia neno "himself" kwenye utambulisho wa mungu ina maaana kuwa mungu ni wakiume amaaaa na kama ni wakiume hebu nipe uthibitisho hapa.
Ni moja ya mapungufu ya lugha ya kiingereza, kwenye kiarabu mungu anawakilishwa kwa kiwakilishi ambacho ni genderless, yani kuna kiwakilishi kwa ajili ya mungu tunajua nitakuwa nimetoka nnje ya mada ila unapotumia neno "himself" kwenye utambulisho wa mungu ina maaana kuwa mungu ni wakiume amaaaa na kama ni wakiume hebu nipe uthibitisho hapa.
-Kutokana na maelezo yako kuna mungu wa kike ambaye ni mke wa mungu wa kiume . si ndo ndiyoTufanye mtu kwa sura yetu na mfano wetu akatawale dunia. Akamuumba Adamu ambaye kijinsia alikuwa mwanamme.
-Kutokana na maelezo yako kuna mungu wa kike ambaye ni mke wa mungu wa kiume . si ndo ndiyoTufanye mtu kwa sura yetu na mfano wetu akatawale dunia. Akamuumba Adamu ambaye kijinsia alikuwa mwanamme.
Halaf kama ukiwa mkristo utaamin tu in mwanaume coz baada ya wanafunz wa yesu kumwambia utufundishe kusali aliwaambia ukitaka kusali semen ([HASHTAG]#BABA[/HASHTAG] yetu ulie mbinguni,,,,) hii ya neno baba inamaanisha kiumeNi msemo tu usihofu...
Yap true...Halaf kama ukiwa mkristo utaamin tu in mwanaume coz baada ya wanafunz wa yesu kumwambia utufundishe kusali aliwaambia ukitaka kusali semen ([HASHTAG]#BABA[/HASHTAG] yetu ulie mbinguni,,,,) hii ya neno baba inamaanisha kiume
Aliyekwambia hao nia Adam na Eve nani hata wewe ujadili suala la vitovu??? Kama hauna agenda za kuzungumza bora uwe msomaji tu.Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.
Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
![]()
Una ubongo tasa.... poleAliyekwambia hao nia Adam na Eve nani hata wewe ujadili suala la vitovu??? Kama hauna agenda za kuzungumza bora uwe msomaji tu.