Adamu na Eva walikuwa na Vitovu (Belly buttons)?

Adamu na Eva walikuwa na Vitovu (Belly buttons)?

Hakuna anayefahamu ukweli hata picha zao Si kweli
 
Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.


Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
b53b9e7c00cd36ae1092b1848f115b1d.jpg
hapo namuona adam analichezea tunda.
 
Nionavyo Mimi hilo si swala la kuuliza kichwa kiasi hicho. Biblia anasema yaliyofichwa ni ya Mungu yaliyowekwa wazi ni ya kwetu na watoto wetu.
swala la kitovu kuwepo au kutokuwepo kwa Adam is non of our business, swala ni kwamba hiyo ni just imaginary photo. Ni MTU tu kachora picha ya Adam na Hawa sio real photo. Ni kama picha ya Yesu. huyu Yesu tunaemjua kwenye picha na kwenye sinema wala sio sura halisi.
Nashukuru kama umenielewa
 
najua nitakuwa nimetoka nnje ya mada ila unapotumia neno "himself" kwenye utambulisho wa mungu ina maaana kuwa mungu ni wakiume amaaaa na kama ni wakiume hebu nipe uthibitisho hapa.
Mungu hawez kuawakike hata iweje
 
Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.


Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
b53b9e7c00cd36ae1092b1848f115b1d.jpg
duh! sikubahatika kuwaona wakiwa wadogo.
 
Haaahh kuna watu wanafikiria!! ...hizi fikra uarabun unanyongwa!! No thinking in Arabs nation
 
Hata kama ni imaginary pictures zisingekuwa na vitovu kwa sababu hawakukaa kwenye tumbo la uzazi.
Kwani wewe ni muumba na ulikuwepo kipindi wanaumba ....na kama ni hivyo mbona wakiume tuliwekewa chuchu si wangezitoa tu....All in all huwezi jua labda Muumba aliweka au la usi-imaging vitu usivyokuwa na uhakika navyo kama vipi na wewe chora picha zako...
 
Kama alitaka wakazaliane,lazima awaumbe na kitovu ili kikasaidie kumlisha mtoto tumboni.

Ni sawa na kuhoji umuhimu wa kucha,pengine Mungu aliamua kumfanya binadamu awe wa kuvutia ndio maana akamuwekea ishara za chuchu katika kifua,mwanaume na mwanamke,japo mwanaume hatanyonyesha.
 
Katika vitabu vitukufu Mungu anajitambulisha kiume ingawa, "Yeye hana mfano wake"
 
Back
Top Bottom