Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubakia hivyo hivyo na ujinga wako.Una ubongo tasa.... pole
hapo namuona adam analichezea tunda.Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.
Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
![]()
Mungu hawez kuawakike hata iwejenajua nitakuwa nimetoka nnje ya mada ila unapotumia neno "himself" kwenye utambulisho wa mungu ina maaana kuwa mungu ni wakiume amaaaa na kama ni wakiume hebu nipe uthibitisho hapa.
duh! sikubahatika kuwaona wakiwa wadogo.Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu.
Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni mwake.
Lakini katika picha nyingi za enzi na enzi zinaonyesha adamu na Eva walikuwa na vitovu.
Kuna theory nyingine za vitabu vya samaria ambavyo vinaonyesha kuhusu viumbe waliotokea sayar ya mbali na kuja duniani kwa ajili ya kutafuta madinj ya "monoatomic gold" kwa ajili ya kuendelea kuishi. Annunaki kwakuwa walikuwa na tekinolojia kubwa wakaamua kutengeneza viumbe ambavyo ndo sisi kwa ajili ya kusaidia upatikanaji na uchimbaji wa hayo madini.
Hivyo Adam na Eva ni 'tube babies" ndo mana wana belly bottons.
Je, Mungu alimuumba Adamu na Eva bila kuwa na vitovu?
![]()
-ulichokiongea ni sawa kwa mawazo yako ila hebu thibitisha kwanini hawezi kuwa wakike?Mungu hawez kuawakike hata iweje
-ulichokiongea ni sawa kwa mawazo yako ila hebu thibitisha kwanini hawezi kuwa wakike? na kwa sababu gani ni wakiume?Mungu hawez kuawakike hata iweje
Those are imagination pictures...No one know the existence of Adam and Eve except our almighty God ...
Wewe kweli kichwa ngumu,maswali gani ya kuhoji uumbaji?Take care!
Kwani wewe ni muumba na ulikuwepo kipindi wanaumba ....na kama ni hivyo mbona wakiume tuliwekewa chuchu si wangezitoa tu....All in all huwezi jua labda Muumba aliweka au la usi-imaging vitu usivyokuwa na uhakika navyo kama vipi na wewe chora picha zako...Hata kama ni imaginary pictures zisingekuwa na vitovu kwa sababu hawakukaa kwenye tumbo la uzazi.