Adani Group kutumia Tsh. Trilioni 2.4 kuwekeza kwenye Umeme Tanzania

Adani Group kutumia Tsh. Trilioni 2.4 kuwekeza kwenye Umeme Tanzania

Hii serikali ya CCM ingekua na akili ingeleta wawejezaji kwenye sekta ya maji.
Dar maji tabu, sijui Tabora, singida vijijini huko kwa kina mwigulu hakuna maji ya bomba, tuseme serikali hawalioni Hilo?
Tumejenga bwawa MTU anakuja mchana kweupe anakuambia anataka kukuletea umeme, hata Kama hatuna akili hii Ni extreme.


Huyu mwekezaji haleti umeme.

Huyu anakuja kujenga miundombinu ya nyaya za kusafirisha umeme mkubwa. Ila haji kuzalisha umeme
 
Hao jamaa wanakuja kuvuna pesa ya Tanganyika.
Wahindi wamegundua viongozi wa Tanganyika hanazo.
 
Serikali ya Tanzania inafanya mazungumzo na Adani Group ya India na Gridworks Development Partners ya Uingereza kwa ajili ya kuingia ubia wa uwekezaji katika Mradi wa Umeme kwa Dola Milioni 900 (Tsh. Trilioni 2.4) na Dola Milioni 300 (Tsh. Bilioni 817).

Mtandao wa India Times umeandika Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema mazungumzo yanaendelea.

Huo ni mwendelezo wa Bilionea wa India, Gautam Adani ambaye ameonesha nia ya kutanua soko lake Afrika Mashariki kwa kuwa mbali na kusaini Mkataba wa Miaka 30 katika Bandari ya Dar es Salaam pia anataka kuwekeza katika umeme Nchini #Kenya katika Mradi wa Dola Milioni 736 (Tsh. Trilioni 2).

==================

Adani Group seeks to invest $900 million in Tanzania power lines

Tanzania is negotiating with the Adani Group and UK company Gridworks Development Partners for public-private partnerships involving $900 million and $300 million power-line projects. The Adani Group is also expanding in East Africa, including a 30-year concession in Dar es Salaam and ongoing talks in Kenya, sparking local protests and legal actions.

Tanzania is in talks with the Adani Group for a $900 million public-private partnership project to construct high-voltage power lines, according to an official of the east African nation.

Adani Group has expressed its interest to the East African government, according to David Kafulila, executive director of Tanzania’s Public-Private Partnership Centre. Tanzania is also in talks with UK company Gridworks Development Partners LLP for a $300 million power-lines project under the public-private partnership.

Indian billionaire Gautam Adani’s company is expanding its footprint in East Africa with investments in Tanzania and neighboring Kenya. Tanzania awarded it a 30-year concession in May to operate the main container terminal at the port of Dar es Salaam.

In Kenya, Adani is in talks with the nation’s electricity transmission company for a concession to construct high-voltage power lines valued at $736 million. The group’s proposal to run the nation’s main airport in the capital, Nairobi, has sparked protests, Senate hearings and lawsuits.

Source: Indiatimes
Baada ya miaka 5 ijayo subirini ripoti ya upigaji huyu ni mwamba kwa issue kama hizi
 
Kenya wananchi wanawasha moto hawawataki hao Adani, Bongo tutawalaki kwa nderemo na hoihoi.
Kichwa cha mwendawazimu.
 
Kwani zikijenga za ndani Taifa litapungukiwa na Nini?

Kama wewe ndio Kafulila basi unachokitafuta kitaliponza Taifa...mpe hiyo Tender hata Bakhresa hiyo pesa irudi nyumbani...

Hawa watu wa mtandao wa Kifisadi ndio maana hawampendi Tundu Lisu na Mwabukusi.

Hii nchi imejaa ufisadi mtupu.
Tunatumia Tozo na kodi nyingi kuwauliza wananchi wa kawaida halafu yanajutokeza mahindi yanakuja kutafuna kodi zote na kuwapandisha watu bili za umeme.

Lile kundi la Waahuni lipo madarakani watawaumiza Watanganyika sana .
Kundi la wauaji halijali mtu yeyote zaidi ya maslahi yao . Bahati mbaya sana Katiba inawabeba sana watawala na kuwaumiza Wananchi . Ni bora Jeshi lishike nchi kuliko kuumizwa na wahuni wasio na uzalendo. Hii nchi kama vile iko kwenye soko la kuuzwa na kuiingiza kwenye migogoro ya kitaifa na kimataifa . Kuna jambo baya linakuja endapo hawa wahuni wataendelea kuikalia Tanganyika kwa sababu wanaona ni sehemu laini ya kuchukua fedha za umma na kuwaacha wananchi wakitaabika kwa kuongezewa kodi kufidia wizi wao.

Waliopo leo madarakani wanawaza maslahi yao binafsi na watoto wao huku wakiwatumia wageni kwa kujifanya ni wawekezaji.

Tuna haja gani ya kuwa na shirika la umeme linalokusanya mabilioni ya fedha kama hawana uwezo wa kuajiri wataalamu kujenga miundo Mbinu yake . Kwa nini tuwe na shirika linalofanya kazi za udalali. ?

Watanganyika siku tukiweza kuwakataa wahuni na machawa kwa umoja wetu bila kujali nafasi na vyama vyetu tutakuwa tumeliokoa Taifa hili linaloelekezwa kuzimu na hawaachawa wa Lusifer. Kikundi kadogo kanakwapua kila kitu matokeo yake tunashindwa kutoa huduma muhimu kama afya na ulinzi kwa jamii . Ndio maana hospitali gharama ni kubwa sana . Jeshi la ulinzi linategemea vita ya Kongo na Dafuri kuboresha maisha yao . Yaani bila mwanajeshi kwenda Kupigania maisha ya wakongo na wasudani hawaezi kuwa na masha bora kwa kupigania na kulinda mipaka ya Tanzania ambayo ni nchi yao kwa sababu tu ya majizi wachache.
Huu uhuni haufai kabisa . Kwani wangepewa Jeshi la Wananchi kujenga miundo mbinu kama taasisi ya wananchi kwa faida ya watanzania ingeshindikana. Au tu kwa sababu Kafulila na anayemtuma watakosa 10%?
Mbona Pakitokea janga la kuharibika miundo mbinu kwa ghafla tunatumia Jeshi kurejesha hali sawa . Iweje pakiwa na hali ya amani hatuwatumii wanajeshi wetu kujenga miundo mbinu ili kupunguza gharama na fedha za ndani kuchukuliwa na wageni kwa faida ya watawala wachache huku wananchi wakipandishiwa gharama za umeme na kodi kila kukicha?
Wanasiasa wanalithamini Jeshi na Polisi wakati wa uchaguzi tu baada ya uchaguzi wanawaacha bila kujali maisha yao ndio maana hata wanajeshi au polisi wanaokufa waakati wa kutekeleza majukumu yao fidia yao hailingani na kazi yao . Wengi wanakimbilia Nje kulinda nchi nyingine na ndipo kama Kongo mana mikataba ya kulipa fidia kwao inajali kujitoa kwao.
CCM ijitathimini kama bado inafaa kuendelea kuwa chama cha Kutetea wanyonge au kimekua ni kichaka cha wezi na kuwadhibiti wanyonge wanaopinga ufisadi.
Uwekezaji Tanganyika kwa wagani ni mwepesi ila kwa wazawa ni jambo gumu sana kutokana na rushwa.

Kama Watanganyika kila kitu hatuwezi wenyewe bila Wageni kama CCM na Mwenyekiti wake wanavyotuaminisha kwa nini maandamano ya Chadema hawatumii polisi kutoka nje ya nchi ?

Kwa nini tunaambiwa kila kitu wasomi wetu hawawezi lakini Linapokuja suala la Kuzuia maandamano hapo tunaambiwa Majeshi yetu ni imara hayahitaji kusaidiwa . Kumbe tunaweza kujilinda kama taifa lakini hatuwezi kuzuia wezi wa mali za umma . Na wezi wa mali za umma ni waliopo madarakani maana ndio wanaoshika Hazina na matumizi na mipango ya nchi.
 
Naanza kupata clue hapa...

Huyo mama yenu si alitunukiwa PhD uchwara mwaka jana India?

Kaenda Korea tena katunukiwa PhD uchwara , na kusaini mkataba wa mkopo pale terms mbovu za mkataba zilipoonekana ndio ile safisha safisha ikapita Ikulu ikianzia na Zuhura Yunus.

Basi kuna shida mahali , na watu wameshaona mwanya ndio wanapitia hapo.
 
Sijui kwanini mafisadi yanapenda sana kuwekeza kwenye umeme.

Tuliambiwa kwamba NHEPP ikianza kufanya kazi tatizo la umeme litakuwa historia what happened.
Sekta ya umeme kwenye taifa ni sekta nyeti sana hao wakiwekeza hayo mamilioni ya dola basi wanaweza kupata access moja kwa moja na huwezi kumnyima access au control mtu amewekeza mamilioni na siku wakitaka kuliangamiza taifa basi ni zoezi la sekunde tu wote tunateketea
 
Sijui kwanini mafisadi yanapenda sana kuwekeza kwenye umeme.

Tuliambiwa kwamba NHEPP ikianza kufanya kazi tatizo la umeme litakuwa historia what happened.
Waulize chichiem mzee wao ndiyo washika dola

Ova
 
Anaweka umeme wa ai. Tanesco waje na mahitaji wapeleke bungeni kwenye kamati. Ijadiliwe nini cha kufanya. Shida ni pesa au utaalamu..kifupi adani akipewa jua tushapigwa na tutamlipa hiyo trillioni tu. So kuweni na huruma na wanachi duniani tunapita
 
Serikali ya Tanzania inafanya mazungumzo na Adani Group ya India na Gridworks Development Partners ya Uingereza kwa ajili ya kuingia ubia wa uwekezaji katika Mradi wa Umeme kwa Dola Milioni 900 (Tsh. Trilioni 2.4) na Dola Milioni 300 (Tsh. Bilioni 817).

Mtandao wa India Times umeandika Kamishna wa Idara ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema mazungumzo yanaendelea.

Huo ni mwendelezo wa Bilionea wa India, Gautam Adani ambaye ameonesha nia ya kutanua soko lake Afrika Mashariki kwa kuwa mbali na kusaini Mkataba wa Miaka 30 katika Bandari ya Dar es Salaam pia anataka kuwekeza katika umeme Nchini #Kenya katika Mradi wa Dola Milioni 736 (Tsh. Trilioni 2).

==================

Adani Group seeks to invest $900 million in Tanzania power lines

Tanzania is negotiating with the Adani Group and UK company Gridworks Development Partners for public-private partnerships involving $900 million and $300 million power-line projects. The Adani Group is also expanding in East Africa, including a 30-year concession in Dar es Salaam and ongoing talks in Kenya, sparking local protests and legal actions.

Tanzania is in talks with the Adani Group for a $900 million public-private partnership project to construct high-voltage power lines, according to an official of the east African nation.

Adani Group has expressed its interest to the East African government, according to David Kafulila, executive director of Tanzania’s Public-Private Partnership Centre. Tanzania is also in talks with UK company Gridworks Development Partners LLP for a $300 million power-lines project under the public-private partnership.

Indian billionaire Gautam Adani’s company is expanding its footprint in East Africa with investments in Tanzania and neighboring Kenya. Tanzania awarded it a 30-year concession in May to operate the main container terminal at the port of Dar es Salaam.

In Kenya, Adani is in talks with the nation’s electricity transmission company for a concession to construct high-voltage power lines valued at $736 million. The group’s proposal to run the nation’s main airport in the capital, Nairobi, has sparked protests, Senate hearings and lawsuits.

Source: Indiatimes
another smell of grand corruption, yaani hawa umbwa wamenunua uwanja wa ndege kenya na eneo lote hadi mpaka wa namanga kwa madai ya uwekezaji mara hii wanakuja bongo maaweeeeeeeeeeeee, mmekwisha sasa hayo mamegawati ya stiglers hayawatoshi ama, misielewei kabisaaaa.
 
Mnamo tarehe 24 January 2023, Hindenburg ilichapisha ripoti inayoshutumuAdani Group kwa udanganyifu wa hisa na mambo ya kifedha katika miradi ya miongo mingi, na kuuita "udanganyifu mkubwa zaidi katika historia ya kampuni".
 
Hisa za Adani Group zilishuka hadi 2% katika biashara baada ya Utafiti wa Hindenburg kudai kuwa mamlaka ya Uswizi ilizuia zaidi ya $310 milioni katika akaunti kadhaa za benki za Uswizi. Fedha hizi zinaripotiwa kuhusishwa na madai ya utakatishaji fedha na kughushi dhamana zinazohusisha Kikundi cha Adani.
Na kupungua kwa hisa za Adani Group kulikuja baada ya Utafiti wa Hindenburg kudai kwamba hati za wafichuzi zilionyesha Mwenyekiti wa Bodi ya Dhamana na Ubadilishanaji wa Hisa ya India (Sebi) Madhabi Puri Buch alikuwa na hisa katika mashirika yasiyoeleweka ya pwani yaliyotumika katika 'kashfa ya wizi wa fedha za Adani Group.
CHANZO CHA HABARI:
Hindenburg
 
Hii ilikuwa comment yangu kwenye huu uzi na tayari huko kwa Tramp kimewaka. Jamaa kasheburuzwa mahakamani ila huku atapita bila kupingwa
Ruto alikuwa analihutubia bunge la Kenya leo na amefuta dili zote za Adani Kenya.

Sasa mazuzu kama kina Nape huwa wanasema mitandao haina nguvu ila uhalisia "whistleblower" wa mkenya aitwaye Nelson Amenya anayeishi Ufaransa ndio aliibua uchafu wa Adani kwenye mtandao wa X na hao Adani walimfungulia kesi ya defamation huko huko ila wao jana Marekani wamegundulika kweli wana dili chafu ila wakenya walipaza sauti kuikataa Adani mtandao wa X hadi serikali sasa imesalimu amri.

Kwa bongo na lile genge la kijani kwenye kumbi za bunge utashangaa wanapitisha mikataba ya hawa matapeli kama ilivyokuwa kwa DP World .
 
Back
Top Bottom