Poleni na maisha ya kuishi bila umeme wakuu!ebana me cjui nikoje,yan nkimtongoza demu 2 akinambia nimpe tym akafikirie,bac ntaanza kujipendekeza kwa kumrushia vocha,na kumuonyesha namjal kinafiki afu asilimia kubwa ya ninao wafanyiaga hvo huwa wanaingia king,then me nakula mzigo baada ya cku kadhaa namshit...so sasa hvi naanza kujsh2kia kuwa hyo co njia nzur ya kupata mpz wa kwel..ni2mie principal gan wakuu maana naona haya co maisha ukizingatia pesa zenyewe nnazoz2mia ni zenu nyie walipa kodi wa tanzania{boom}.
<br />huo ndo uanaume sasa, mpaka umalize chuo utakuwa umejua utamu wa kuhonga, unaweza kuhonga mshahara mzima kisa game la siku mmoja, hapo ndo utajua kuwa mtu huwezi kupiga chafya huku macho yanaona.
<br />We kweli una matatizo yani vocha ndio unaona unajua kuhonga achaga izo bana ebu ongeza bidii ktka kuhonga ili ukisema watu wakuelewe.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">unawapata kwa kuwarushia vocha tu......?</span></font></font>
<br /><br /><br />
<br /><br />
Na me kanichefua sana nilifiri labda anahonga nyumba,gari nk. Kumbe vocha? Damn!!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
khaaaah!!me nataka kuacha hii tabia mkuu.