Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,058
- 2,195
Poleni na maisha ya kuishi bila umeme wakuu!ebana me cjui nikoje,yan nkimtongoza demu 2 akinambia nimpe tym akafikirie,bac ntaanza kujipendekeza kwa kumrushia vocha,na kumuonyesha namjal kinafiki afu asilimia kubwa ya ninao wafanyiaga hvo huwa wanaingia king,then me nakula mzigo baada ya cku kadhaa namshit...so sasa hvi naanza kujsh2kia kuwa hyo co njia nzur ya kupata mpz wa kwel..ni2mie principal gan wakuu maana naona haya co maisha ukizingatia pesa zenyewe nnazoz2mia ni zenu nyie walipa kodi wa tanzania{boom}.