Addiction unaijua wewe! achana nayo kabisa

Kwa kipindi hiki, hali ya hewa hii, waongo watakuwa wengi, mimi nakuwa mkweli, mda huu na wakati huu, nipate kifua kimetuna, upaja umenona, na tako lenye spongy hivi, pembeni niwe na k-vanga ndogo mbili...siku inaisha poa kabisa!
 
Kufanya mazoezi , imekua addiction hasa kukimbia na kuruka kamba, yaan hii ni asubuhi na jioni ni kitu nnachofurahia sana !!
Kukimbia naenda kwa pace 5' kwa Km nikiwa na vibe hadi 4:40 😂 kwa kuruka kamba nikiwa na muziki na naruka style tofauti tofauti hata saa zima yani !
 
Uko vizuri jomba[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kwa kipindi hiki, hali ya hewa hii, waongo watakuwa wengi, mimi nakuwa mkweli, mda huu na wakati huu, nipate kifua kimetuna, upaja umenona, na tako lenye spongy hivi, pembeni niwe na k-vanga ndogo mbili...siku inaisha poa kabisa!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fanyaa jambo ukamilisheee hlo swala mkuu, manzi mkali mix vant na maji pemben ,aiseeeeee km nakuonaaa mkuu [emoji23][emoji1787][emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fanyaa jambo ukamilisheee hlo swala mkuu, manzi mkali mix vant na maji pemben ,aiseeeeee km nakuonaaa mkuu [emoji23][emoji1787][emoji23]
Mkuu wewe umenielewa sana! Ila kwenye dhambi tusioneane wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…