Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Babe😳😳😳Kwichi kwichi.. Mie napenda kwichi kwichi kuliko kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babe😳😳😳Kwichi kwichi.. Mie napenda kwichi kwichi kuliko kula
hii ni fungsa kazi nikaa siku bila net naumwaaaaAujuwi INTERNET
Uko vizuri jomba[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Kufanya mazoezi , imekua addiction hasa kukimbia na kuruka kamba, yaan hii ni asubuhi na jioni ni kitu nnachofurahia sana !!
Kukimbia naenda kwa pace 5' kwa Km nikiwa na vibe hadi 4:40 [emoji23] kwa kuruka kamba nikiwa na muziki na naruka style tofauti tofauti hata saa zima yani !
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fanyaa jambo ukamilisheee hlo swala mkuu, manzi mkali mix vant na maji pemben ,aiseeeeee km nakuonaaa mkuu [emoji23][emoji1787][emoji23]Kwa kipindi hiki, hali ya hewa hii, waongo watakuwa wengi, mimi nakuwa mkweli, mda huu na wakati huu, nipate kifua kimetuna, upaja umenona, na tako lenye spongy hivi, pembeni niwe na k-vanga ndogo mbili...siku inaisha poa kabisa!
Mwarabu aje kuchukua tu bandari!Kwa kipindi hiki, hali ya hewa hii, waongo watakuwa wengi, mimi nakuwa mkweli, mda huu na wakati huu, nipate kifua kimetuna, upaja umenona, na tako lenye spongy hivi, pembeni niwe na k-vanga ndogo mbili...siku inaisha poa kabisa!
Nyama Gani..kupika kupika vitu vitamu tamu..! +Nyama
Ukuu ukipiga tungi nyingi utasinsia sanaa baada ya kupiga stanmoko😊😊☺️☺️[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fanyaa jambo ukamilisheee hlo swala mkuu, manzi mkali mix vant na maji pemben ,aiseeeeee km nakuonaaa mkuu [emoji23][emoji1787][emoji23]
AiseeUnajua addiction ya ganja wewe
Wewe utakuwa mmoja wa wale waongo, sema ukweli wako kama mimi😅Mwarabu aje kuchukua tu bandari!
Upo mulemule😄Wewe utakuwa mmoja wa wale waongo, sema ukweli wako kama mimi😅
Mkuu wewe umenielewa sana! Ila kwenye dhambi tusioneane wivu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]fanyaa jambo ukamilisheee hlo swala mkuu, manzi mkali mix vant na maji pemben ,aiseeeeee km nakuonaaa mkuu [emoji23][emoji1787][emoji23]
Huoni mimi naenda mbinguni, jamaa anapenda tuwe wakweli hata kama ni kwenye dimbwi la maovu.Upo mulemule😄