Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ni Kibudenga alikuwa na mbwembwe mpaka ukafikia hatua ya kumfananisha na Mayele?awe cool kama Luis. Aache mbwembwe,mpira ukija kugoma atajuta
kama masuala ya mpira yamekupita kushoto si utulie tu mjomba?Taifa la ovyo Sana hili mnaenda kuwatafuta wachezaji kutoka huko Kuja kuchukua peza zetu Happ ndani Ni Bora nikoze ubingwa huo lkn siwezi kukubali wachezaji wageni kuwa wengi kiasi hiki alfu wa wakawaida Sana huku tumewacha wachezaji wa ndani na mishahara ya laki Saba hi siyo sawa keanya Uganda rwanda na hata misri Hakuna upumbafu huu Kama wa kwetu
Mtu unamchukuwa morison au chama alambe mishara was milion 15 had 230 milion za uhamissho siyo sawa hiki
Na anayetumia hii account sidhani kama ni muhusika mwenyewe. Halafu alishaona washabiki wa Tz shobo nyingi sana na ndio nafasi yake kutengeneza attention ili wana Simba wamiminike kwa kum followAnawatumia wabongo kupata followers kwenye mitandao yake ya kijamii
Wachezaji wa ndani waache ujinga wa uyanga na simba.Taifa la ovyo Sana hili mnaenda kuwatafuta wachezaji kutoka huko Kuja kuchukua peza zetu Happ ndani Ni Bora nikoze ubingwa huo lkn siwezi kukubali wachezaji wageni kuwa wengi kiasi hiki alfu wa wakawaida Sana huku tumewacha wachezaji wa ndani na mishahara ya laki Saba hi siyo sawa keanya Uganda rwanda na hata misri Hakuna upumbafu huu Kama wa kwetu
Mtu unamchukuwa morison au chama alambe mishara was milion 15 had 230 milion za uhamissho siyo sawa hiki
Hivi hapa bongo una mtu kama mayele, vipi inonga? Mna chama? Kwenye usajili kuptia na kukosea kumo. Wachezaji wenye kiwango kikubwa(kwenda nao kucheza popote) ndani ni wachache mnoo, kina tshabalala, fei toto na wenzao, sio hao kina mzamiru.Taifa la ovyo Sana hili mnaenda kuwatafuta wachezaji kutoka huko Kuja kuchukua peza zetu Happ ndani Ni Bora nikoze ubingwa huo lkn siwezi kukubali wachezaji wageni kuwa wengi kiasi hiki alfu wa wakawaida Sana huku tumewacha wachezaji wa ndani na mishahara ya laki Saba hi siyo sawa keanya Uganda rwanda na hata misri Hakuna upumbafu huu Kama wa kwetu
Mtu unamchukuwa morison au chama alambe mishara was milion 15 had 230 milion za uhamissho siyo sawa hiki
Kama dogo fey anapenda uyanga sana ndo unamkwamisha muda si mrefu ataanza kulialia kama NgasaWachezaji wa ndani waache ujinga wa uyanga na simba.
Unatumikia timu kwa gharama kubwa halafu unaleta uyanga na usimba badala ya kupigania taaluma yako.Ndio upumbavu walio nao wachezaji wetu