Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa muandiko wako huu naelewa ni kwanini unawachukia wageni.... Hata walimu ulikuwa unawachukia sana shuleniTaifa la ovyo Sana hili mnaenda kuwatafuta wachezaji kutoka huko Kuja kuchukua peza zetu Happ ndani Ni Bora nikoze ubingwa huo lkn siwezi kukubali wachezaji wageni kuwa wengi kiasi hiki alfu wa wakawaida Sana huku tumewacha wachezaji wa ndani na mishahara ya laki Saba hi siyo sawa keanya Uganda rwanda na hata misri Hakuna upumbafu huu Kama wa kwetu
Mtu unamchukuwa morison au chama alambe mishara was milion 15 had 230 milion za uhamissho siyo sawa hiki
Na wao waache usengelema wao,waende nje wakatafute mishahara mikubwa.Taifa la ovyo Sana hili mnaenda kuwatafuta wachezaji kutoka huko Kuja kuchukua peza zetu Happ ndani Ni Bora nikoze ubingwa huo lkn siwezi kukubali wachezaji wageni kuwa wengi kiasi hiki alfu wa wakawaida Sana huku tumewacha wachezaji wa ndani na mishahara ya laki Saba hi siyo sawa keanya Uganda rwanda na hata misri Hakuna upumbafu huu Kama wa kwetu
Mtu unamchukuwa morison au chama alambe mishara was milion 15 had 230 milion za uhamissho siyo sawa hiki
maskini tu yule wakiitwa wenye hela na yeye ataenda kweli?Hakuna kitu hapo mudi hana hela
inawezekana ni habari ambayo hutaki kuisikia. Utopolo bhana!Anawatumia wabongo kupata followers kwenye mitandao yake ya kijamii
Mazuzu yanateseka, Teseka tu, umejitakia.Hakuna kitu hapo mudi hana hela
kumchukia tajiri haikufanyi wewe kuwa tajiri pia.maskini tu yule wakiitwa wenye hela na yeye ataenda kweli?
Kweli ila inasemekana walishindwana na moTayari Adebayor amepost instagram akiwauliza watanzania kama wapo tayari, Je ni timu gani imekaribia kumnasa huyu striker. Na siku 3 zilizopita alipost akifanya online conference na Mo.
Yaah! Hii habar kuhusu ku....fi........rwa kwa Mama yako wala hata sitaki kuisikiainawezekana ni habari ambayo hutaki kuisikia. Utopolo bhana!
Tayari Adebayor amepost instagram akiwauliza watanzania kama wapo tayari, Je ni timu gani imekaribia kumnasa huyu striker. Na siku 3 zilizopita alipost akifanya online conference na Mo.
Yaah! Hii habar kuhusu ku....fi........rwa kwa Mama yako wala hata sitaki kuisikia
Uungwana hauwezi kuanzia kwangu mkuuMmmmmh tuwe waungwana jamani
Jamaa wa kawaida sanaHapo hakuna mchezaji, nimemwangalia leo hakuna kitu
Kama Ajib au sio?Kama dogo fey anapenda uyanga sana ndo unamkwamisha muda si mrefu ataanza kulialia kama Ngasa