Adebayor: Watanzania mpo tayari?

Adebayor: Watanzania mpo tayari?

Jamaa wa kawaida sana
Nazishauri Simba na Yanga wasikurupuke kusajili wachezaji wa kigeni wale wanaotajwa na Wahandishi wetu wa habari sababu wengi wao ni wachezaji wa kawaida sana kama huyo Adebayor, Moses Phiri.
 
Mambo yao waachie wenyewe, kwanza wamebusiana wanaume kwa wanaume...
 
Sas unakuta wale wote wanaojifanya wanatamba ktk ligi yetu Hakuna hata mmoja amwitwa timu ya taiafa lao siyo wa simba Wala yanga
Hao hao ndo size yetu kulingana na ligi yetu ilivyo.
 
Back
Top Bottom