Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?Aden Mwamunyange umenikumbusha enzi za Jlile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu yenye sura nyingi za ajabu.
Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard.
Huku Kuna Mahita, kule kuna mmiliki wa mabasi ya Buffalo.Aden Mwamunyange umenikumbusha enzi za Jlile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu yenye sura nyingi za ajabu.
Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard.
Sijafikiria, ulitakaje?Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?
Kaka ni uongo ?!Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?
Yeah, iko ngwengweluka long time kitamboriloNamkumbuka miaka ya nyuma tulikutana sana buguruni sewa bar akiwa na kmpani zake..
Na akionekana dhoofu kitambo sana
Tumegonga nae vyombo sanaNamkumbuka sana wakati huo akiishi Buguruni maghorofa ya polisi baadaye alipostaafu nasikia alihamia Lumo,sijui ndipo msiba ulipo?
Aden Mwamunyange aliywahi kuwa msrmaji wa Jeshi la Polisi ni mkubwa na Davis Mwamunyange aliyekua mkuu wa majeshi ni mdogo.Aden na davis ni mmoja
Ila alikua mtu poa sana. Hakua na shida na mtu. R.I.P Mwamnyange Adendu apumzike kwa amani alikua mtu wa vyombo sana