Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
R..I.p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kinacho fanyika bila ya kutumua fikira!?Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?
Anajaribu kujitoa ufahamuKaka ni uongo ?!
Kweli alikuwa mtu wa tungiMalta Park walikuwa na meza yao kabisa yeye na kampani yake
AhahhahhAden Mwamunyange, umenikumbusha enzi za lile Jeshi la Polisi la Kijambazi. Jeshi la Polisi linapitia nyakati ngumu zenye sura nyingi za ajabu.
Kutoka Ujambazi hadi sasa hivi walipoamua kuliweka chini ya Green Guard upande mmoja na upande mwingine kama moja ya Jumuiya ndani ya Chama.
Yule Chiku mfadhili mkuu wa majambazi eerHuku Kuna Mahita, kule kuna mmiliki wa mabasi ya Buffalo.
Nchi hi sinema zisizo na ukomo
Yeah, msiba uko LumoNamkumbuka sana wakati huo akiishi Buguruni maghorofa ya polisi baadaye alipostaafu nasikia alihamia Lumo,sijui ndipo msiba ulipo?
Shukrani Sana Kwa TaarifaYeah, msiba uko Lumo
Unaogopa maiti?Je umefikiria kwanza kabla ya kuandika?
Bujibuji osofia wwYeah, iko ngwengweluka long time kitamborilo
Pole sana familia na kijana wake B. Sijui kama bado yupo US. Pole sana kwa wafiwa.Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Ilikuwaje hii kamandaHuku Kuna Mahita, kule kuna mmiliki wa mabasi ya Buffalo.
Nchi hi sinema zisizo na ukomo
His days were really near..
Kuna mwingine alikuwa RPC kigoma au Tabora anaitwa ChakaHuku Kuna Mahita, kule kuna mmiliki wa mabasi ya Buffalo.
Nchi hi sinema zisizo na ukomo
Matatizo ya kupumua?Atazikwa na watu 10 tu!
Mwananchi voice