Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Atazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.Atazikwa na watu 10 tu!
Mwananchi voice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.Atazikwa na watu 10 tu!
Mwananchi voice
Yeah, iko ngwengweluka long time kitamborilo
Umenisambukila J[emoji3][emoji3] bro kwema? I miss you
Atazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.
Majirani zangu Kyela hao , ila mkuu kaugua si mchezo , Apumzike kwa amani .Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Ngonga, Itunge, Tenende, Bujonde, Matema etc Kyela kununu mweeMajirani zangu Kyela hao , ila mkuu kaugua si mchezo , Apumzike kwa amani .
Siku zote nilidhani ni wa asili ya kisomali pamoja na akina BasheAtazikwa na watu wa kutosha, kule kijijini kwao Ngonga mama yake ni mtu poa sana, anahudhuria misaba ya wengine hivyo wanyakyusa hawawezi kumtupa.
Khangi kuli ni Mboto fijo !Ngonga, Itunge, Tenende, Bujonde, Matema etc Kyela kununu mwee
Naloli mweee, ifindu fyisywileKhangi kuli ni Mboto fijo !
Ifindu fikelilweKhangi kuli ni Mboto fijo !
Alikuwa anapenda sana kukaa pale Buguruni Rozana bar ukienda unamkuta meza yake kazungusha bia kila kiti mradi tu akae mwenyewe. Mungu amlipe kwa kadri ya alichovuna akiwa hai.Aliyekuwa msemaji wa jeshi la Polisi ndugu Aden Mwamunyange amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwamunyange ambaye ni Kaka wa Davis Mwamunyange aliyekuwa CDF.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu
Ni mnyakiSiku zote nilidhani ni wa asili ya kisomali pamoja na akina Bashe
Momumo!!Ngonga, Itunge, Tenende, Bujonde, Matema etc Kyela kununu mwee
Mwalimu mkuu mmoja ni shabiki mkubwa wa mpira akisimama msitarini asubuhi hadi kwanza ataniane na wanafunzi kuhusu mechi za jana.Shule yake daima ndiyo inayoshika mkia.Na askari anayeshinda kunywa pombe na wahalifu hawezi kumkamata jambazi.Miaka ya 2000 tulikua nae sana pale Malta Buguruni. Pamoja na vurugu za Buguruni lkn Malta ilikua Ni amani na utulivu. Meza yake ilikua ndani mkabala na kaunta.