Adha hii itaisha lini!

Adha hii itaisha lini!

Mie naona yote sawa tu. Acha wakae. Sidhani kama baba na mama zao wanajali sana matatizo ya watoto wao. Uchaguzi ukija, wanavuta T-shirt na kuchagua viongozi ambao watawaweka watoto wao chini.

Yes, narudia tena "WACHA WAKAE saaana tu hadi waote hapo ardhini."

Ningelikuwa mgombea wa Urais ningeliwaambia hivyo hivyo. Wakitema wakimeza shauri yao.

Hapa mbavu zinauma ... nilikuwa nasubiria kuona ukiweka jina la Mramba au Kikwete baada ya usemi huo (maana wao ndio wanatoa(ga) majibu ya hivi).
 
Adha hii imeanza baada ya jamaa wa mikoani kukimbilia bongo... Bongo imejaa!

Sio kweli. Shule niliyosoma hakuna darasa lililokua na zaidi ya madawati 10, ina maana kabla wamikoani kuja Dar darasa lilikua linabeba wanafunzi wangapi?
 
Imenikumbusha mbaaali sana huko songea vijijini mwanafunzi anakwenda shule kavaa kaniki!
 
Wasipo chafuka watajifunzaje?waache wazoee shida ili watakapo kuwa walipize kisasi kwakulifisadi taifa!!!
 
Back
Top Bottom