pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 368
- 169
Salute kaka kwa historia hiyo kweli watu wa zamani walipata taabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dini hizi zimesaidia sana kupunguza unyama wa watu
kweli kabisadini hizi zimesaidia sana kupunguza unyama wa watu
hUpon Uzi nitaleta watu 10,waliokifa kwa mateso makali zaidi duniani
Kifo cha msalaba kilikuwa ni moja ya kifo kbaya na chakikatili zaidi kilicho kuwa kinatolewa kwa watu wenye makosa makubwa yenye kustahili kifo kwenye baadhib ya majimbo ya roman empire, haikuwa tu mtu kuchapwa fimbo,ila kabla ya kutundikwa ulichapwa kwanza mijeledi yenye vipande vya vyuma kama visu ambapo huondoa vya nyama kila ulipo tua mwili.kiujumla kila mahala kulikuwa kunadhabu kulingana na makosa mfano Leo nchi zina nyonga USA badhi ya majmbo wanachoma sindano ya sumu,na uarabun wana kupga mawe hadi ufe.ACHA UZWAZAZWA, KUGONGELEWA MISUMARI NA KUCHAPWA MIJELEDI sijui fimbo NAYO NI ADHABU? stori ya yesu ni ya watoto. ADHABU NDO KAMA HIZO ZA MTOA MADA.
uko wapi huo uzi mkuuUpon Uzi nitaleta watu 10,waliokifa kwa mateso makali zaidi duniani