kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Nashauri ingekuwa hiviiii!!
Kwa kitendo cha Washabiki wa Simba kuharibu viti uwanja wa taifa ilihali havikuwa na uhusiano wowote na tukio lililotokea uwanjani, TFF wangewapiga fine Simba ya fedha tasilimu,pamoja na kuwapa adhabu ya kucheza michezo mitano au zaidi bila ya washabiki wao. Hivi vitendo vikifumbiwa macho na kutolewa vi fine uchwara hvi kuna siku atakufa mtu uwanjani!
Kwa kitendo cha Washabiki wa Simba kuharibu viti uwanja wa taifa ilihali havikuwa na uhusiano wowote na tukio lililotokea uwanjani, TFF wangewapiga fine Simba ya fedha tasilimu,pamoja na kuwapa adhabu ya kucheza michezo mitano au zaidi bila ya washabiki wao. Hivi vitendo vikifumbiwa macho na kutolewa vi fine uchwara hvi kuna siku atakufa mtu uwanjani!