Adhabu kwa wanaume ambao hawaogi

Adhabu kwa wanaume ambao hawaogi

Hahaha hahaha hahaha kama mm wala sigombani nae nkawapa watu faida namhamishia chumba chengine tuuu huko akioga asipooga shauri ake
 
Unachokisema ni sahihi dada!

Tena ukiwa umeoa,unawezaje kukaa bila kuoga!
Ndio hapo Kaka sababu kile kitendo cha kuwa na Mke tu ni dhahiri kwamba amekomaa kiakili.

Na miili yetu hii hasa maeneo tunayoyafunika ipite siku mbili hayajafanyiwa usafi si mtihani huo Kaka. Alistahili kulazwa nje kwa kweli.

Japo ningekuwa mie ningejipa kwanza muda wa kumbadilisha nione kama atabadilika ikishindikana ndipo nifanye maamuzi yenye kumuumiza kisaikolijia.
 
Part gani jamaaani Mumy, Kwani mtoto mdogo huyo?

Vipo vya sisi kuwahimiza ila si kuoga.
Unamhimiza, bado hataki. Na wewe ndo uonae kero ya kulala na "mchafukuoga". Ndo hapo pa kumgeuza mtoto na kumwogesha. Tena kwa kumbembeleza maana ukifanya kiubabe ataona kama unamwadhibu. Ila najiuliza, mume alikuwa hivyo kabla hajaoa? Au amebadilika baada ya kuoa? Vyovyote iwavyo, mke ndo amefuga uchafu
 
Unamhimiza, bado hataki. Na wewe ndo uonae kero ya kulala na "mchafukuoga". Ndo hapo pa kumgeuza mtoto na kumwogesha. Tena kwa kumbembeleza maana ukifanya kiubabe ataona kama unamwadhibu. Ila najiuliza, mume alikuwa hivyo kabla hajaoa? Au amebadilika baada ya kuoa? Vyovyote iwavyo, mke ndo amefuga uchafu

Ila waeza kuta mwanamke alishachoka kuhimiza huku mtu si wa kubadilika akaona hiyo ndio njia sahihi labda.

Pia sitaki kuamini kama mke ndio amefuga uchafu kwa kweli maana angekuwa ameufuga angeendelea kumvumilia kwa kuona ni sawa tu.
 
Ila waeza kuta mwanamke alishachoka kuhimiza huku mtu si wa kubadilika akaona hiyo ndio njia sahihi labda.

Pia sitaki kuamini kama mke ndio amefuga uchafu kwa kweli maana angekuwa ameufuga angeendelea kumvumilia kwa kuona ni sawa tu.
Bado najiuliza, wakati wa dating zao mwanaume alikuwa katika hali ipi ya usafi? Siku za mwanzo za wao kuishi pamoja alikuwaje? Maana ile ndo ilikuwa fursa pekee ya kumshape mume wake. Hata hicho kilichowaunganisha sijui wanakitendaje katika hali kama hiyo. Mi angeoga aisee
 
Back
Top Bottom