Adhabu ya Bunge kwa Mpina inatoa taswira halisi jinsi gani Bunge na serikali ya Tanzania inavyowaona wananchi

Adhabu ya Bunge kwa Mpina inatoa taswira halisi jinsi gani Bunge na serikali ya Tanzania inavyowaona wananchi

Maadam ni Maccm yenyewe yameamua kuhukumiana! Kwa kweli yatajuana yenyewe.
Let them kill each other after all they are animals.
 

Attachments

  • FB_IMG_1616545580714.jpg
    FB_IMG_1616545580714.jpg
    90.9 KB · Views: 1
Naomba kuuliza hata asipohudhuria, ila posho ya kila kikao si anapata km kawaida au?
 
M
Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo, ikimaanisha kwamba ushahidi alioutoa Bashe, ambao uko wazi sana ni jinsi gani Bashe alidanganya, unaonwa kuwa ni uongo.

Mtu yeyeote mwenye akili timamu atajua ni nini kinachoendelea hapa, na wabungewote wenye akili timamu hawakutaka kumdadili Mpina, kwa kuwa wanajua nini kiko nyuma ya pazia juu ya suala hili la sukari - kulinda wale waliopo juu, ambao waliamua kutumia biashara ya sukari kujifaidisha wao na famiia zao. Kuna baadhi ya Wabunge hata walisema wao wanamwachia Mungu, kwa sababu anaona kila kitu wanachofanya. Kauli ya kumwachia Mungu jambo hili ilipotolewa wabunge wengi waliinamisha vichwa vyao chini kwa aibu na "remorse".

Kwa hiyo basi, hii inamaanisha nini kwa sisi wananchi ambao tunaliona hili kuwa Bunge letu? Kwanza kabisa, ni kwamba Bunge hili limetukana sisi wananchi, limeonyesha wazi haliko na wananchi, bali liko pale kutumikia watu fulani katika ubinafsi na ufisadi wao, katika hujuma yao dhidi ya nchi hii. Pili ni kwamba wananchi tumedharauliwa sana, na hata zaidi wale waliomchagua Mpina kama Mbunge wao. Bunge limeamua kwa makusudi kuwadharau, dharau mbaya kuliko ile Mpina anayosema aliifanya kwa Spika.

Na niwaambie wazi, Spika wa Bunge anatumika tu, na hata kuna tetesi kuwa amekubali kutumiwa kwa sababu ya ahadi anazopewa. Ni mtu wa kuhurumiwa sana. Alitumika wakati wa awamu iliyopita, na anatumika katika awamu hii.

Mwisho niseme wazi, Bunge na serikali wanapaswa kutambua kwamba haya mambo yana mwisho wake, na mwisho wanaotulazimisha wazalendo halisi wa nchi hii tuutafute, hautakuwa mzuri kwao. Hilo ni dhahiri kabisa.
Ukiona mwenge unakuja mjini kwako kimbia halaka eneo hilo
 
Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo, ikimaanisha kwamba ushahidi alioutoa Bashe, ambao uko wazi sana ni jinsi gani Bashe alidanganya, unaonwa kuwa ni uongo.

Mtu yeyeote mwenye akili timamu atajua ni nini kinachoendelea hapa, na wabungewote wenye akili timamu hawakutaka kumdadili Mpina, kwa kuwa wanajua nini kiko nyuma ya pazia juu ya suala hili la sukari - kulinda wale waliopo juu, ambao waliamua kutumia biashara ya sukari kujifaidisha wao na famiia zao. Kuna baadhi ya Wabunge hata walisema wao wanamwachia Mungu, kwa sababu anaona kila kitu wanachofanya. Kauli ya kumwachia Mungu jambo hili ilipotolewa wabunge wengi waliinamisha vichwa vyao chini kwa aibu na "remorse".

Kwa hiyo basi, hii inamaanisha nini kwa sisi wananchi ambao tunaliona hili kuwa Bunge letu? Kwanza kabisa, ni kwamba Bunge hili limetukana sisi wananchi, limeonyesha wazi haliko na wananchi, bali liko pale kutumikia watu fulani katika ubinafsi na ufisadi wao, katika hujuma yao dhidi ya nchi hii. Pili ni kwamba wananchi tumedharauliwa sana, na hata zaidi wale waliomchagua Mpina kama Mbunge wao. Bunge limeamua kwa makusudi kuwadharau, dharau mbaya kuliko ile Mpina anayosema aliifanya kwa Spika.

Na niwaambie wazi, Spika wa Bunge anatumika tu, na hata kuna tetesi kuwa amekubali kutumiwa kwa sababu ya ahadi anazopewa. Ni mtu wa kuhurumiwa sana. Alitumika wakati wa awamu iliyopita, na anatumika katika awamu hii.

Mwisho niseme wazi, Bunge na serikali wanapaswa kutambua kwamba haya mambo yana mwisho wake, na mwisho wanaotulazimisha wazalendo halisi wa nchi hii tuutafute, hautakuwa mzuri kwao. Hilo ni dhahiri kabisa.
Dawa yao ni kuwapiga chini wote 2025
 
Hapo ndo unagundua mpina alikua sahihi kuidrop ile report kwa Uma. Kwa sababu alijua hakuna hatua, bunge/Mahakama/Rais wangechukua.

Kwa akili ndogo, Serikali inapuuza report ya CAG na mapendekezo yake ya wazi, ndo ije itetereke na report ya mpina 🤣

Sijawai kuandamana. Ila wangesema tuandamane kulishinikiza bunge, kumrudisha bungeni mpina ningeandamana.
 
Kwahiyo ushahidi wa Mpina umezimwa! Hautajadiliwa.
Hilo ni lazima lilikuwa na maagizo, na Mpina kuongea na waandishi ilikuwa ni loop hole waliyoipata. These people are so so so evil!

Mtu kama Jerry Rawlings wa Ghana alipokamata madaraka alipiga sana risasi watu, akidai walihusika na mambo kama yanayofanyika sasa Tanzania. Akazua mjadala mkali kama alichofanya ni sahihi au la. Siku zote nilimlaumu Rawlings kwa alichofanya, lakini sasa naanza kuona kama he had a point
 
Dawa yao ni kuwapiga chini wote 2025
Sio kwa wapiga kura wa Kitanzania. Umeona signature yangu inavyosema? Nilishasema humu ndani kwamba tatizo la Tanzania ni kwamba karibu 70% ya wapiga kura ni political semi-illiterates, na karibu 80% ya political literates hawapigi kura. Sasa kwa hiyo hesabu tu, CCM hata kabla ya uchaguzi wana kura karibu 60%, wakichukua wale 50% ya literates wanaopiga kura.

Kama vyama vya upinzani wana nia ya kuwaondoa CCM, wabadilishe meseji yao kwa wananchi - waanze kutoa ahadi za mambo watakawafanyia watu wakiiondoa CCM madarakani. Wasidanganywe kwamba wanapaswa kuuza sera. Kuwaambia wananchi tuaanzisha serikali za majimbo wakati hawajui maana ya jimbo haisaidii.

Waambie watu tutawazesha kupata mikopo, hadi mama Ntilie watapika kwa gesi,. Bei ya sukari itakuwa Shs 1500. Umeme utashuka bei na kila mtu atapata umeme. Tutaweka bei maalumu ya umeme kwa watu wasio na kipato, ikibidi wataumia bure kwa ajili ya taa na TV (cross subsidization). Daladala hamtapigwa faini tena za uonevu na trafiki. Haturaruhusu tochi za trafiki barabarani. Tutahakikisha barabara hazina shimo hata moja. Tutamwaga mabasi ya mwendokasi hadi yawe yanatembea bila watu, na tutaleta mwendokasi mikoani, nk, hii ndio lugha wapiga kura wa Tanzania wanaelewa, sio kutanganza Nyerere alikosea muungano sijui, mawaziri ni mafisadi nk. Wanachi hawaelewi hiyo lugha.
 
Mwisho niseme wazi, Bunge na serikali wanapaswa kutambua kwamba haya mambo yana mwisho wake, na mwisho wanaotulazimisha wazalendo halisi wa nchi hii tuutafute, hautakuwa mzuri kwao. Hilo ni dhahiri kabisa.
Acheni mikwara nyie waswahili....hamna cha kufanya.
 
Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo, ikimaanisha kwamba ushahidi alioutoa Bashe, ambao uko wazi sana ni jinsi gani Bashe alidanganya, unaonwa kuwa ni uongo.

Mtu yeyeote mwenye akili timamu atajua ni nini kinachoendelea hapa, na wabungewote wenye akili timamu hawakutaka kumdadili Mpina, kwa kuwa wanajua nini kiko nyuma ya pazia juu ya suala hili la sukari - kulinda wale waliopo juu, ambao waliamua kutumia biashara ya sukari kujifaidisha wao na famiia zao. Kuna baadhi ya Wabunge hata walisema wao wanamwachia Mungu, kwa sababu anaona kila kitu wanachofanya. Kauli ya kumwachia Mungu jambo hili ilipotolewa wabunge wengi waliinamisha vichwa vyao chini kwa aibu na "remorse".

Kwa hiyo basi, hii inamaanisha nini kwa sisi wananchi ambao tunaliona hili kuwa Bunge letu? Kwanza kabisa, ni kwamba Bunge hili limetukana sisi wananchi, limeonyesha wazi haliko na wananchi, bali liko pale kutumikia watu fulani katika ubinafsi na ufisadi wao, katika hujuma yao dhidi ya nchi hii. Pili ni kwamba wananchi tumedharauliwa sana, na hata zaidi wale waliomchagua Mpina kama Mbunge wao. Bunge limeamua kwa makusudi kuwadharau, dharau mbaya kuliko ile Mpina anayosema aliifanya kwa Spika.

Na niwaambie wazi, Spika wa Bunge anatumika tu, na hata kuna tetesi kuwa amekubali kutumiwa kwa sababu ya ahadi anazopewa. Ni mtu wa kuhurumiwa sana. Alitumika wakati wa awamu iliyopita, na anatumika katika awamu hii.

Mwisho niseme wazi, Bunge na serikali wanapaswa kutambua kwamba haya mambo yana mwisho wake, na mwisho wanaotulazimisha wazalendo halisi wa nchi hii tuutafute, hautakuwa mzuri kwao. Hilo ni dhahiri kabisa.
Tumeona walichofanya wabunge tunajiandaa kuchukua hatua kama kwa wenzetu Kenya
 
Bunge limejaa waovu. Hata siku moja hawawezi kupambana na uovu.
 
Hapo ndo unagundua mpina alikua sahihi kuidrop ile report kwa Uma. Kwa sababu alijua hakuna hatua, bunge/Mahakama/Rais wangechukua.

Kwa akili ndogo, Serikali inapuuza report ya CAG na mapendekezo yake ya wazi, ndo ije itetereke na report ya mpina 🤣

Sijawai kuandamana. Ila wangesema tuandamane kulishinikiza bunge, kumrudisha bungeni mpina ningeandamana.
Exactly, wezi wanalindana na wakati mwingine wanatumia fedha kulindana.
 
Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo, ikimaanisha kwamba ushahidi alioutoa Bashe, ambao uko wazi sana ni jinsi gani Bashe alidanganya, unaonwa kuwa ni uongo.

Mtu yeyeote mwenye akili timamu atajua ni nini kinachoendelea hapa, na wabungewote wenye akili timamu hawakutaka kumdadili Mpina, kwa kuwa wanajua nini kiko nyuma ya pazia juu ya suala hili la sukari - kulinda wale waliopo juu, ambao waliamua kutumia biashara ya sukari kujifaidisha wao na famiia zao. Kuna baadhi ya Wabunge hata walisema wao wanamwachia Mungu, kwa sababu anaona kila kitu wanachofanya. Kauli ya kumwachia Mungu jambo hili ilipotolewa wabunge wengi waliinamisha vichwa vyao chini kwa aibu na "remorse".

Kwa hiyo basi, hii inamaanisha nini kwa sisi wananchi ambao tunaliona hili kuwa Bunge letu? Kwanza kabisa, ni kwamba Bunge hili limetukana sisi wananchi, limeonyesha wazi haliko na wananchi, bali liko pale kutumikia watu fulani katika ubinafsi na ufisadi wao, katika hujuma yao dhidi ya nchi hii. Pili ni kwamba wananchi tumedharauliwa sana, na hata zaidi wale waliomchagua Mpina kama Mbunge wao. Bunge limeamua kwa makusudi kuwadharau, dharau mbaya kuliko ile Mpina anayosema aliifanya kwa Spika.

Na niwaambie wazi, Spika wa Bunge anatumika tu, na hata kuna tetesi kuwa amekubali kutumiwa kwa sababu ya ahadi anazopewa. Ni mtu wa kuhurumiwa sana. Alitumika wakati wa awamu iliyopita, na anatumika katika awamu hii.

Mwisho niseme wazi, Bunge na serikali wanapaswa kutambua kwamba haya mambo yana mwisho wake, na mwisho wanaotulazimisha wazalendo halisi wa nchi hii tuutafute, hautakuwa mzuri kwao. Hilo ni dhahiri kabisa.
Yaan hata CAG asingekuwa mteuliwa wa serikali angetimuliwa na Tulia.Na angeambiwa mawazir wanafanya,kazi nzuri ww unasema wanaiba. Chezea, shibe wewe. Shibe mwanamalevya.
 
Back
Top Bottom