Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Halafu kuna watu walitaka mahakama ya kadhi! Nahisi walikuwa na kisa na mtu.
Acheni unafki nyie wakiristo hao sadamu huseni alinyongwa tujiulize alinyongwa na waislam au ninyienyie wakristo au mnaegemea upande mmoja tu upande wa pili mnafumba macho anayeua lazma auwawe mfano mtu ameua familia yako naunajua kabisa ukimuacha ataua na wengine kwaiyo umuache aendelee kuleta mathara makubwa acheni unafki lengo hapa ni kukashifu dini ya kislam kama athabu mbona hata nyie wakiristo mnanyonya na kutesa watu
 
Punguza mapenzi kwenye dini..... Angalia madhara zaidi. Hapa tunahitaji kuwaokoa wenzetu maana nao wana mwili na nyama... Kama nafsi yako ilivo...hivyohivyo nao. Ndo maana hata mchinjaji anasema huwa wamelegea sana na wengine huomba wasamehewe.....lkn anasema kwao msamaha huwa haupo...... Sasa tunawasaidiaje nao waishi kama sisi!?
 
ISIS industry, tunapiga kelele juu ya isis kumbe walimu wanatoka Ardhi takatifu ya Mtume. Loohhh. Toka 98 mpaka leo so many people jamani kuchinjwa na mtu mmoja afu very proud anamfunza na mwanae kuchinja watu hapo baadae. WARNING¦ huyo mfalme akae chonjo na America siku urafiki ukibuma tu watamchinja yeye (DUNIA TAMBALA BOVU)
 
Shukrani mkuu The bold kwa makala yako safi. Baada ya kuisoma makala yako nikamkumbuka jamaa mmoja mnyongaji wa huko Uganda na uzi wake uliwahi kuwekwa hapa miaka michache ikiyopita ukienda kwa tittle ya met hung man of luzira prison jamaa alieleza mengi ambayo kwa akili ya kawaida inakubidi uwe na roho mbaya kuweza kutekeleza mauaji ya binadamu wenzio.

Ila makaka kama hizi mara nyingi huandaliwa na mashirika yanayotetea haki za kibinadamu kama Human right watch, Amest international na mengine.
 
Hao walomuua sadam hawakumuua kama kutimiza mapenzi ya Mungu bali yao, huwezi kuwalinganisha na hili. Anyway lengo ni kupinga hizi adhab ambazo hazina chembe ya utu,au wewe umeona ni sawa hivo wanavyofanya.
 
Asante @Thebold nimesoma mpaka nikajikuta machozi yananitoka.kuna nchi hazifa kuishi kabisa asee.
Na kuna watu wana roho za ajabu,Kama huyo mchinjaji.
Yaani ni bora tuendelee kusonga na tz yetu. Kuna nchi zina mambo ya ajabu kabisa ya dhahiri.
 
Tatizo mnachanganya dini na imani,ukristo ni imani tu na si dini..fikiria hili kuna tofauti kubwa hapo,wakristo wanaamua wenyewe lipi baya na lipi zuri hali hiyo ni tofauti na kwenye dini ambapo Mungu ndiye mwenye kusema lipi baya na lipi zuri.
Wapi kwenye qur-an kumeelezea wa2 wasome biblia acha kufananisaha tui la nazi na maziwa ww ww fuata imani yako wacha ss tufuate dini
 
Wajinga ndo wateleta ubishi wa kidini. Wenye IQ kubwa tumepata hali halisi ya maisha ya Saudi Arabia.
umenichekesha sana IQ kubwa umeshavumbua nn mpaka ss hivi wenzako wakina tesla pamoja na kiwa na iq kubwa hawakuwahi quote pumba kama hivi bila shaka una IQ ya 75 bado upo ndotoni tuuuuuuuuuu
 
Hao walomuua sadam hawakumuua kama kutimiza mapenzi ya Mungu bali yao, huwezi kuwalinganisha na hili. Anyway lengo ni kupinga hizi adhab ambazo hazina chembe ya utu,au wewe umeona ni sawa hivo wanavyofanya.
Wewe unaona hizo adhabu sio sawa ila wengine wanaona ni sahihi maana binaadamu tunatofautiana,kwani imani yako inasemaje mfano kuhusu mtu aliyeua?
 
MKUU UMEONGEA KI2 PANCTUAL SANA UNAJUA HAWA WA2 WANATAKA YAANI TUISHI KAMA DINI ZA MAGHARIBI HUKO YAANI USHOGA NDOA ZA JINSIA MOJA KWA WALE WAPENTECOSTE WA NCHI ZA NJE WAO WAONE POA 2 HAMUNA KI2 KAMA HIYO HOZO SHERIA ZA KWENYE MKUSANYIKO WA VITABU (BIBLE) MLIZITUNGA NYIE WENYEWE YAANI HATA AMRI NA MAFUNDISHO NDIYO NYIE MNAYACHAMBU What a dissrespect ??????????
 
WELL SAIDDDDDDD !!!!!!!! Kam na hii hamutaelewa bhasiiii nyie ni vichwa maaaaaaajiii
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…