Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Very informative. Thanks.
 
Mavazi, unatembea na Mume /mke wa mtu bila shida,kuzini kwa sana,wakati wenzetu hizo sababu zinaweza pelekea ukahukumiwa kifo.
Huoni tunaishi tupendavyo
Hakuna sehemu ambapo watu wanaishi watakavyo,hayo uliyoyataja hayakatazwi kwa huku ila kuna mambo ambayo yanakatazwa hivyo huwafanya wengine wasiishi watakavyo.

Hivyo sioni kama tunaishi tutakavyo.
 
Hakuna sehemu ambapo watu wanaishi watakavyo,hayo uliyoyataja hayakatazwi kwa huku ila kuna mambo ambayo yanakatazwa hivyo huwafanya wengine wasiishi watakavyo.

Hivyo sioni kama tunaishi tutakavyo.
nenda kaishi kule, afu linganisha na maisha ya huku
 
Kweli haufikiri ndugu ni hivi tukianzia na waisraeli vita kubwa ni kuwa wanasema wanapigania ardhi yao ya ahadi kwa kuangalia ushahidi ktk biblia bila shaka hapa dini inahusiswa kwa kuwa wengi wao pale ni wale wakristo na pia ukiangalia ni uongo kwa kuwa albert pike kiongozi mkubwa tu wa freemason mwenye alikuwa na degree ya 33 aliweza kuandika barua tatu za vita vya dunia kutokea na vita ya pili(second world war) ni itakuwa kutengeneza taifa la israel kasome kuhusu habari hizi google kwa hiyo ukiangalia hapo waisrael walitengenezewa taifa lao pale palestine na wao wanauwa watoto wa kipalestina tu kwa kisingizio cha nchi ya ahadi( nchi ya ahadi my foot) kw ushahidi wa kutokea kwenye bible:
-secondly kule gwantanamo bay watu wengi au wafungwa wengi sana wanaochomwa moto ni wale waislamu wenye asili ya kiarabu asa angalia kwa kutumia 2 simple logic
-haya kule burma wale karibia 65 percent kam si 75 ni mabudha ki2 wanachokifanya ni kusingizia kwamba dini yao ya ubudha imesema kiwa nyama ya muislamu ina weza saidia kuimarisha zaidi spirit zao na kuwaweka close to budha ambapo ki2 kinachopelekea waislamu wengi sana kuuwawa kikatili sana kwa kuchinjwa na kuchomwa moto hadharani bado tu haujaona hapo ?zote wantumia kisingizio cha DINIIIIIIIIIII.
 
Na wale wanaochomwa moto na kuliwa nyama kule burma sio binadamu na ni waislamu wale
 
hivi kwanini hawa watu wanaoqt uzi mzima nao wasipelekwe saudia kupigwa jambia za shingo!! maana daily tunabonga kuhusu hili tatizo kwamba mnavyofanya hivyo mnatutoa sunna sisi tunaotumia simu lakini hamwelewi, sheets zenu...Much respect kwako mkuu Bold a.k.a legend of anabelle. hizi dini zetu zina changamoto nyingi sana.Nafikiri la muhimu ni kutenda matendo mema yanayompendeza Mungu zaidi kuliko kutenda matendo ya kufurahisha dini zetu.Mahusiano mazuri na MUNGU ni bora zaidi kuliko hizi dini zetu hivyo tumche MUNGU zaidi na kujitengenezea pepo zaidi kuliko ushabiki wa dini ambao mara nyingi hupelekea mikwaruzano pale panapokutana imani mbili tofauti.
 
Word
 
Pamoja sana mkuu... Shukrani
 
nenda kaishi kule, afu linganisha na maisha ya huku
Tunatofautiana tu sheria zetu ila wote tunaishi kwa kufuata sheria hakuna mwenye kuishi atavyo kinyume na sheria.

Wewe unaona huku sheria hazikatazi kuzini ndiyo kuishi utavyo ila mashoga wanakatamwa sheria zetu zinatofautiana na nchi zengine kuhusu mashoga,hivyo pengine mashoga wa hizo nchi zengine wanaweza kusema wanaishi watakavyo tofauti na Tz.

Ndiyo maana nikasema tunatofautiana tu sheria ila wote tunaishi kadri sheria zitakavyo.
 
Well said mkuu...


Shukrani sana comrade!!
 
Wapi kwenye qur-an kumeelezea wa2 wasome biblia acha kufananisaha tui la nazi na maziwa ww ww fuata imani yako wacha ss tufuate dini
Sasa dini yako yakufaani ka hujui hata misingi yake, kaisome Quran vizuri bwana mdogo,
Muislam aliye isoma Quran huwezi mkuta anabisha ka wewe, atakupa kinaga ubaga juu Quran na Bible
 
Au na Wew unasubir zile 72...basi kama uko huko Toka haraka kabla Michael Mkuu hajawika...
 
Hivi nyie wajinga wajinga mnaoquote uzi wote hamjui kuwa mnatupa shida sisi tunaotumia simu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…