Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.

Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
 
Huwezi kuzuia watu kuzungumzia imani, wakati matukio unayotaka wayazungumzie chanzo chake ni imani. Na hao watendani wanakiri wazi kwamba wanfanya hivyo kwa sababu ya imani. Ikiwa wenye imani ya kiislam wanaona fahari katika imani yao kwa kufanya hayo/ kwa ni ni wewe unatukataza tusiongelee hiyo imani?

I mani ya usilama ni imani ya mashetanin. PERIOD!
 
Ngoja nitafute shilingi kwanza.jioni nikishakaa kwenye kahawa mdogo mdogo nije hapa.karibu ugali na Sato huku Mwanza ndugu The bold
 
Je mbona nchi zingine za kiislam hazitoi adhabu za kuchinja watu ina maana wanakwenda kinyume na maamrisho. Me nionapo hapo ni suala la kutoa kafara kwa mamlaka zilizojuu,na suala la tawala kujenga hofu na utii wa taifa la ndio mzee ili watawala wafanye watakavo,Unachinja mtu wakati we pia ni mfu mtarajiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom