Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
The Bold kumbuka kuni tag na mimi haya madini yako. Nimekuwa mfuatiliaji sana wa makala zako.........
 
Una maana kutekeleza imani ya dini pia unataka kumlaumu Mmarekani??? Aingilie kubadili kitabu cha imani au afanye niini? So far Marekani anaona maslahi yake yanafanywa na mfalme wa Saudi Arabia kwa nini amsumbue????
 
Una maana kutekeleza imani ya dini pia unataka kumlaumu Mmarekani??? Aingilie kubadili kitabu cha imani au afanye niini? So far Marekani anaona maslahi yake yanafanywa na mfalme wa Saudi Arabia kwa nini amsumbue????
Nisome vizuri mkuu,kuna nchi kaziharibu kabisa kwa kuwa hazikuwa na masilahi naye na nchi zengine hata zifanye unyama kiasi gani lakini hasemi kitu kisa tu ana maslahi nazo.

Lakini ajabu watu hawaoni kuwa Marekani pia ni tatizo kuwa anaweza kuharibu amani ya nchi za watu kwa sababu zake binafsi,watu wao wamekazana kulaumu dini tu hasa uislamu kuwa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani.
 
Kwani watoto wako wakinunua silaha kwangu kwa ajili ya chuki zao wakaja kuuwana ilo litakuwa kosa langu?

Kama mzazi umeshindwa dumisha na kuwafundisha amani familia yako yenye chuki ndani ya nyumba, itakuwa rahisi kuchochewa na mtu yeyote.

Matatizo ya wamanga waislamu ni yao wenyewe kutokana na upumbavu, udini na imani ya uwongo wa Allah na Quran.
 
Ndiyo unafki wa wakristo huu,yani ingekuwa wakristo wanafundishana upendo a upole basi mngeona kuwa Marekani ni sehemu ya tatizo katika kuvuluga amani. Ila bila aibu unasema kabisa kuwa ni ujinga wao waislamu hivyo Marekani hana cha kulaumiwa.
Mnatamka upendo muda wote ila kiuhalisia hamna upendo bali ni chuki tu zimejaa nafsini mwenu,na mada hizi zinawaambuwa yaliyomo mioyoni mwenu.
 
Nabii wa uwongo anafahamika kwa Matunda yake hayo ndiyo Matunda ya Muhamadi. Ndio maana Dunia nzima inaona Uislamu ni Hatari Kwa amani. Ukifika Tanga utawaonea huruma kila mtaa una waganga wasiopungua kumi na mashehe wakiwepo, watoto na wanaweke watembea na hirizi bila aibu. Ngoma za majini zipigwa mchana kweupe. Wanafunzi mashule wana angushwa na majini. kiufupi Tanga ni kama kuzimu karibuni muone, mimi sijaona jema kwenye hii dini ya Allah.
 
Kitabu hicho hicho kinatumiwa na Mganga halafu hicho hicho kinatumiwa msikitini. Yesu alituambia Ufalme unaopingana ni washetani. Quran inatumika kulogea hiyo hiyo inatumika kuagua. karibu Tanga uone maajabu ya Allah
 
Waarabu Ni katili sana
Hata watumwa waliotoka
Africa wafanyiwaa ukatili.
 
Waarabu na Waisrael ni wakatili sana!! ..

1. ............Waarabu wamaua binadamu wenzao...........

2. Waisrael walimuua Mungu wa ulimwengu huu Yesu.

Hao watu makatili sana aisee....
 
Waarabu na Waisrael ni wakatili sana!! ..

1. ............Waarabu wamaua binadamu wenzao...........

2. Waisrael walimuua Mungu wa ulimwengu huu Yesu.

Hao watu makatili sana aisee....
 
Waarabu na Waisrael ni wakatili sana!! ..

1. ............Waarabu wamaua binadamu wenzao...........

2. Waisrael walimuua Mungu wa ulimwengu huu Yesu.

Hao watu makatili sana aisee....
Ohoo![emoji15] [emoji15] [emoji377] [emoji377] [emoji481] [emoji481]
 
Hapo ndipo naona uchungu Wa kuamini dini na ukatili huu!dini Na mila zetu ni bora kuliko wendawazimu huu
 
Utaonaje jema wakati hata huo uislamu huujui,unataja waganga Mara hirizi sijui hata vinahusiano gani na uislamu...badala ya kuangaikia tatizo la ndoa za jinsia moja makanisani jinsi linavyochafua ukristo we umekazana na waganga.

Manabii wa uongo wanawatapeli waumini na kuwafanyia mambo ya kipuuzi ila hayo yote we hujayaona kuwa ni tatizo umekazania waganga.


Muda wote mnahubiri upendo ila upendo hauwezi kukaa kwenye nafsi zenye chuki,hivyo upendo kwenu utabaki kuwa maneno ya kutamka tu na si kwa vitendo
 

Kiongoz nashukuru sana, kwa habari ya kusikitisha!
Ukisoma kwa umakini utaona sababu za Mmarecan kuwapiga hawa jamaa.
Hiyo namba uliyoweka hapo ni kwaajili ya more information.au mawasiliano tu ya kawaida?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…