Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Ukipitia komenti humu naona watu wanajisahau wanapochukulia waarabu ndiyo uislamu wenyewe...uislamu ni amani na kutenda haki hivyo ata akiwa ni muislamu wakati huo akawa mwarabu pasina kutenda haki na kufata yaliyoamrishwa na dini ya uislamu atahukumiwa yeye kama yeye si uislamu ndiyo uhukumiwe kwa sababu yake japo kwa kiasi kikubwa wasio na uelewa wamekuwa wakiuhukumu uislamu kupitia kwa watu hao maana hauna upungufu (dini iliyokamilika) hivyo wanahukumu kupitia madhaifu ya binadamu ambacho si sawa.

Uislamu ulikuwepo kabla yake (mfalme huyo) na utaendelea kuwepo hivyo waarabu pia ni binadamu hivyo ni chaguo lake kuwa mwema au asiwe mwema ila muislamu anayefata maamrisho mema na kukataza mabaya kamwe huwa mwema na hutenda haki wakati wote.

Sasa chukulia matukio yaliyowahi kutokea hapa nchini kwetu au kwingine halafu ufikiri halafu uendelee kudai uislamu ni ugaidi.

Mf.
1.tukio la mtu kuuawa na mwili wake kuhifadhiwa katika ndoo kubwa ya maji (jaba)

2.mauaji ya albino
3.mtu kuuawa kisha kufungwa katika baiskeli na kudumbukizwa katika maji(kanda ya ziwa)

4....

Je hao pia uislamu uliwatuma kutenda hayo???

Watu wanachuki na Uislamu wenyewe na si hivyo vitendo vya ukatili ambavyo vipo kila mahali na vinafanywa na yeyote,haya yote wanayolalamikia humu ni sababu tu wanatumia kutoa chuki zao.
 
Kwa hiyo unataka kuleta hoja kwamba utumwa ni biashara nzuri mikononi mwa America bali biashara ya utumwa ni mbaya mikononi mwa Mwarabu?
Nilicho comment ni jinsi waarabu walivyo hakikisha kizazi cha watumwa weusi hakiendelei kwa kuwavunja uzazi wanaume, tofauti na watumwa wa marekani.
Sijaongelea uzuri wa biashara, ni wazi baishara ya utumwa ilikuwa mbaya yenye kuleta mateso makubwa sana kwa waafrika.
Jaribu kusoma na kusababu (reason) siyo kukurupuka tu au kusoma kama unasoma Quran kwa kukariri.
 
Ukipitia komenti humu naona watu wanajisahau wanapochukulia waarabu ndiyo uislamu wenyewe...uislamu ni amani na kutenda haki hivyo ata akiwa ni muislamu wakati huo akawa mwarabu pasina kutenda haki na kufata yaliyoamrishwa na dini ya uislamu atahukumiwa yeye kama yeye si uislamu ndiyo uhukumiwe kwa sababu yake japo kwa kiasi kikubwa wasio na uelewa wamekuwa wakiuhukumu uislamu kupitia kwa watu hao maana hauna upungufu (dini iliyokamilika) hivyo wanahukumu kupitia madhaifu ya binadamu ambacho si sawa.

Uislamu ulikuwepo kabla yake (mfalme huyo) na utaendelea kuwepo hivyo waarabu pia ni binadamu hivyo ni chaguo lake kuwa mwema au asiwe mwema ila muislamu anayefata maamrisho mema na kukataza mabaya kamwe huwa mwema na hutenda haki wakati wote.

Sasa chukulia matukio yaliyowahi kutokea hapa nchini kwetu au kwingine halafu ufikiri halafu uendelee kudai uislamu ni ugaidi.

Mf.
1.tukio la mtu kuuawa na mwili wake kuhifadhiwa katika ndoo kubwa ya maji (jaba)

2.mauaji ya albino
3.mtu kuuawa kisha kufungwa katika baiskeli na kudumbukizwa katika maji(kanda ya ziwa)

4....

Je hao pia uislamu uliwatuma kutenda hayo???
Mti mbovu uzaa matunda mabovu. Dini ya kiislamu ni wazi matunda yake mabovu na uoza.

Matunda hayo mabovu ni ugaidi dunia nzima, upinga Kristo, kuoa watoto wadogo, kula nguruwe kwa dharura, kunywa mkojo wa ngamia, kuuwa watu innocent, ISIS, Bokoharam, Al Qaida, Al shebab, upigaji wa wanawake na Majini yaliyosilimu. Na hayo ni matunda machache tu, yapo mengine mengi ambayo yanatudhihirishia kwamba huu mti wa kiislamu haufai hata kidogo.
 
Mti mbovu uzaa matunda mabovu. Dini ya kiislamu ni wazi matunda yake mabovu na uoza.

Matunda hayo mabovu ni ugaidi dunia nzima, upinga Kristo, kuoa watoto wadogo, kula nguruwe kwa dharura, kunywa mkojo wa ngamia, kuuwa watu innocent, ISIS, Bokoharam, Al Qaida, Al shebab, upigaji wa wanawake na Majini yaliyosilimu. Na hayo ni matunda machache tu, yapo mengine mengi ambayo yanatudhihirishia kwamba huu mti wa kiislamu haufai hata kidogo.
Subhanallah.

Ongelea vitu unavyovifahamu na una uelewa navyo usiongelee ya kusimuliwa...unaongelea kuoa katika umri mdogo (umri upi huo)?, vikundi vya magaidi..?, majini una uhakika wa hayo uyasemayo?.....

Ukristu pia kwa matunda yake ya uovu ndiyo sababu ya kuwepo na hata kushamiri ndoa za jinsia moja?

Hupaswi utamke hayo hali ya kua huelewi zaidi ya kukaririshwa na wanaokuaminisheni eti waislamu wanamiliki majini???

Mbona ukweli mnaujua kwanini hamtaki kufata??
 
Sijui mke wa huyo muuaji anaishije muda wote unawaza asije kukuua na jambia lenyewe analo kwake hatari sana
Wake waislamu wakiarabu ni watiifu kwa waume zao kwasababu wanapigwa kama watoto wadogo.
Angalia hapo[emoji116]

 
Subhanallah.

Ongelea vitu unavyovifahamu na una uelewa navyo usiongelee ya kusimuliwa...unaongelea kuoa katika umri mdogo (umri upi huo)?, vikundi vya magaidi..?, majini una uhakika wa hayo uyasemayo?.....

Ukristu pia kwa matunda yake ya uovu ndiyo sababu ya kuwepo na hata kushamiri ndoa za jinsia moja?

Hupaswi utamke hayo hali ya kua huelewi zaidi ya kukaririshwa na wanaokuaminisheni eti waislamu wanamiliki majini???

Mbona ukweli mnaujua kwanini hamtaki kufata??
Huyo hapo muislamu mwenzako anakula denda la mtoto mdogo wa kike
[emoji116]

 
Huwezi kuzuia watu kuzungumzia imani, wakati matukio unayotaka wayazungumzie chanzo chake ni imani. Na hao watendani wanakiri wazi kwamba wanfanya hivyo kwa sababu ya imani. Ikiwa wenye imani ya kiislam wanaona fahari katika imani yao kwa kufanya hayo/ kwa ni ni wewe unatukataza tusiongelee hiyo imani?

I mani ya usilama ni imani ya mashetanin. PERIOD!
UTAITWA KAFIRI NA ADHABU YA KAFIRI NI KUONGENEZA CHEO... MREHEM........
 
Huyo hapo muislamu mwenzako anakula denda la mtoto mdogo wa kike
[emoji116]


Umeona sasa akili zako??? Sasa uislamu umemtuma afanye hivyo?? Au uislamu unaruhusu??

Uislamu si kuwa mwarabu, kuwavna jina la kiisalamu au kuvaa kanzu bali ni kutii maamrisho yaliyo ndani ya uislamu hali kadhalika kufuata taratibu na maamrisho ya uislamu, unajuaje kama ni mtu aliamua kuvaa na kuamua kuchafua uislamu??

Achana na video za youtube wanapotosha watu wasiijue dini ya haki ili watimize adhima yao maana wanaona dini hii haiwapi mwanya wa kutimiza wayatakayo.

Mfano, mzuri hata huku wapo wazazi wana mahusiano na watoto wao...tena yupo alikuwa akimuingilia mwanae akiwa darasa la tatu huku akitoa sababu mkewe kumnyima unyumba sasa embu fikiri au huyo nae alitumwa na uislamu?

Je unawezaje hukumu uislamu kwaajili ya mmoja au kikundi cha watu wanaofanya makatazo ya mola wao??

Kwahiyo, je wale wanaofunga ndoa za jinsia moja makanisani kutumia bibilia hiyo hiyo huwa mnahukumu ukristo au huwaoni?

Je, wale padri na viongozi wako wakubwa akiwemo papa walioshutumiwa kulawiti watoto bibilia iliwatuma??

Je wachungaji wanaofumaniwavna wake za watu ukristu unawatuma?

Je wale masista walio na watoto mnahukumu ukristo kupitia wao??

Je wale mapadri walio oa tena wengine kuoa wake za watu na wana watoto huku wakibaki kuwa mapadri huwa mnahukumu ukristo??

Unadhani matukio hayo yangekuwa kwa waislamu wangenusurika kweli??

Mbona hamhukumu ukristo kupitia hao viongozi wenu??

Tena wengine kuyafanyia hayo makanisani??

Au unataka ushahidi?

Anyway:yeyote atakayeyajibu hayo maswali kiufasaha kuna kitu atakuwa amekielewa na kujifunza.
 
Nilicho comment ni jinsi waarabu walivyo hakikisha kizazi cha watumwa weusi hakiendelei kwa kuwavunja uzazi wanaume, tofauti na watumwa wa marekani.
Sijaongelea uzuri wa biashara, ni wazi baishara ya utumwa ilikuwa mbaya yenye kuleta mateso makubwa sana kwa waafrika.
Jaribu kusoma na kusababu (reason) siyo kukurupuka tu au kusoma kama unasoma Quran kwa kukariri.


Mbona hujasoma biblia yako vizuri ??


Jesus’ disciples are disturbed by his strict teaching on divorce. The disciples say that if divorce is not a ready option, perhaps it would be best for a man not to marry a woman. Jesus responds:

“Not everyone can accept this teaching, but only those to whom it is given. For there are eunuchs who have been so from birth, and there are eunuchs who have been made eunuchs by others, and there are eunuchs who have made themselves eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. Let anyone accept this who can.” (Matthew 19:11-12)

Here Jesus identifies three classes of men who should not marry women. Taking his categories in reverse order, first, there are those who have made themselves “eunuchs” for the kingdom of heaven, i.e., those who foreswear marriage to better serve God.

Second, he mentions those who have been “made eunuchs by others,” an apparent reference to castrated males.

But Jesus mentions a third category — eunuchs who were born that way. Some might argue that Jesus was referring to males born without testicles, but this would be extremely rare.

Moreover, this interpretation ignores how the term “born eunuchs” was used in other literature of the time.
 
Mti mbovu uzaa matunda mabovu. Dini ya kiislamu ni wazi matunda yake mabovu na uoza.

Matunda hayo mabovu ni ugaidi dunia nzima, upinga Kristo, kuoa watoto wadogo, kula nguruwe kwa dharura, kunywa mkojo wa ngamia, kuuwa watu innocent, ISIS, Bokoharam, Al Qaida, Al shebab, upigaji wa wanawake na Majini yaliyosilimu. Na hayo ni matunda machache tu, yapo mengine mengi ambayo yanatudhihirishia kwamba huu mti wa kiislamu haufai hata kidogo.
Zile ndoa za jinsia moja makanisani zinadhihirisha nini?

Maana mashoga wanaweza kuwa wanatoka kwenye kila imani lakini kwanini ndoa zao ziwe zinafanyika makanisani na si kwenye nyumba nyengine za ibada? hayo ndiyo matunda yenyewe ya ukristo?
 
"well said"unajua wa2 wanjaribu kuuchafua uislamu kwa kuangalia 2 baadhi ya hukumu ambazo wanafanyiwa wa2 ingawa hao hao wa2 hayaangaliwi makosa yao binafsi mbona hapa tz tulikuwa na sheria ya kunyonga ??
Hiyo adhabu kwa sasa haipo ila wapo wanaopotea kwa kukamata pale wanapokwenda kinyume na matakwa ..ila sasa kwa hii ya kukatwa kinchwa kama kuku. Too much..
Wakristo tuna amini hii
Amri iliyo kuu kuliko zote ni amri ya mapendo. Na katika amri za Mungu alizo pewa Moses kule mlimani sinai kunaamri moja inasema. (USIUE)
JE KATIKA UISLAM KUUA NI KAWAIDA KUFUATANA NA SHARIA ZA VITABU VYAO VITUKUFU..


NAHISI KUTAKUWA NA MUNGU WAWILI WA KIISLAMU NA WAKIKRISTO..
IJAPOKUWA KATIKA KITABU CHA KUMBU KUMBU LA TORATI LILIKUWA NA SHERIA ZAIDI YA MIA SITA NA SHERIA MOJA WAPO ILIKUA
'MWANYEKOSA LA UZINZI ALIRUHUSIWA KUPIGWA MAWE HADI. KUFA.. "
ILI BAADA YA UJIO WA KRISTO HIZO SHERIA ZIMEBAKI KUWA MAANDIKO YESU ALITUACHIA AMRI YA MAPENDO.......
 
[QUOTE="Mberoya, post: 20795456, member: 419930
 
Zile ndoa za jinsia moja makanisani zinadhihirisha nini?

Maana mashoga wanaweza kuwa wanatoka kwenye kila imani lakini kwanini ndoa zao ziwe zinafanyika makanisani na si kwenye nyumba nyengine za ibada? hayo ndiyo matunda yenyewe ya ukristo?
Kanisa gani linafungisha hizo ndoa!?
Taja jina la hilo kanisa
 
Duh! Wakati nasoma nilikua najisikia haja kubwa!!
 
Yes ndo maana kule kizazi cha watumwa kipo hadi leo uarabuni walikuwa wakikitokomeza kizazi cha watumwa


ni nani ambaye alikuambia kuwa mzee wake alikuwa ni mtumwa huko uarabuni ???

Usidanganywe na Askofu Pengo ambalo kanisa lake ndio lilikuwa kiranja wa kuuza watumwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom