mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
unavyo penda wewe ruksa [emoji120]Niweke andiko au mchoro kama mamichoro unayowekaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavyo penda wewe ruksa [emoji120]Niweke andiko au mchoro kama mamichoro unayowekaga?
Kupenda nini? Mimi napenda kuoa.....[emoji1] [emoji1] [emoji1]unavyo penda wewe ruksa [emoji120]
unanitafutia ban eeh [emoji15] [emoji12] ushindwe na ulegee...Kupenda nini? Mimi napenda kuoa.....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
unanitafutia ban eeh [emoji15] [emoji12] ushindwe na ulegee...
Ukiona mtandao unapiga watu BAN ujje bado kIdogo tu mtandao huo UFE! Ni marehwmu mtarajiwa!Unaogopa ban kwani huongozwi tena na roho mtakatifu ??
View attachment 698370 Mtumishi Asante kwa post yako nzuri! nami nawakumbusha kwamba Mungu hajabadilisha Comandiments zake kwa mwanadamu [emoji123][emoji106]
Haqi Mungu ni hii [emoji117] View attachment 698373 ukienda kinyume na hapo bado unadai ni haqi? ref;[emoji118] kabadili lini akaleta hiyo haqi [emoji46] [emoji348] [emoji348]![]()
gavana pole kwa kuisoma Biblia kama gazeti la udaku bila kuzingatia Maudhui [emoji15] [emoji38] hizo ayat ulizo post Bwana Yesu anakujibu [emoji117]
kaandika kwa faida ya wana jamvi [emoji120] na wewe nimekuuliza kama mwana jamvi mwenye ilimu madrasa hapa!! kama hujahifadhi haijalishi jibu...!kwani huyo aliyeliandika hajui maana yake ???Unashindwa nini kumuuliza??
ilimu ya roho huna gavana [emoji4]Unaogopa ban kwani huongozwi tena na roho mtakatifu ??
funguka dogo [emoji4]Ukiona mtandao unapiga watu BAN ujje bado kIdogo tu mtandao huo UFE! Ni marehwmu mtarajiwa!
We Mgen tangu lini ukaijua Quran...? Huna udhu halafu hujatahiriwa huwezi kuijua Quran!ilimu ya roho huna gavana [emoji4]kama unabisha mimi hayanihusu [emoji38]![]()
Nifunguke ili nipigwe BAN kama wewe siku ile?funguka dogo [emoji4]
Mzee angalia unakoweka matangazo yako watu tutakushangaa,majukwaa mengine wanaingia watu intelligent tu wasiofikiria mambo ya ngono kila wakati.jaribu chitchat kule ndo wapo watu wakusoma tangazo lakoHABARI NJEMA KWA WATU WANGU WA NGUVU NIPO DAR BAADA YA KUTEMBELEA TANGA NA MOMBASA SASA NIMELEJEA.NINAWALETEA
Vumbi vumbi vumbiiii Vumbi la Congo, kitu vumbi la congo wajanja hawajutii Hii ni Dawa ya Asili kutoka Congo ni Dawa ambayo itakufanya Udumu kwa mda mrefu sana kwenye Tendo la ndoa itakufanya udumu kwa zaidi ya dakika 30 ,,45 hadi saa moja ni ya kupaka tu na haina madhara yoyote BEI NI ELFU 20 KITONGA (20000) matokeo ni mda mchache baada ya kupaka Tunapatikana MAKUMBUSHO DAR ES SALAAM.
WATU WA ARUSHA ,DODOMA,MWANZA,,KAHAMA na RUVUMA SONGEA NA MIKOA MENGINE msiwaze sana tunaweza watumia na Mikoa mingine na mahala pengine popote Tanzania.
Umetumia kifungu gani cha sheria kumweleza haya yote?Mzee angalia unakoweka matangazo yako watu tutakushangaa,majukwaa mengine wanaingia watu intelligent tu wasiofikiria mambo ya ngono kila wakati.jaribu chitchat kule ndo wapo watu wakusoma tangazo lako
Sasa wewe unafikiri ninani atakayekuja kusoma tangazo hili humu?najaribu kumpa njia sahihi kuboresha biashara yake wewe unakuja kutaka vifungu hapa,chitchat sijui majukwaa ya mapenzi jf doctors ndiyo sehem sahihi kwake.Umetumia kifungu gani cha sheria kumweleza haya yote?
Wapo wengi tu watalisoma. Mfano wewe tayari umeshalisoma!!Sasa wewe unafikiri ninani atakayekuja kusoma tangazo hili humu?najaribu kumpa njia sahihi kuboresha biashara yake wewe unakuja kutaka vifungu hapa,chitchat sijui majukwaa ya mapenzi jf doctors ndiyo sehem sahihi kwake.
Na huko ndiko haswaa dini inafuatwa. So kabla haujasema unakijua kitu vema tazama kilipotokea....!Duuuuuuuh hadi hamu ya kwenda kuhij imekata.
Kwetu sisi waislam tunaamini Saudi Arabia ndio ardhi takatifu,sasa kusikia unyama kama huu unafanyika ktk ardhi hiyohiyo takatifu inaleta ukakasi sana...tena kwa interest za watawala na sio Dini!
Makala hii imenihuzunisha na kuniogofya sana,nasubiri muendelezo anyway.
Shukraan
Maagizo ya imani yao. Maana hizo hukumu ni kwa mujibu wa dini na si watu tu kutaka.....Je mbona nchi zingine za kiislam hazitoi adhabu za kuchinja watu ina maana wanakwenda kinyume na maamrisho. Me nionapo hapo ni suala la kutoa kafara kwa mamlaka zilizojuu,na suala la tawala kujenga hofu na utii wa taifa la ndio mzee ili watawala wafanye watakavo,Unachinja mtu wakati we pia ni mfu mtarajiwa.