Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
gavana pole kwa kuisoma Biblia kama gazeti la udaku bila kuzingatia Maudhui [emoji15] [emoji38] hizo ayat ulizo post Bwana Yesu anakujibu [emoji117] halafu hiyo ayat ya kolan uliyo post nakuletea mazima [emoji117] [emoji117] sivyo kama ulivyo edit ili kukidhi haja yako ya kubishia [emoji12] soma hapa Amri ya Mungu [emoji117] sasa niwekee ushahidi ambao Mungu ameeleza sababu inayo halalisha uue kama ayat hii inavyo elekeza sababu inayo kuruhusu uue [emoji117] [emoji4]
 
kwani huyo aliyeliandika hajui maana yake ???Unashindwa nini kumuuliza??
kaandika kwa faida ya wana jamvi [emoji120] na wewe nimekuuliza kama mwana jamvi mwenye ilimu madrasa hapa!! kama hujahifadhi haijalishi jibu...!
 
ilimu ya roho huna gavana [emoji4] kama unabisha mimi hayanihusu [emoji38]
We Mgen tangu lini ukaijua Quran...? Huna udhu halafu hujatahiriwa huwezi kuijua Quran!
Kwani Allah aliposema hicvo wewe umeelewaje? Unataka kusema waislam ndio hawajafunuliwa mengi bali kidogo? Hapa si waislam tu bali binadamu wote. Kama Allah angewafunulia yote msingekuwa hivi mlivyo. Ndio maana mnagangaikahangaika tu.
We huwezi kuijua Quran hata dakika moja. Unachokijua ni kukopi na kupest au kukopi maandiko ya uongo na kuyashabikia sana badala ya kushabikia maandiko ya kweli. Hiki unachokifanya wewe ndio alichokisema Allah kumwambia Muhammad atwambie sisi.
 
Mzee angalia unakoweka matangazo yako watu tutakushangaa,majukwaa mengine wanaingia watu intelligent tu wasiofikiria mambo ya ngono kila wakati.jaribu chitchat kule ndo wapo watu wakusoma tangazo lako
 
Mzee angalia unakoweka matangazo yako watu tutakushangaa,majukwaa mengine wanaingia watu intelligent tu wasiofikiria mambo ya ngono kila wakati.jaribu chitchat kule ndo wapo watu wakusoma tangazo lako
Umetumia kifungu gani cha sheria kumweleza haya yote?
 
Umetumia kifungu gani cha sheria kumweleza haya yote?
Sasa wewe unafikiri ninani atakayekuja kusoma tangazo hili humu?najaribu kumpa njia sahihi kuboresha biashara yake wewe unakuja kutaka vifungu hapa,chitchat sijui majukwaa ya mapenzi jf doctors ndiyo sehem sahihi kwake.
 
Sasa wewe unafikiri ninani atakayekuja kusoma tangazo hili humu?najaribu kumpa njia sahihi kuboresha biashara yake wewe unakuja kutaka vifungu hapa,chitchat sijui majukwaa ya mapenzi jf doctors ndiyo sehem sahihi kwake.
Wapo wengi tu watalisoma. Mfano wewe tayari umeshalisoma!!
 
Na huko ndiko haswaa dini inafuatwa. So kabla haujasema unakijua kitu vema tazama kilipotokea....!
 
Maagizo ya imani yao. Maana hizo hukumu ni kwa mujibu wa dini na si watu tu kutaka.....

Kumbuka Saudi arabia ndio taifa linaloshikiria misimamo ya imani ya kiislam kweli kweli.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…