Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Wewe uliyepewa elimu ya kiroho ,wenzako wataalamu wa elimu ya kiroho sasa inawaangamiza

Angalia mwenyewe



unaona unavyo endelea kuthibitisha kuwa ilimu ya Roho kwako ni giza [emoji33] [emoji4] rejea ulicho post eti hao ndio wataalam wa hiyo ilimu [emoji38] [emoji38] [emoji38] kakufunda nani kihivyo kibuzi..[emoji4]
 
unaona unavyo endelea kuthibitisha kuwa ilimu ya Roho kwako ni giza [emoji33] [emoji4] rejea ulicho post eti hao ndio wataalam wa hiyo ilimu [emoji38] [emoji38] [emoji38] kakufunda nani kihivyo kibuzi..[emoji4]


Mtaalamu ni wewe unayeabudu huu msalaba??

Au wewe unawazidi kwa hiyo elimu yao? Chunga ukimwi ndio kiboko yenu


 
Hili nalo si Debe dogo la kiroho

kwa mujibu wa deen yako watu wa kihivyo hukumu yao ni ipi [emoji350] [emoji350] Ukiniwekea mimi nita-retadi [emoji4] Mimi Mungu wangu na Mwalimu wangu Mkuu Yesu Ameniagiza hivi [emoji117]
huyu [emoji117] nae kahukumu vipi [emoji350] [emoji38]
 
kwa mujibu wa deen yako watu wa kihivyo hukumu yao ni ipi Ukiniwekea mimi nita-retadi Mimi Mungu wangu na Mwalimu wangu Mkuu Yesu Ameniagiza hivi
huyu View attachment 700847 nae kahukumu vipi


Heko Yesu kama hiyo unaona ndio hukumu kwani Gugu limeshajaa na limepewa mamlaka ya kusamehe watu dhambi zao. Wengine ndio wamepewa vyeo vya utakatifu

30 LGBT Saints
 
Heko Yesu kama hiyo unaona ndio hukumu kwani Gugu limeshajaa na limepewa mamlaka ya kusamehe watu dhambi zao. Wengine ndio wamepewa vyeo vya utakatifu

30 LGBT Saints
hujanijibu gavana [emoji15] [emoji351] [emoji351] nimekuuliza kwa mujibu wa deen yako watu kama hao hukumu yake ipi [emoji46] [emoji351] [emoji351] [emoji351] weka jibu ukirejea ayat hizi [emoji117] karibu gavana[emoji120]
 
hujanijibu gavana [emoji15] [emoji351] [emoji351] nimekuuliza kwa mujibu wa deen yako watu kama hao hukumu yake ipi [emoji46] [emoji351] [emoji351] [emoji351] weka jibu ukirejea ayat hizi [emoji117] karibu gavana[emoji120]

Hiyo uliyotuletea ndiyo hukumu aliyoitoa yesu?? Wacha kumpakazia Yesu. Umesahau yesu alisema wengine huzaliwa gays?? Sasa atoe hukumu gani??
Soma math13;13
 
Hiyo uliyotuletea ndiyo hukumu aliyoitoa yesu?? Wacha kumpakazia Yesu. Umesahau yesu alisema wengine huzaliwa gays?? Sasa atoe hukumu gani??
Soma math13;13
No [emoji118]
Yesu hakusema wengine huzaliwa Gays. (mashoga)
Bali amesema wengine huzaliwa wakiwa HANITHI hivyo kushindwa kuoa.
Hanithi ni tofauti na Shoga
Hanithi ni Kilema kama vile Arbino, au Kiwete au Kiziwi, mtu huzaliwa akiwa hivyo.
Shoga ni tabia ambayo mtu anajifunza au kufundishwa au kurithi kwa wengine.
Hakuna binadamu anayezaliwa akiwa Shoga.
Shoga ni tabia
Uhanithi ni Ulemavu.
Yesu alisema wengine wanashindwa kuoa kwakuwa wamezaliwa wakiwa na Uhanithi kama Kilema.
Alikuwa anazungumzia kuhusu kipaji cha kuoa.
Shoga anaoa na kuolewa na kufanya tendo la ndoa na kuzaa watoto.
Hanithi hawezi kufanya hivyo, na hivyo kushindwa kuoa.

Mpeni Yesu aliyoyasema Yesu.
 

http://www.gaychristian101.com/Eunuchs-Are-Gay.html
Gonga hapa : Eunuchs Are Gay. Eunuch Is Frequently A Synonym For Gay Men or Women.
 
Hiyo uliyotuletea ndiyo hukumu aliyoitoa yesu?? Wacha kumpakazia Yesu. Umesahau yesu alisema wengine huzaliwa gays?? Sasa atoe hukumu gani??
Soma math13;13
aya uliyo tupia hii hapa [emoji117] [emoji38] [emoji38] [emoji38] inakuhusu ndivyo ulivyo kabsaaa[emoji106] mimi nimekuuliza kwa mujibu wa deen yako wafanyao kihivyo hukumu yao ipi..[emoji46] [emoji351] [emoji351] badala kujibu ukirejea hizo ayat za furqan nilizo kurejesha unaleta saundi [emoji4] hizo ayat za furqan hazikuhusu eeh [emoji15]
 

Kumbe bado hujaleta hiyo hukumu alyosema yesu.

Hukumu unayotaka isikilize hapa


 
Kumbe bado hujaleta hiyo hukumu alyosema yesu.

Hukumu unayotaka isikilize hapa


hukumu aliyo elekeza Yesu [emoji117] najua huwa unasukumwa kutoacha mgpngo wa ngisi kutokana na majunun ashki hivyo unapigia debe upate wafuasi wengine [emoji38] [emoji38]
 
hukumu aliyo elekeza Yesu [emoji117]
000 najua huwa unasukumwa kutoacha mgpngo wa ngisi kutokana na majunun ashki hivyo unapigia debe upate wafuasi wengine [emoji38] [emoji38]


Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????, UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 

gugu ni gugu na ngano ni ngano [emoji106] kwa wewe kukosa ilimu Ruhu unalazimisha gugu liwe ngano...[emoji33] [emoji33] Biblia Takatifu haikuandikwa kama atakavyo gavana [emoji4] umeshindwa kujibu swali langu gavana [emoji117] deen yako imetoa hukumu gani kwa wanao mgongo wa ngisi [emoji350] [emoji350] [emoji350] umechanga nyikiwa hadi unalinganisha eunuchs [emoji117] na gays [emoji117] ni kitu kimoja [emoji33] [emoji38] [emoji38] wewe nakutumia kama ubao wa kufundishia ili The like waje kwa Yesu si zaidi ya hapo [emoji4]
 


Tumekusikia sasa jibu haya maswali

Hukumu ya mashoga ndio yesu alisema let them grow ????,

UNAPATA WAPI MANENO HAYA ?? AU KANISA LENU MNAUPENDA HUU MCHEZO ???

Jee kama hilo gugu ndio limekuwa ndio ngano yenyewe kama lilivyo kanisa lenu na mshalipa mamlaka ya kusamehe dhambi jee hizo dhambi kweli zimesamehewa ??

na wale watakatifu wenu mashoga vipi nao ??? AU NDIO WAMEKUWA GAY SAINTS ??

 
kama umesikia shukran gavana [emoji4] sisi wagala tunasubiri siku yao [emoji117] [emoji106] sasa nipe hukumu ya deen yako kwa wanao pumuliana kifisi fisi [emoji4]
ilimu ya Roho huna gavana ilaha ile ya kimwili kata tatu hapo sikuwezi umefuzu [emoji120]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…