Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
HALAFU MTU ANAIBUKA NA KUWATETEA WAARABU KWA SABABU YA AFFILIATION ZA KIDINI.

HAYA NDO MAGAIDI YA KUTUPA.
Ndivyo anavyokuambia Askofu wako hivyo baada ya kukulisha ule mkate Mtakatifu??
 
Mark 14:46-50 New Living Translation (NLT)
46 Then the others grabbed Jesus and arrested him. 47 But one of the men with Jesus pulled out his sword and struck the high priest’s slave, slashing off his ear.

48 Jesus asked them, “Am I some dangerous revolutionary, that you come with swords and clubs to arrest me? 49 Why didn’t you arrest me in the Temple? I was there among you teaching every day. But these things are happening to fulfill what the Scriptures say about me.”

50 Then all his disciples deserted him and ran away.

UACHAGE UCHOKO
 

SORRY MIMI HIYO KAZI YA KUCHOKOANA SIIFANYI LABDA MAPADRI NA MAASKOFU😛😛

ENDELEA KUSOMA Mark 14: 51-52

Now, be honest: if a young man came to you, “in the evening”, wearing “nothing but a linen cloth over his naked body”, what do you suppose he was after? And if he came not to you, but to another man, and then stayed the night, what do you suppose your conclusion would be in the morning?

The fragment known as Secret Mark may not be authentic – but then, it may. If so, the implications and connections to the other two passages, and to John are at least intriguing.

Is this the same rich young man who turned down the invitation to sell all and follow the Lord?

is he the same young man in a linen cloth who stayed with him after all others had fled? Is he, indeed, the “beloved disciple?”
 

Ili muradi na wewe uonekane umo unamnusuru baba fatuuû kumbe unanipa wepesi wa kwenda jehena [emoji15] [emoji12] safari njema gava ukaugulie funza wa shaba wakipenya kila tundu [emoji38] [emoji38] yeye muhammad hana shirika nawe ilaha kakupuuza na Kamtakasa Masihi [emoji117] au naye humuamini [emoji348] [emoji348] [emoji351] [emoji346] wee endelea kutwanga Maji na kuloweshe msuli na hilo busha [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Waje tuwabatize tu.
wakiogopa ya baridi, yao tutachemsha!
Muite masudi Mtumishi [emoji120] aje amkebehi baba fatuma na allah manake yeye anajiona ni mjuzi zaidi ya wao....[emoji53]
 
1. Hata maji ya bahari watu wanatupa mavi na kila aina ya uchafu , kwenye mito vilevile kwa sababu akili yako ndogo ndio maana kila uchafu unaweza kutia unajisi maji , ngoja nikufunze kidogo utaratibu ni uwingi wa maji sio uchafu uliopo , elimu hii huweza ipita popote zaidi ya humu JF, hata utupe kitu gani maji mengi ayawezi kutoka utwahara , kama ni uchafu utasogeza pembeni au utautoa nje kisha utatumia maji bila tabu

2.tatizo sio kuitwa mtu shetani ni mazingira gani unaitwa shetani , wewe akili yako ndogo sana ata Yesu alimuita mama msamaria mbwa , vile vile aliwaita wale mayahudi ni watoto wa iblisi( unaweza kunionyesha lini iblisi alizaa na wayahudi) , maana mpaka anafikia mwanaume kutamani maana yule mwanamke akuvaa stara anawapa watu tabu ,kwa kushindwa kuvaa stara huu ni ushetani hata hili tukufundishe bwana mdogo
 
Lugha inakupiga chenga kaa kimya wacha wenzako wasikilize. Usione imekuja kwako ukajiona umelengwa wewe!!
Kila siku unaleta hadithi na aya kwa lugha ya malikia, unajibiwa unatoka kichwa chini miguu juu , kama nilivyokwambia humu tunajibu hoja sio clip , mbona rahisi tu kaa na mkeo saidianeni andaeni maswali lete humu utapata majibu yote , sasa hata hili uelewi pimbi wewe
 
Sasa hapa hoja yako ni nini ? hiyo ndio kazi ya shetani kuwapa watu majaribu lakini ukiwa imara unamshinda , ndio maana hata wakina Ayubu walitolewaa ukurutu mwili mzima na shetani sasa unashangaa nini bwana mdogo , hata selemani alipewa hekima lakini shetani alimuadaa mwisho akasujudia masanamu , yaani kipi unashangaa huo ni uvivu wa kusoma maandiko bureee kabisa wewe
 
Ahahahahaahahaahaha leo nimekuona kweli bwege ahahahhahaahaaa sasa image na ushoga wapi na wapi ? hizi hadithi azisomwi kama udaku unaona unadharirika sasa Ahahahahaaaahqa aibu tupu
 
Ahahahahaahahaahaha hii nilishakujibu unachofanya ni kujitoa akili swali dogo tu huyo wahabi ni mtume wa Vatican au morogoro? ukishapata jibu niletee aya au hadithi inayosema Yeyote asie mwarabu ni mbwa halafu ntakuletea wakina nani Yesu anawatambua kama mbwa wala MAKOMBO ahahahaaajaauaaaua
 
Mpaka swafan kamchapia [emoji117] View attachment 963931View attachment 963932View attachment 963933 si rizki nguruwe pita mkuki sina [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Bado unaonekana kumbe unabahatisha uislamu hauendeshwi na uzushi kijana, kama hata mahakama inatambua umuhimu wa mashahidi kwanini uislamu uamini uzushi ambao hauwezi kuthibitishwa ? kwenye uislamu bila mashahidi 4 wewe utakuwa mzushi kama wale waliozusha 25/December kuwa ndio maazimisho ya mazazi ya Yesu, labda ni kuulize swali biblia inatambua mashahidi au aitambui ? nasubir jibu kabla sijakuongeza viboko vingine Ahahahahaaaahqa Ahahahhahahahaahjhhahaja
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…