Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

Status
Not open for further replies.
Mpaka katengenezewa shishkabab ndio aweze kula mzigo. HAhahaaa
Onyesha kitabu gani cha hadithi ametoa kijana , uislamu auendeshwi na hadithi za vatican bali hadithi za mtume ahahaahaahhajajajaja mkiishiwa mnaleta uzushi buree kabisa , na tutamichapa mpaka msemi shigongo nae kaleta hadithi
 
Hahaha hawajui kusoma na ni wavivu. wao ni kukariri tu!! akisema Kipoozeo baasssi anameza keshajua uislam na anakuja hapa na mapovu.
Nimetoa Hadith hapo paradise ya Allah waliopo huko mashoga (aka playboy paradise) Kasuku mmoja kajibu kwa picha.
ukiwaambia wakatafute hivyo vitabu tena kwa hela yote hiyo utawatesa.
Wewe mimi nilijua ni kilaza kumbe ni galasa Ahahahahaaaahqa sasa huyo wahabi ni mtume au ndio mmeishiwa hoja mmeamua kujitoa akili , hata takataka mnaokota ahahahahaahhah ahahahhahaahaaa
 

IMG_20181210_172958_229.jpg
 
Sisi hatuna Mungu Muhammad unaongea kwa chuki na fitina Kafiri Mkubwa ..kitu usichokijua unakiongelea vipi?
Can you prove it naongea kwa chuki?
Ok, Twambie why Allah and Muhammad both have 99 names?
If Muhammad means The Praised One! Who is the Praised two?
Usikuje na mapovu ya kojo la ngamia. hapa unaleta hoja unajibu hoja na unaweka andiko!
 
Wewe mimi nilijua ni kilaza kumbe ni galasa Ahahahahaaaahqa sasa huyo wahabi ni mtume au ndio mmeishiwa hoja mmeamua kujitoa akili , hata takataka mnaokota ahahahahaahhah ahahahhahaahaaa
muhammad mwenyewe ni wahabi!!
 
Sasa hapa hoja yako ni nini ? hiyo ndio kazi ya shetani kuwapa watu majaribu lakini ukiwa imara unamshinda , ndio maana hata wakina Ayubu walitolewaa ukurutu mwili mzima na shetani sasa unashangaa nini bwana mdogo , hata selemani alipewa hekima lakini shetani alimuadaa mwisho akasujudia masanamu , yaani kipi unashangaa huo ni uvivu wa kusoma maandiko bureee kabisa wewe
Karibu tupo live.

 
1. Hata maji ya bahari watu wanatupa mavi na kila aina ya uchafu , kwenye mito vilevile kwa sababu akili yako ndogo ndio maana kila uchafu unaweza kutia unajisi maji , ngoja nikufunze kidogo utaratibu ni uwingi wa maji sio uchafu uliopo , elimu hii huweza ipita popote zaidi ya humu JF, hata utupe kitu gani maji mengi ayawezi kutoka utwahara , kama ni uchafu utasogeza pembeni au utautoa nje kisha utatumia maji bila tabu

2.tatizo sio kuitwa mtu shetani ni mazingira gani unaitwa shetani , wewe akili yako ndogo sana ata Yesu alimuita mama msamaria mbwa , vile vile aliwaita wale mayahudi ni watoto wa iblisi( unaweza kunionyesha lini iblisi alizaa na wayahudi) , maana mpaka anafikia mwanaume kutamani maana yule mwanamke akuvaa stara anawapa watu tabu ,kwa kushindwa kuvaa stara huu ni ushetani hata hili tukufundishe bwana mdogo
Stone Kisser katika ubora wake!!

Wapi Muhammad anasema huyo mwanamke hakuvaa stara?
Maji ya Bahari na kidimbwi wapi na wapi? Be serious Abdul.
 
Kila siku unaleta hadithi na aya kwa lugha ya malikia, unajibiwa unatoka kichwa chini miguu juu , kama nilivyokwambia humu tunajibu hoja sio clip , mbona rahisi tu kaa na mkeo saidianeni andaeni maswali lete humu utapata majibu yote , sasa hata hili uelewi pimbi wewe
Unajibu nini Stone Kisser?
 
Onyesha kitabu gani cha hadithi ametoa kijana , uislamu auendeshwi na hadithi za vatican bali hadithi za mtume ahahaahaahhajajajaja mkiishiwa mnaleta uzushi buree kabisa , na tutamichapa mpaka msemi shigongo nae kaleta hadithi
Soma post ya MGEN.
 
Soma post ya MGEN.
Mpuuzi wewe , unaingia kichwa kichwa wakati huyo mgeni mwenyewe kaokota huko ili ajaribu kupima kina cha elimu zetu , aya kafe mbele huko siku nyingine uwe unamuuliza mgeni ametoa wapi sio kutokwa na maneno kwa habari ya kuokota
 
Stone Kisser katika ubora wake!!

Wapi Muhammad anasema huyo mwanamke hakuvaa stara?
Maji ya Bahari na kidimbwi wapi na wapi? Be serious Abdul.
Wewe uelewi huku kwetu ushetani ni sifa sio kiumbe , yeyote anaweza kuwa shetani kama atakuwa mpingaji , kwanini mwanaume hamtamani ? ni kwasababu anatamanisha ndio maana ikaja Quran na kuwatakakuvaa stara ili kulinda imani zetu waangaliaji , halafu kuhusu kidimbwi haya maneno yako andiko liko wazi kisima sasa kadimbwi ni maneno yako kijana baada ya kuishiwa hoja
 
Can you prove it naongea kwa chuki?
Ok, Twambie why Allah and Muhammad both have 99 names?
If Muhammad means The Praised One! Who is the Praised two?
Usikuje na mapovu ya kojo la ngamia. hapa unaleta hoja unajibu hoja na unaweka andiko!
Nakusikia ukizungumza majina ebu tuambie majina ya Mohamadi halafu tuambie majina ya Allah? tukishajua udogo wa akili yako ndio tiba itafuata
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom