mhandisi_1
Member
- Nov 27, 2010
- 77
- 152
Nadhani tunakosea tunaposema "rest in peace". Hakuna kitu kiumbe chochote kinaogopa zaidi ya kifo, na katika nchi nyingine zinazotoa adhabu ya kifo, mtuhumiwa atafanya kila juhudi apate adhabu mbadala hata kama ni kifungo cha maisha na kazi ngumu. Nadhani mantiki ya adhabu ya kifo ni jamii kutoa tamko kuwa
- tabia kama hii hatuikubali kati ya wanajamii
- mtu atakayefanya hivi tutamfanyia hivi
- hili ulilolifanya limezidi mipaka