Bernadetta
Member
- Mar 24, 2013
- 7
- 3
This has always been a difficult topic in the legal world. Mimi nassuport death sentence kwa sababu hizi:-
1. Inategemea unserve life imprisonment sentence wapi, kwa mfano nchi za uarabuni maisha ya jela ni ya raha kuliko maisha ya mtanzania aliye huru. Ndani kuna TV, kuna saloons, a lot of physical activities and games, internet access, libraries etc...oh na hamna hard labor. So ni kula kulala, watanzania wangapi watapigania kwenda dubai au Qatar kusave life sentence?
2. Nadhani sababu muhimu nyuma ya death penalty siyo kuwaogopesha watu kutokutenda makosa hayo (ingelikuwa hivyo watu wasingetenda haya kwa kuogopa moto wa kiama) bali ni kuipa amani familia iliyoathirika na vitendo hivyo such as the family of the deceased, inawapa hali ya kuona justice has been served.
3. Kama ni issue ya human rights, kwamba kunyonga, lethal injection, electrical chair etc ni inhuman na zinasababisha maumivu makali basi solution ipo ndugu zetu waislam wanayo...kifo kwa kukatwa kichwa na mapanga PROBLEM SOLVED
1. Inategemea unserve life imprisonment sentence wapi, kwa mfano nchi za uarabuni maisha ya jela ni ya raha kuliko maisha ya mtanzania aliye huru. Ndani kuna TV, kuna saloons, a lot of physical activities and games, internet access, libraries etc...oh na hamna hard labor. So ni kula kulala, watanzania wangapi watapigania kwenda dubai au Qatar kusave life sentence?
2. Nadhani sababu muhimu nyuma ya death penalty siyo kuwaogopesha watu kutokutenda makosa hayo (ingelikuwa hivyo watu wasingetenda haya kwa kuogopa moto wa kiama) bali ni kuipa amani familia iliyoathirika na vitendo hivyo such as the family of the deceased, inawapa hali ya kuona justice has been served.
3. Kama ni issue ya human rights, kwamba kunyonga, lethal injection, electrical chair etc ni inhuman na zinasababisha maumivu makali basi solution ipo ndugu zetu waislam wanayo...kifo kwa kukatwa kichwa na mapanga PROBLEM SOLVED