Adhabu ya Tundu Lissu kuanza siku atakayopewa barua ya hukumu ya Tume

Adhabu ya Tundu Lissu kuanza siku atakayopewa barua ya hukumu ya Tume

MdogoWenu

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
554
Reaction score
916
Bila kujali adhabu ya Tume ni halali au ni batili adhabu ila ni ya kisheria. Sasa adhabu za namna hiyo zinaanza pale ambapo umepewa taarifa ya ya hukumu.

Kifungu 19(2) cha Law of Limitation Act, [Cap. 89, R.E. 2002] kinasema hivi,

"In computing the period of limitation prescribed for an appeal, an application for leave to appeal, or an application for review of judgment, the day on which the judgment complained of was delivered, and the period of time requisite for obtaining a copy of the decree or order appealed from or sought to be reviewed, shall be excluded."

Hii maana yake hukumu inapotoka na ukitaa kukata rufaa na kuna siku za kukata rufaa, hizo siku zinaanza kuhesabiwa siku unapopewa nakala ya hukumu ile.

Sasa Tundu Lissu anaweza kukata rufaa. Hivyo siku zitahesabiwa siku atakapopewa nakala ya hukumu.

Je Tundu Lissu ameshapewa nakala ya hukumu? Je, atapewa lini ambapo siku zitaanza kuhesabiw?
 
Lisu apewe yeye binafsi au kiki pewa chama chake ambao ndio dhamana yake inatosha, Anachotakiwa ni kutii sheria bila shuruti akikaidi atasaidiwa kukaa ndani siku saba akitoka ataendelea na campaign.
 
Lisu apewe yeye binafsi au kiki pewa chama chake ambao ndio dhamana yake inatosha, Anachotakiwa ni kutii sheria bila shuruti akikaidi atasaidiwa kukaa ndani siku saba akitoka ataendelea na campaign.
Maduwanzi mnaona nchi kama ya baba yenu..mwaka huu mwisho
 
Akizungumza na waandishi wa habari jionj hii Lissu amesema ratiba zake katika kufanya kampeni ziko pale pale kama ilivyo ratibiwa na Tume, Hivyo zuio la tume si la haki.
 
Akubali tu kutulia hizo siku 7, ubavu wa kutunishiana na dola hana
Akizungumza na waandishi wa habari jionj hii Lissu amesema ratiba zake katika kufanya kampeni ziko pale pale kama ilivyo ratibiwa na Tume, Hivyo zuio la tume si la haki.
 
Lisu apewe yeye binafsi au kiki pewa chama chake ambao ndio dhamana yake inatosha, Anachotakiwa ni kutii sheria bila shuruti akikaidi atasaidiwa kukaa ndani siku saba akitoka ataendelea na campaign.

Yaani mnajiona hii nchi ni yenu mwisho wenu upo karibu
 
Huwezi kutii sheria UCHWARA zilizojaa ubaguzi na zinazopindishwa kila siku ili kuwapendelea maccm. Tume FAKE haiaminiki na Watanzania tunaojitambua.

Lisu apewe yeye binafsi au kiki pewa chama chake ambao ndio dhamana yake inatosha, Anachotakiwa ni kutii sheria bila shuruti akikaidi atasaidiwa kukaa ndani siku saba akitoka ataendelea na campaign.
 
Sijui NEC nao wana polisi wake wa kukamata, kutesa na kuhoji kama alivyokuwa Ndugai? Ninaimagine situation pale ambapo Lissu “atakaidi” hilo zuio lao.
 
Kama ni kweli unampenda tundu, ungemlinda na kumjali, ...
 
Adhabu inatakiwa ianze tokea tarehe ilipoandikwa barua acha kutufanya mazuzu kama barua ya tarehe moja.

Mtuhumiwa akiipata tarehe 10 ndio adhabu ianze tarehe hiyo.
 
Huwezi kutii sheria UCHWARA zilizojaa ubaguzi na zinazopindishwa kila siku ili kuwapendelea maccm. Tume FAKE haiaminiki na Watanzania tunaojitambua.
Sasa kwa nini mnashiriki uchaguzi wa tume ambayo hamuikubali??
 
Akizungumza na waandishi wa habari jionj hii Lissu amesema ratiba zake katika kufanya kampeni ziko pale pale kama ilivyo ratibiwa na Tume, Hivyo zuio la tume si la haki.
Tume gani anayoizungumzia?

kama anatambua kuwa Tume ilimpatia ratiba vile vile atambue kuwa Tume hohio inaweza kumfungia kutumia ratiba hiyo kama akibainika kufanya makosa.
 
Back
Top Bottom