Adhabu ya viboko kwa watoto imefutwa Zambia

Adhabu ya viboko kwa watoto imefutwa Zambia

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Sheria pana ya mabadiliko ya watoto inayoendana na binadamu aliyestaarabika kwa kiwango cha juu katika karne ya 21 imesainiwa na Rais Hakainde Hichilema.

Mojawapo ya mambo katika sheria hiyo imepiga marufuku viboko kwa watoto katika mazingira yoyote na pia imepiga marufuku ndoa za watoto chini ya miaka 18 katika mazingira yoyote.

Hongera sana Zambia, mnaonyesha njia.

20220916_083653.jpg
 
Hilo kwa aina ya Viongozi tulionao sahau... As long as watoto wao hawaathiriki basi, hawajali...

Watakwambia tusiwaudhi wapiga kura wetu.
 
Kwahiyo na huko watakuwa wanagrond watoto kama wazungu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Before we start judging n vyema tukasubiri tukaona kama kutakua na any negative effect. Lakini kukiwa na positivity then itakua jambo la mfano.
Sisemi kwamba hakuna "bad apples" lakini tuwe wakweli, je wazungu wote hawajastaarabika au ni baadhi tu wenye vichaa vyao? Wazungu hawagongani mastiki, na njia yao imezaa matunda kwa kias flani. Maana ukiona wengi wao wana uwezo mzuri wa kutetea hoja pamoja na kusimamia wanachokiamini, na hata mfumo wao wa elimu unambeba mwanafunzi kiakili na bila kiboko.
Sisi tunakomaa na kiboko kuanzia nyumbani hadi shuleni, lakini tujiulize, mtoto anajifunza wapi tabia mbovu? Ni frm observation ya yanayotokea katika jamii yake. Kama jamii itastaarabika je kutakua na umuhim wa viboko???
ANGALIZO: Watakuja wale wa "wazungu ni mashoga", ni kweli wapo lakini sio wote and i dont support that gay shit, lakini lets look at this frm broader perspective.
 
Huku bado hatujastaarabika kiasi hicho, watoto wa bongo watukutu mno
 
Bila mboko shule za vidumuna mfagio haziendi, Over.
 
Sheria pana ya mabadiliko ya watoto inayoendana na binadamu aliyestaarabika kwa kiwango cha juu katika karne ya 21 imesainiwa na Rais Hakainde Hichilema.

Mojawapo ya mambo katika sheria hiyo imepiga marufuku viboko kwa watoto katika mazingira yoyote na pia imepiga marufuku ndoa za watoto chini ya miaka 18 katika mazingira yoyote.

Hongera sana Zambia, mnaonyesha njia.

View attachment 2358346
Kwa hiyo Wazambia wamejiona kuwa na busara kuliko Bible, enh?
 
Back
Top Bottom