Adhabu ya viboko shuleni bado ni halali katika nchi angalau 64. Tanzania inang'ara kwa kutozuia viboko

Adhabu ya viboko shuleni bado ni halali katika nchi angalau 64. Tanzania inang'ara kwa kutozuia viboko

Una mawazo ya kijima kweli kweli. Wewe ni mwalimu? Kama wewe ni mwalimu basi ni janga la Taifa letu. Nawahurumia sana wanafunzi wanaopita kwenye mikono yako. Halafu unaonekana una taizo kubwa sana la lack of exposure. Akili zako ni kama za mwendazake.
Kichwa chako kimejaa kama.si
 
Acheni uzunguuzungu mitoto ya kiafrika bila viboko haiendi vingnevyo ni kuziua shule kabisa,unakuta mtoto anakutukana mpaka matusi ya nguoni alaf nimsubir mwl mkuu aidhinishe adhab ehiiii,hapo ni mvua ya viboko mpaka aseme situkani tena mwl,na viboko vyenye kutia adab ni vile vya matakoni na vinasaidia kuondoa utopolo kichwani yaani lazima 1+1=2 na si 1+1=11 tandika alaf mpe tena hesabu hiyo 1+1 atakwambia jibu 2 alaf una malizia kusema pumbavu.
 
[emoji1787][emoji1787]mwalimu ukiwaza hivi kama wazazi wajinga na walioshindikana enzi zao wanavyowaza,utapata dhambi kwa Mungu na mtoto huyu baadae atakuja kukulaani sana kwanini ulimuachia akafanya anavyotaka.

jana ilizuka mada kijiweni,kuna mwalimu alikuwa anafanya kama wewe,hapigi mtoto wa mtu,ila akitoa kazi wanaofanya anawanakili sehemu,akarudia kama mara kadhaa akapata wanafunzi wake kadhaa wa kweli,waliobaki akawaamuru wawe wanatona nje akiingia.
mkuu wa shule nayeye akiwakuta nje anapita tu na kuwasalimia,baada ya kama mwezi hivi wakaanza kuulizana hatma yao[emoji23][emoji23].wakaona hapa tunapigwa fimbo kali kuliko fimbo zenyewe.
Walijua wanamkomoa Mwl kumbe wanajiua taratibu na wazazi wao!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa. Waalim wengi wana stress na wamekosa motivation hivyo wanaona ni kama usumbufu ku deal na wanafunzi kwa njia nyingine tofauti na viboko. Hizi shule zilizomea kama uyoga siku hizi wanapiga balaa. Hebu fikiria chekechea wanachapwa kama punda.

Chekechea!!!! Daah hali ni mbaya.
 
Adhabu ya viboko kwa Watoto wetu wa kiafrika inafundisha Ila labda serikali ingetoa muongozo mwisho vingapi na wachapwe wapi.

Nikiwa Secondary Kuna teacher Alinichapa viboko Non stop, bila idadi. Nilivimba mikono wiki nzima kula siwezi ama kushika kitu chochote. Mikono ilikuwa inaganda Kama ya roboti, Yule teacher Hadi leo ninakinyongo nae.
Kuwa na kinyongo naye haisaidii nilitegemea useme unamshukuru,nikuulize kosa alilokuchapa nalo ulilirudia tena baada ya adhabu hii nzito?

Ukinijibu hapa nitajua kama alikuonea au hakukuonea.
 
Pole sana hata miye kuna mwalimu nna hasira naye hadi leo more than 20yrs..Serikali ilishatoa sheria na mwongozo zamanìiiii lakini haifuatwi mfano viboko mwisho ni vitatu na mwalimu wa kiume haruhusiwi kumchapa mwanafunzi wa kike, na kila adhabu ya viboko lazma mwalimu mkuu aidhinishe kwa maandishi nk nk lakini hakuna kinachofuatwa ni holela holela hadi walimu wachapaji wanatumia kama gia ya kubaka mabinti.
Ulifanya kosa gani? Ili kama alikuonea tukusaidie kuwa na kinyongo naye huyo teacher

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Kama umewahi deal na watoto. Ndio utetee viboko vinginevyo acha viendelee. Watoto hawana adabu anakuvimbia mwalimu. Yaani nipate stress kisa toto la mtu hapana.
yaani unaanza eti kumfuatilia kama kafanya adhabu ama la..! Lol na kama humfundishi utaisoma fresh. Viboko ndio solution pekee.
 
Wewe ni mwalimu, umewahi kutana na mzazi anayekuja shuleni kuongea na walimu baada ya mtoto wake kuadhibiwa?

Watoto wetu tunawalea vibaya sana na wanakuwa watu wa ajabu sana, hakuna kitu wanaogopa zaidi ya kiboko. Na wasipoguswa mwalimu asiyechapa anadharaulika na hasikilizwi.

Yes nishakutana nao sana tu, si kweli kuwa viboko tu ndio kitu wanaogopa maana ingekuwa hivyo wangekuwa wamenyooka. Sasa kama sisi ndio tunakosea kwenye malezi ni kwanini tuwalaumu watoto? Basi anza na kumchapa mzazi maana ndio hajatimiza wajibu wake.
 
Baki na mwanao nyumbani, mawazo ya kijima ni bora kuliko kumlea mtoto wako kama yai na akaja kusumbua walimu shuleni, na hao watoto wenu ndiyo wanaharibu watoto wengine shule sababu watoto wana tabia ya kuiga wenzao.

Mimi ni mwalimu ,na nina exposure kuliko wewe, nimekaa shule miaka mitatu kujifunza jinsi ya kulea mwanafunzi kwa kila umri, Mtoto wa kiafrika anayelelewa kizungu ni janga zaidi kuliko mimi kuwa janga.

Leeni watoto wenu vizuri au baki nao muwafundishe nyumbani kwenu.

Hiyo miaka mitatu ulifundishwa kuwa mtoto ni kipigo tu ndio kinamsaidia? Unamsaidiaje huyo mtoto baada ya kumpiga? Au ukishamjengea nidhamu ya uoga basi inatosha? Umewahi kufuatilia madhara ayapatayo huyo mtoto baada ya kumpiga?
 
Adhabu ya viboko kwa Watoto wetu wa kiafrika inafundisha Ila labda serikali ingetoa muongozo mwisho vingapi na wachapwe wapi.

Nikiwa Secondary Kuna teacher Alinichapa viboko Non stop, bila idadi. Nilivimba mikono wiki nzima kula siwezi ama kushika kitu chochote. Mikono ilikuwa inaganda Kama ya roboti, Yule teacher Hadi leo ninakinyongo nae.
Kiboko kinafundisha hakika, kwa walimu wangu wote waliowahi kunichapa, ima kwa kunionea au vinginevyo, sijawahi kuwa na kinyongo nao.

Kwa kila tabia ambayo hawakupendezwa nayo kutoka kwangu na wakaniadhibu kwayo, niliiacha tabia hiyo.
Nakusihi ndugu yangu umsamehe mwalimu wako kama unaweza.

Kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa mbabe na anafundisha vizuri na kwa juhudi sana, ila kila apatapo nafasi lazima atuseme vibaya kwa misingi yetu ya kidini, sikuwahi kumuelewa mwalimu yule hadi namaliza shule.
 
Safi kabisa hadi mawaziri, ma-dc na rc wakiamua wanacharwza tu viboko...ng'ara Tanzania ng'ara 🤣🐒
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kizazi cha happybirday ni kisang cha kalne.
Dady & Mom [emoji2][emoji2]
waseme tu watoto wapigwe idadi fulani ya fimbo. Ila huzi shule zetu za kajamba nani usipopigwa hamna kitu utafanya.
Sisi tulitandikwa/Tulibanwa nusu uwanja shule/mkileta ujinga mnaenda kukalizwa saa7 kwenye mchanga uliopigwa jua sana masaa mawili hamna kutoka mtu/mnapigwa hadi fimbo 12 mfululizo [emoji23]
-La7 tulifaulu wote halafu watu 70 vipaji maalumu yule ticha sitamsahau Hakya-Mungu niliwahi kusolve fumbo la Hisabati lililowashinda top 3 wa Darasa,na kwenye mtihani wamepata walitandikwa sana,na kati ya waliopata nikawepo na mm nikachomolewa nilikokaa ,haya kuja hapa utueleze umepatapataje sio mnaibiana ibiana majibu, nilivyomchorea umbo tu akasema umemaliza Hawa ma screper palipobaki watasolve wenyewe,mwambie mama ako akuandalie sare ya shule fulani,Mungu bariki nikafaulu hio hio.
Mtu unapigwa kama mbwa koko na ole wako usije shule
Halafu mtu aseme kajamba nani tusipigwe [emoji1787][emoji1787] wataambulia zero kila siku
 
Dady & Mom [emoji2][emoji2]
waseme tu watoto wapigwe idadi fulani ya fimbo. Ila huzi shule zetu za kajamba nani usipopigwa hamna kitu utafanya.
Sisi tulitandikwa/Tulibanwa nusu uwanja shule/mkileta ujinga mnaenda kukalizwa saa7 kwenye mchanga uliopigwa jua sana masaa mawili hamna kutoka mtu/mnapigwa hadi fimbo 12 mfululizo [emoji23]
-La7 tulifaulu wote halafu watu 70 vipaji maalumu yule ticha sitamsahau Hakya-Mungu niliwahi kusolve fumbo la Hisabati lililowashinda top 3 wa Darasa,na kwenye mtihani wamepata walitandikwa sana,na kati ya waliopata nikawepo na mm nikachomolewa nilikokaa ,haya kuja hapa utueleze umepatapataje sio mnaibiana ibiana majibu, nilivyomchorea umbo tu akasema umemaliza Hawa ma screper palipobaki watasolve wenyewe,mwambie mama ako akuandalie sare ya shule fulani,Mungu bariki nikafaulu hio hio.
Mtu unapigwa kama mbwa koko na ole wako usije shule
Halafu mtu aseme kajamba nani tusipigwe [emoji1787][emoji1787] wataambulia zero kila siku
na nyinyi mliopitia hapo wengi weny ndio madaktari wa leo,wanajeshi wenye elimu na marubani,wahasibu na maafisa mikopo bank nk.wa
nasema hivyo aende akaulize shule za seminary zinazoongoza kitaifa[emoji23][emoji23].kule stick sio sana ila ni bora upigwe stick za kutosha kuliko maisha ya wale masister[emoji1787][emoji1787].

ukileta wenge tu wasalimie kwenu.sister ni mpole ila akiamua jambo harudi nyuma.
 
Adhabu ya viboko shuleni bado ni halali katika nchi angalau 64! Watoto milioni 246 bado wanakabiliwa na unyanyasaji wa kijinsia Mwanafunzi 1 kati ya 3 huonewa & kunyanyaswa kimwili 50% huripoti vurugu kutoka kwa wenzi wao shuleni.

===========

Corporal punishment is a practice that remains widespread in many schools around the world. And it is unacceptable. We pay a lot of attention to pedagogical interventions, technological innovations, providing devices and many other programs and policies to improve learning. But any educational investment will be irrelevant if a child is not safe at school (and at home).

April 30th is the International Day to End Corporal Punishment of Children. Tragically, almost one in three countries (64 out of 199) do not fully prohibit corporal punishment in school. Many of the countries that allow corporal punishment are in Africa, the Middle East, and Asia, and the list also includes some rich countries.


Corporal punishment


Corporal punishment, as well as a lack of safety in school and violence, including bullying and/or gender-based violence, profoundly affect students’ ability to learn as well as teachers’ ability to teach. Evidence suggests that students exposed to corporal punishment are more likely to adopt negative behaviors and to regress academically in terms of learning compared to peers who were not exposed to those practices.

In Francophone Africa, according to PASEC data, around one-third of teachers (both male and female) in grade 6 reported using corporal punishment in the classroom. On the student-side, almost two-thirds of children/youth reported being beaten by teachers.

In addition, a third of students declared being afraid at school, which had a large and statistically significant negative effect on their performance on learning assessments. A study for the Middle East and Northern Africa suggests that unsafe schools with deteriorated classroom disciplinary practices significantly reduces students’ performance.

Moreover, corporal punishment is also a factor which is associated with student-drop out, bullying, and other antisocial behaviors. Corporal punishment can also negatively impact outcomes such as, social and emotional well-being and leave permanent scars that affect productivity later in life.

While teachers are a key contributor to a students’ sense of safety, they are often not provided with the training and resources needed for the extremely complex task of managing and teaching students with varied emotional, social, and pedagogical needs. Faced with such situations, some teachers resort -unjustifiably- to corporal punishment.

It is not surprising that among different types of school violence prevention interventions, those focusing on providing teachers with skills to improve their relationships with students and manage students’ behaviors had the strongest and most reliable results in terms of lessening disruptive and aggressive behaviors in the classroom, improving learning outcomes, and enhancing pro-social behaviors later in life.

Providing teachers with tailored, practical, permanent opportunities for professional development that focus on improving their skills in classroom management, positive reinforcement, and teacher-student interaction is key to improving teacher-student interactions and the classroom environment.

Through practice and modeling, teachers and students can learn new skills for social interaction, emotional well-being, and learning, so that extreme measures such as corporal punishment or any other form of violent behavior are avoided.

Social and emotional trainings have also been shown to be effective in improving students’ pro-social behaviors and learning outcomes. A meta-analysis of the most effective classroom management interventions to improve students’ academic and social-emotional skills and overall behavior highlights the benefits of such learning programs.

Moreover, research shows that experiential learning and collaborative learning techniques also improve students’ achievement, relationships, and self-views. The WHO handbook on school violence prevention provides useful resources on positive discipline for teachers and schools.

It is important to remember that the lives of teachers and students are interconnected. They are part of a school ecosystem that is bound by limited resources, capacity, and institutional arrangements. Contextualization of interventions and critical analysis of the different variables influencing teacher and student behavior is necessary.

One program that has been successful in reducing violence in primary schools including corporal punishment is the Good School Toolkit in Uganda. The program works provides behavioral change techniques. It focuses on goal setting, positive discipline, empathy, and reflection along with practicing new behavioral skills among teachers and school staff.

An evaluation suggests that after 18 months of implementation, the toolkit reduced the risk of physical violence by teachers and school staff against students by 42 percent; halved the number of teachers who reported using physical violence against students; and improved students’ feelings of connectedness, their well-being and sense of safety and belonging with their school.

Programs such as this are often considered to be using a ‘whole school’ approach to preventing and reducing violence in school, highlighting the fact that multiple stakeholders have a role to play in violence prevention. The school climate can be transformed when teachers, students, and the school community work together to strengthen respect and trust and when they acknowledge that corporal punishment is not only counterproductive but negatively impacts a child’s learning and well-being.
Adhabu ibaki kama adhabu,ila iwekewe masharti na kanuni

Isifutwe
 
Back
Top Bottom