Adhabu ya Viboko: Upi ni umri sahihi, sehemu sahihi na kwa makosa yapi?

Adhabu ya Viboko: Upi ni umri sahihi, sehemu sahihi na kwa makosa yapi?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
teacher_abuse.jpg


Mtoto aanze kupewa adhabu ya viboko akifikia miaka mingapi?

Ni umri upi wa kuacha kumtandika?

Makosa yapi yanahitaji maonyo na yapi yanahitaji bakora hata kama ni mara ya kwanza?

Atandikwe kwa bakora, mkanda, n.k wa aina ipi?

Idadi ya viboko?

Ni sehemu zipi katika mwili za kumchapa?
 
Mtoto kwa wazazi hakui ww akikosea muonye kwa upendo akiwa mkaidi tandika hasa mpaka zitamkaaa sawa ....mkuu tandika hasa km anatabia za kipuuzi ...sisi wengine fimbo zimeturejesha kwenye msitali maana utundu ulizidi .
 
Mwenye ile picha ya wanachuo wa chuo cha kiislam Morogoro wakichalazwa viboko mmoja baada ya mwingine na yule mkufunzi wao, tafadhali atuwekee.
 
View attachment 2194212

Mtoto aanze kupewa adhabu ya viboko akifikia miaka mingapi?


Ni umri upi wa kuacha kumtandika?


Makosa yapi yanahitaji maonyo na yapi yanahitaji bakora hata kama ni mara ya kwanza?


Atandikwe kwa bakora, mkanda, n.k wa aina ipi?

Idadi ya viboko?

Ni sehemu zipi katika mwili za kumchapa?
Sis zamani mama zetu walituchapa hovyohovyo tu ili mradi utie adabu. Mama hakuchapa kichwani na tumbo tu .kote jimbo zisizo na idadi zilituhusu. Leo kwa sababu umesoma mnakuja hulu mshauriwe idadi ya viboko na makosa nk!
Ngoja siku akuchungulue ukiwa unavaa nguo ndo utakuja kuuliza huu ujinga wako.
Africa siyo ulaya kubadilika. Mengine teachers kwenye vitabu tu
 
Wazazi achaneni ni hii corpral punishment huu ni ushenzi n ukatili wa hali ya juu, watoto wangu viboko ni No na shule wanazosoma viboko pia ni No, adhabu hii ndio inatuletea vizazi vya uoga, unafiki, kujipendendeza tuachaneni nayo.
 
Wazazi achaneni ni hii corpral punishment huu ni ushenzi n ukatili wa hali ya juu, watoto wangu viboko ni No na shule wanazosoma viboko pia ni No, adhabu hii ndio inatuletea vizazi vya uoga, unafiki, kujipendendeza tuachaneni nayo.
So kweli nakupinga!
 
Wengine tumebarikiwa macho ukifanya kosa ni kugeuziwa jicho tu fimbo hakuna
 
Niliwahi sikia jamaa mmoja akisema mtoto especially wa kike si wa kuchapa wala kumgombeza. Kufanya hivyo ni kumuandalia mazingira ya kukubali kuwa abused hata kwenye mahusiano baadae, since umeshamfundisha akikosa anastahili kuadhibiwa kwa aina hiyo. Haimaanishi usimuadhibu tho.
 
Back
Top Bottom