Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mkuu, ni Wakati gani ambapo Team Husika Inaitwa kujitetea Mbele ya Bodi Husika Kuhusu makosa yaliyofanywa na Team Husika?.Timu zifuate utaratibu na sheria,faini hazitakuwepo.
Sasa Mkuu unajua kabisa kufanya jambo flani ni kosa uitwe kujitetea au kusikilizwa tena,angalia hayo makosa waliyoyafanya Yanga, hapo utawaita kuwasikiliza?Mkuu, ni Wakati gani ambapo Team Husika Inaitwa kujitetea Mbele ya Bodi Husika Kuhusu makosa yaliyofanywa na Team Husika?.
Hata Mahakamani conviction Uwaga inatoka baada ya parties Wote Kutoa utetezi Wao Mbele ya Jaji, Hakimu na Sio Hawa Ambao Hata Mlalamikiwa Wala hapewi nafasi ya Kujitetea Wa Nini ameyafanya Haya, Hizi Ni Kanuni za Hovyo SanaSasa Mkuu unajua kabisa kufanya jambo flani ni kosa uitwe kujitetea au kusikilizwa tena,angalia hayo makosa waliyoyafanya Yanga,hapo utawaita kuwasikiliza?
Tusiendekeze ujinga Mkuu,timu kubwa kabisa inavunja sheria,timu inavunja mageti na makufuri,timu inaenda kubadirisha nguo kwenye chumba cha wafanya usafi,timu inaingilia Mlango wa wandishi wa habari halafu uiite kuisikiliza?Hata Mahakamani conviction Uwaga inatoka baada ya parties Wote Kutoa utetezi Wao Mbele ya Jaji, Hakimu na Sio Hawa Ambao Hata Mlalamikiwa Wala hapewi nafasi ya Kujitetea Wa Nini ameyafanya Haya, Hizi Ni Kanuni za Hovyo Sana
Jambo la kushangaza sana kwa timu kama yanga kufanya mambo ayoTusiendekeze ujinga Mkuu,timu kubwa kabisa inavunja sheria,timu inavunja mageti na makufuri,timu inaenda kubadirisha nguo kwenye chumba cha wafanya usafi,timu inaingilia Mlango wa wandishi wa habari halafu uiite kuisikiliza?
Mkuu Wala sitetei unaouita Ujinga, Ndio Maana Hata Mahakamani Mtu alieua na anashitakiwa na Jamhuri Ila Huyo Jamahuri Ndio anamwekea Wakili Wa Kumtetea.Tusiendekeze ujinga Mkuu,timu kubwa kabisa inavunja sheria,timu inavunja mageti na makufuri,timu inaenda kubadirisha nguo kwenye chumba cha wafanya usafi,timu inaingilia Mlango wa wandishi wa habari halafu uiite kuisikiliza?
Tatizo lao wanaamini sana kwenye ushirikina ndo kinachowasumbua hao unaowatetea!Mkuu Wala sitetei unaouita Ujinga, Ndio Maana Hata Mahakamani Mtu alieua na anashitakiwa na Jamhuri Ila Huyo Jamahuri Ndio anamwekea Wakili Wa Kumtetea...
Unawezaje kuthibitisha hili? Njoo na Cogent evidenceTatizo lao wanaamini sana kwenye ushirikina ndo kinachowasumbua hao unaowatetea!
Bodi ya ligi walipaswa kujiuliza kwanza hayo maswali kabla ya kutoa adhabu...walipaswa kujiuliza na kujua kwann timu iende kubadili nguo chumba tofauti..kutoa tu adhabu hakusaidii...vipi kama kwenye chumba rasmi cha kubadili nguo kulikua na tatizoTusiendekeze ujinga Mkuu,timu kubwa kabisa inavunja sheria,timu inavunja mageti na makufuri,timu inaenda kubadirisha nguo kwenye chumba cha wafanya usafi,timu inaingilia Mlango wa wandishi wa habari halafu uiite kuisikiliza?
Labda kuzuia saidoo asije akaavaa 61 maana mwakani atakuwa na miaka 61
Saidoo ndiye nani?Labda kuzuia saidoo asije akaavaa 61 maana mwakani atakuwa na miaka 61
Umri zaidi ya kikokotoo
Ni taratibu tuu za ligi husika, mfano ligi ya Ufaransa mwisho ni namba 30 hamna kuzidi zaidi ya hapo
Bodi ya ligi walipaswa kujiuliza kwanza hayo maswali kabla ya kutoa adhabu...walipaswa kujiuliza na kujua kwann timu iende kubadili nguo chumba tofauti..kutoa tu adhabu hakusaidii...vipi kama kwenye chumba rasmi cha kubadili nguo kulikua na tatizo
Mkuu Wala sitetei unaouita Ujinga, Ndio Maana Hata Mahakamani Mtu alieua na anashitakiwa na Jamhuri Ila Huyo Jamahuri Ndio anamwekea Wakili Wa Kumtetea.
Mkuu, Mshitakiwa anaweza kuwa ametenda kosa la jinai, na mahakama kumtia hatiani, lakini kutenda kwake kosa hilo kunaweza kuwa kumesababishwa na sababu ambazo sheria inatambua kuwa ni utetezi katika kosa hilo.
Utetezi huo ukikubaliwa mshitakiwa anaweza kufutiwa adhabu, akapunguziwa adhabu au kutopatikana na hatia.
Mpaka Yanga Anafanya aliyoyafanya alishagundua Kuna Jambo so Kabla ya Adhabu Husika walipashwa Wawaite Yanga Wawaulize Ni Kwa Nini Walipitia Kwenye Njia Ambayo Sio Rasmi.