Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Nimekuwa Nikiona Adhabu Nyingi Za Bodi Ya Ligi Tanzania (TPBL) Ni Kama za Kukoa Timu fulani. Hivi Ni Wakati gani ambapo Team Husika Inaitwa kujitetea Mbele ya Bodi Husika Kuhusu makosa yaliyofanywa na Team Husika?.
Nadhani Hii Adhabu Ya Bodi Ya Ligi Kwa Yanga Ni Namna Gani bado Tff wana Hasira na Mechi Ya Juzi.
Naanza Kuamini Kwamba Yanga Haikuwafunga Simba Pekee Bali Walifungwa Tff,Bodi ya Ligi, Wizara Husika.
Nadhani Hii Adhabu Ya Bodi Ya Ligi Kwa Yanga Ni Namna Gani bado Tff wana Hasira na Mechi Ya Juzi.
Naanza Kuamini Kwamba Yanga Haikuwafunga Simba Pekee Bali Walifungwa Tff,Bodi ya Ligi, Wizara Husika.