Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
Hata Islam Slimani kakosa goli tatu za wazi.Kakosa goli mbili za wazi fresh tu hata hao mnahis wachezaji wakubwa hukosea, mm nnafikiri hana muunganiko mzuri tu na wachezaji wenzake mfano bolaise kule Congo game nilizomtizama huwezi kusema jamaa anakipiga BPL hivyo ndivyo ilivyo kwa Zaha...Tumeshatoka tuwashabikie Uganda sasa