Adinani Hussein hajapatikana licha ya Polisi kupokea Tsh 13 Million kutoka kwa ndugu

NIna hakika na jambo moja tu, ukiua mtu au ulishiriki kwenye mauaji lazima utakuja kulipa tu hapa hapa duniani kama so wewe basi kizazi chako kitalipia tu, watu wanajisahau kama kuna mungu wa haki, na wao pia hawataishi milele
 
Siku hizi ukiwa jambazi hasa wa kutumia silaha, polisi wanamalizana na ww mapema sana...

Huyu jamaa ndugu waseme kwa nini alienda kukamatiwa mwanza? Mwanza alifuata nini!
 
Hapa ndipo ilipoanzia shida
 
Hata kama alikuwa ana tuhuma za uhalifu, sheria itumike na apewe adhabu stahiki kwa mujibu wa sheria, sio kutekka na kuuwa watu hivyo aisee
Haya mambo mazito sana
Mkuu kuna watu wengine huwa wana malizana nao kimya kimya mkuu eidha kwenye kupata taarifa nk
Narudia tena,ukiona mtu anapelekwa tazara jua kuna jambo zito
Na haya mambo hayajaanza leo

Ova
 
Hapa naona kuna mambo mengi ndani yake. Kuna siasa, biashara, mchepuko. Huenda kuna kimoja kakikanyaga sicho. Pamoja na yote sheria zipo, ila kwakuwa kila mtu mbabe ndiyo haya yanatokea.

Polisi na rushwa hawa hizo hela wazirudishe, I wish ningewasaidia but undugu na kazi ni vitu viwili tofauti! Mwenyezi Mungu awape uvumilivu ndugu, katika kipindi hiki kigumu. Hakuna mtu anayepotea kama upepo, ukweli utajulikana tu.
 
Tanzania ni mchanganyiko wa demokrasia ya magharibi na mashariki. It is better to exercise restraint in many issues and act reasonable
 
Staki Shari sizani kama hawataki Shari polisi wa pale yaani wanatesaa afu kituo kinaitwa staki Shari
Tazara ndy mwisho wa matatizo
nkulize swali ulishawahi ona movement ya watu pale ukiwa unapita 😄 pako kimya sana
Staki shari pale sasa kulikuwa na muembe unaitwa msemakweli 😄 ukipelekwa pale utasema tu

ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…