Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hii nchi kuwa makini tu. ccm inachotaka kuwa madarakani sio mengineLakini huyu dogo mpambanaji alikuwa CCM kwa nini wamuue kwa kumtesa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi kuwa makini tu. ccm inachotaka kuwa madarakani sio mengineLakini huyu dogo mpambanaji alikuwa CCM kwa nini wamuue kwa kumtesa?
Hana akili hata kidogoUna akili finyu
NIna hakika na jambo moja tu, ukiua mtu au ulishiriki kwenye mauaji lazima utakuja kulipa tu hapa hapa duniani kama so wewe basi kizazi chako kitalipia tu, watu wanajisahau kama kuna mungu wa haki, na wao pia hawataishi mileleKutoka Ukurasa wa Boniface Jacob Mtandao wa X: SIKU 280 TANGU APOTEE ADINANI HUSSEIN MBEZI MIKONONI MWA POLISI
Maarufu kama (ADAM),umri wa miaka 32,mkazi wa Kinyerezi,mtaa wa Faru,Jimbo la Segerea,Baba wa watoto wanne.
1. Adinan Hussein Mbezi alipotea tarehe 12 September 2023 alipokuwa safarini Mwanza
2. Adinani Hussein Mbezi alizaliwa mwaka 1992 ni mfanyabiashara anaye miliki vituo 11 vya kuoshea magari Dar es saalam vya "ONE TOUCH" Pia ni mwanasiasa ambaye alishawahi kuwa CCM baadae akagombea udiwani kupitia ACT WAZALENDO uchaguzi wa 2020 kata ya Yombo Vituka.
3. Tarehe 12 September 2013 ADINANI alipiga simu kwa mke wake ROSEMERRY MASSAWE kumtaarifu kuwa amekamatwa na Polisi,kwamba wapo njiani kurudi Dar es saalam atamjulisha kituo watakacho mpeleka baada ya kufika Dar es saalam.
4. Tarehe 19 September 2023 ADINANI alipiga simu kwa Mama yake mlezi anayeishi maeneo ya ZOO,Chanika,Dar es saalam kwa kupitia namba ya simu 0659167082
Akimueleza Mama yake kuwa anashikiliwa na Jeshi la Polisi katika kituo cha Polisi cha Tazara,akaomba Mama yake amsaidie kumpatia namba ya Kaka yake aitwaye SAMIR HUSSEIN MBEZI
Pia aliomba Mama yake ampe taarifa rafiki yake aitwaye AMIR KHALID NASIBU (SAM) mwenye namba za simu 0711959432
ambaye amekuwa akishirikiana na familia katika kumfuatilia ADINANI kwa kila hatua.
5. ADINANI alijitahidi sana kufanya mawasiliano na ndugu zake kila kituo alichokuwa anapelekwa Jijini Dar es saalam tangu akamatwe Mwanza.
Alipiga simu akiwa Central Police Station,alipiga simu akiwa Kituo cha polisi Stakishari na simu ya mwisho alipiga kwa mke wake ROSEMERRY MASSAWE akiwa Tazara kupitia simu ya Polisi nambari 0659167082
Sasa akimtaarifu mke wake kuwa amepigwa sana,anahali mbaya ambayo mke wake aligundua hali ya mme wake kuwa yupo katika mateso
ADINANI aliomba mke wake atume kiasi cha Shillingi laki 5 katika namba 0659167082 ambayo alisema namba ya simu ya Polisi aliyekuwa naye wakati huo,kwa ahadi ya kiasi hicho kingesaidia asiendelee kuteswa zaidi.
Mke wake ROSEMERRY MASSAWE alitekeleza ombi la mume wake kwa kutuma laki tano.
6. Ndugu wa ADINANI walifika kituo cha Polisi Tazara,ambapo afande Kaduma mwenye namba 0757078736 alikana kumshikilia ADINANI kituo cha Tazara
Mwisho walienda Kituo cha Polisi Oysterbay ambapo walielekezwa waende Kituo cha polisi kati ofisi ya ZCO kandaa maalum DSM,kumuuliza Afande Mafwele kuhusu ndugu yao kushikiliwa na Polisi
ZCO Mafwele alikana kumshikilia ADINANI,aliwatolea orodha ya mahabusu wanaoshikiliwa kituoni pale, Jina la ndugu yao halikuwemo katika orodha ya mahabusu.
Pia aliwataarifu kuwa na wao Kanda maalum ya Dar es saalam wanamtafuta ADINANI kama mtuhumiwa,wakimpata wataitaarifu familia yake.
7. Ndugu wa ADINANI katika kumtafuta ndugu yao walifanikiwa kuonana na Kigogo mmoja wa Jeshi la Polisi,ambaye aliwathibitishia kuwa ndugu yao yupo Kituo cha Polisi Tazara,aliomba kiasi cha shillingi million 10 ilikuwasaidia kumaliza sakata la ndugu yao,
Ndugu walitoa kiasi cha shillingi million 10 kupitia dereva wake,lakini baada ya kutoa kiasi hicho,Kigogo huyo aligeuka kuwapa jibu kumbe ni majina tu ndiyo yanafanana,lakini ndugu yenu hayupo kituo cha polisi Tazara
8. Baada ya siku kadhaa kupita ndugu wa ADINANI walipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha ni Askari wa Kituo cha polisi Mburahati kupitia namba ya simu 0713440820
Askari huyo aliwaeleza Kuwa ADINANI yupo Kituo cha Polisi Mburahati na hali yake ni mbaya sana.
Askari huyo aliomba watumiwe kiasi cha Millioni 2 na laki 5 ili wasiendelee kumuadhibu na kumpa mateso ndugu yao.
Ndugu walipotuma shillingi million mbili na laki tano simu hiyo haikuwahi kupatikana tena.
9. ADINANI alikuwa na mpenzi wake mwingine Dodoma,ADINANI alimpigia mpenzi wake huyo kumjulisha kuwa amekamatwa na Polisi na kumtaarifu kuwa kama anamtafuta amtafute kupitia rafiki yake mwenye namba 0742866092
Alipompigia mtu huyo alikata simu ya kawaida akapiga video call na kuwataarifu ADINANI hayupo tena Duniani
10. Gari ya ADINANI yenye usajili T146 DPY imeonekana kituo cha Polisi Selander bridge.
View attachment 3040943
Yapo mambo yanatokea katika ngazi fulani za kipolisi, kiasi kwamba ngazi za juu zinakuja kushtukizwa tu! Na kulaumiwa!,Kumbe hilo Limurilo ni liuwaji tu!
Hapa ndipo ilipoanzia shida2. Adinani Hussein Mbezi alizaliwa mwaka 1992 ni mfanyabiashara anaye miliki vituo 11 vya kuoshea magari Dar es saalam vya "ONE TOUCH" Pia ni mwanasiasa ambaye alishawahi kuwa CCM baadae akagombea udiwani kupitia ACT WAZALENDO uchaguzi wa 2020 kata ya Yombo Vituka.
Haya mambo mazito sanaHata kama alikuwa ana tuhuma za uhalifu, sheria itumike na apewe adhabu stahiki kwa mujibu wa sheria, sio kutekka na kuuwa watu hivyo aisee
Ukiona mtu anapelekwa tazara jua kuna jambo zito dada yangu kipenziKuna mahali hapapo sawa.
KAZI ZA MAHAKAMA ZIPO KWA AJILI YA NANI.Siku hizi ukiwa jambazi hasa wa kutumia silaha, polisi wanamalizana na ww mapema sana...
Huyu jamaa ndugu waseme kwa nini alienda kukamatiwa mwanza? Mwanza alifuata nini!
NAUNGA MKONO HOJA NA TUTAFUNGUA MTANDAO AU APP GPS HIZI ZITAONESHA UNAPOKWENDA KUWA FREE.UKIONA UNATEKWA UNABANA MATAKO ILI KU ALERTMI NTAANZA KUTEMBEEA NA GPS KWENYE MATAKOOO KWA HALII HIII
TUKANUNUE TU CHIP ZILE JAMAN IUNAWEKA TAKO LA KUSHOTO MAANA WAKIKUPIGA WANAPIGA LA KULIA NA MAFIMBOYAOO
Unashangaa nini?Kuna mahali hapapo sawa.
Umeona kuna nikichokishangaa hapo, au unaota?Unashangaa nini?
Huyu mnaemsifia kishakuwa Mafioso Don
Fafanua mkuu,Kuna mahali hapapo sawa.
Staki Shari sizani kama hawataki Shari polisi wa pale yaani wanatesaa afu kituo kinaitwa staki ShariKuna mambo mengi sana
Na ukiona mtu anapelekwa tazara basi kuna jambo
Ova
Kwa hio ndugu waje kukuambia kwann ndugu yao kaenda mwanzaSiku hizi ukiwa jambazi hasa wa kutumia silaha, polisi wanamalizana na ww mapema sana...
Huyu jamaa ndugu waseme kwa nini alienda kukamatiwa mwanza? Mwanza alifuata nini!
Tazara ndy mwisho wa matatizoStaki Shari sizani kama hawataki Shari polisi wa pale yaani wanatesaa afu kituo kinaitwa staki Shari