Admin wa Ruvu Shooting anaupiga mwingi huko Twitter

Admin wa Ruvu Shooting anaupiga mwingi huko Twitter

Mwenye ratiba ya NBC premier league aweke hapa tafadhari
 
Afu kuna huyu Admin wa Mbeya Kwanza[emoji16]
FB_IMG_16437193423612264.jpg
 
Jamaa amekuwa anaelezea vizuri katika mfumo wa kutania wapinzani na timu yake ikilemewa anaandika kinyonge pia
Kuna wengine wamejaribu ila wa Ruvu yuko vizuri sana
 
Watanzania ndiyo tunapenda sana vitu vya kijinga jinga kama hivyo........
 
Tunaishia katikati ya uwanja mwenye shida atamfuata mwenzake😂

Huyu jamaa anaumwa kweli...kwa hiyo hawakuwa na shida ya kuwafuata Yanga golini na wamepata walichotaka.
Yaani ana maneno ya kukera aisee.

Hahahaaa. Na si ajabu akapata jina kweli huyo jamaa kutokana tu na hichi alichokiandika. 😅
 
Admin wa Yanga Yupo Kileleni anapigwa na baridi, halafu wala haringi
Wanaopiga porojo ni hao wa mkiani ambao wanajiandaa kupishana na DTB
 
Watanzania ndiyo tunapenda sana vitu vya kijinga jinga kama hivyo........
Kwa taarifa yako hiyo ndiyo burudani ya mpira kwa wapenda mpira. Vinginevyo kama siyo kuongeza vionjo kama hivyo toka kwa mashabiki, zaidi ya chenga za uwanjani toka kwa wachezaji mashabiki wana kazi gani sasa.

Mpira si ugomvi ila vijembe na tambo za mashabiki ni mahali pake. Ukiona shabiki kaanzisha matusi na ngumi huyo sio kavamia fani.
 
Kwa taarifa yako hiyo ndiyo burudani ya mpira kwa wapenda mpira. Vinginevyo kama siyo kuongeza vionjo kama hivyo toka kwa mashabiki, zaidi ya chenga za uwanjani toka kwa wachezaji mashabiki wana kazi gani sasa.

Mpira si ugomvi ila vijembe na tambo za mashabiki ni mahali pake. Ukiona shabiki kaanzisha matusi na ngumi huyo sio kavamia fani.
Nakazia
 
Back
Top Bottom