Admin wa Simba apunguze utoto

Kwahiyo unashauri wajifungie ndani waanze kulia?
 
Yani mmekua kama nzi waliofungiwa...ukifungua kelele wakifungiwa kelele
Sasa usichokielewa hapo ni nini?
wacha ndo kwanzaa tumeanza kila baada ya mechi 5 mnapata updates...mkishindwa kuvumilia mjinyonge...
Ni suala tu la muda. Pale mtakapoanza kupokea vichapo mfululizo hizo updates zitapotelea kusikojulikana! Na badala yake mtaanza tena zile kelele zenu za kumkataa kocha Robertinho.
 
Ni suala tu la muda. Pale mtakapoanza kupokea vichapo mfululizo hizo updates zitapotelea kusikojulikana! Na badala yake mtaanza tena zile kelele zenu za kumkataa kocha Robertinho.
Wacha tuchekelee kwa sasa...ukipata nafasi cheeeeeekaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…